Sawa sagara sagaraMda huu sipo nzega, nikirudi tajitahidi kuangalia maendeleo kisha takwambia haswa haswa suala la maji lazima nifuatilie nijue ukweli wa aliyosema nazi embe hapo.
Nazi embe nipo na mipango kazi yetu utekelezaji wake inaendelea matatizo ya kitekonolojia ndio yana sababisha kuona hakuna mirejesho ya mipango kazi yetu ila mambo yakikaa sawa basi utaona mrejesho yetu kama awali kupitia habari picha, nkAfisa habari vipi mbona kimya mradi upo likizo maana hakuna habari yoyote kuhusu maendeleo ya miradi wiki sasa ya pili kipi kimetokea tupeni tarifa jamani
Wadau wangu miye nipo poleni kwa kutopata tarifa kwa wakati ila mda si mrefu tutaendelea na tarifa zetu ni masuala ya kiutendaji tu yalingiliana ili kuweka mambo sawa ndio maaana mnaona kimya ila kiufupi miradi inaendelea vizuri, asanteni kwa mchango yenu.Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
Kutumbuliwa tena mkuu!Rweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea
Kutumbuliwa tena mkuu! ndo hivyo lakini make tushakubali kuolewa sharti kuvua c.h.u.p.iRweye kwa sisi nzega kwa tarifa zilizokuwa zinatufikia hapa kuhusu utekelezaji wa miradi na tulivyokuwa tukifuatilia mitaani kwetu uku asilimia kubwa tarifa zilikuwa za ukweli sema sisi nzega tatizo ni hizi wiki kadhaa hizi Sijui kimemkuta nini afisa habari wetu maana kumekuwa kimya kwakua wahusika wapo wanaona wanaweza kutupa majibu je afisa habari wetu katumbuliwa au Kuna jambo gani limetokea