Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mzee Mohamed Said acha kumuondoa Mwl Nyerere kwenye orodha ya waasisi wa Tanu.Mtu anaweza akaamini kuwa Nyerere ndiye aliyeunda TANU lakini mimi najua Nyerere kaikuta TANU nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu mwaka wa 1952.
Pascal Mayalla
Nguruvi3