Mjadala wa Wachangiaji M1 JF Jukwaa la Historia 2013

Mjadala wa Wachangiaji M1 JF Jukwaa la Historia 2013

Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Ungestaafu wee Mzee maana huna jipya. Kutwa kulazimisha maudhui yaleyale miaka nenda miaka rudi. Maudhui ambayo asilimia kubwa ya watu wameyachoka kabisa, kuyakinai, na muhimu zaidi kuyakataa.
 
-Unahisi ukiandika historia na wengine wakaamua kunyamaza wasikukosoe utakuwa umaeonge ukweli ndio maana wakanyamaza?
-Mwl. Nyerere aliposoma hicho kitabu chako alitoa comment gani kwako?

Wewe umepata tu nafasi ya kuandika, sio wote wanaojua historia ni waandishi. Uandishi ni passion ya mtu. Kuna watu wanaojua historia zaidi yako lakini hawakuguswa kuiandika. Umeanza kuelezea historia yako kuanzia 1929 kwa uchache na ukaweka mkazo miaka ya 1950, Mimi nimepewa historia ya kuanzia 1914 tukiwa na wajerumani.
Peaky...
Hawajanyamaza tuko katika mjadala huu sasa mwaka wa 10 lakini wana uwezo wa kuandika hapa JF hawana uwezo wa kuandika kitabu.

Hawawezi kuandika kitabu kwa kuwa historia hii ni moja.
Historia hii ni ya wazee wangu.

Nimeeleza historia ya babu yangu Salum Abdallah.
Huwezi kuwa na historia mbili za mfano huu.

Nimeeleza historia ya Iddi Faiz Mafungo aliyekuwa Mweka Hazina wa TANU 1954 na Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na mratibu wa safari ya Nyerere UNO 1955.

Hakuna aliyepata kusikia jina hili wala kuona picha ya Iddi Faiz wala hakuna aliyekuwa anajua mchango wake katika kupigania uhueu wa Tangnayika hadi mimi nilipoandika na kuweka picha yake.

Hamko kimya kwa sababu hamtaki kuandika.
Mko kimya kwa kuwa hamna historia mfano wa hii yangu.

Haya niliyoandika ndiyo yaliyofanya historia hii ivutie wasomaji wengi na katika vyuo vingi.

Prof. Haroub Othman baada ya kusoma kitabu hiki ''he was devastated.''
Mimi nilizungumza na yeye uso kwa macho.

Hakika nilimuhurumia.
Aliomba kuonana na Mwalimu Nyerere.

Mwalimu Nyerere alikuwa tayari keshakisoma kitabu.
Prof. Haroub alimsihi Mwalimu akubali kuandika historia ya maisha yake.

Mwalimu alikubali maisha yake yaandikwe.

Mimi ni mmoja wa watu waliohojiwa kuhusu historia ya Mwalimu Nyerere na waandishi: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'waza Kamata kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Jopo hili lilinizawadia nakala ya kitabu cha Mwalimu Nyerere kilipotoka mwaka wa 2020:

Ndani ya kitabu hicho imeelezwa kuwa katika utafiti wao walikutana na maktaba tatu ambazo zimesheheni historia ya Baba wa Taifa: Maktaba ya Dr. Salim Ahmed Salim, maktaba ya Mohamed Said na Maktaba ya Brig. General Hashim Mbita.

Uso kwa macho wakaniambia kuwa wamezungumza na watu wengi kuhusu Mwalimu lakini mimi nimewashinda kwa kumweleza Mwalimu vyema.

1713976889568.jpeg

1713977555088.jpeg

Kulia: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'waza Kamata
wakinihoji nyumbani kwangu Magomeni Mapipa
 
Peaky...
Hawajanyamaza tuko katika mjadala huu sasa mwaka wa 10 lakini wana uwezo wa kuandika hapa JF hawana uwezo wa kuandika kitabu.

Hawawezi kuandika kitabu kwa kuwa historia hii ni moja.
Historia hii ni ya wazee wangu.

Nimeeleza historia ya babu yangu Salum Abdallah.
Huwezi kuwa na historia mbili za mfano huu.

Nimeeleza historia ya Iddi Faiz Mafungo aliyekuwa Mweka Hazina wa TANU 1954 na Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika na mratibu wa safari ya Nyerere UNO 1955.

Hakuna aliyepata kusikia jina hili wala kuona picha ya Iddi Faiz hadi mimi nilipoandika na kuweka picha yake.

Hawako kimya kwa sababu hawataki kuandika.
Mko kimya kwa kuwa hamna historia mfano wa hii yangu.

Haya niliyoandika ndiyo yaliyofanya historia hii ivutie wasomaji wengi na katika vyuo vingi.

Prof. Haroub Othman baada ya kusoma kitabu hiki ''he was devasteted.''
Aliomba kuonana na Mwalimu Nyerere.

Mwalimu Nyerere alikuwa tayari keshakisoma kitabu.
Prof. Haroub alimsihi Mwalimu akubali kuandika historia ya maisha yake.

Mwalimu alikubali maisha yake yaandikwe.

Mimi ni mmoja wa watu waliohojiwa kuhusu historia ya Mwalimu Nyerere na waandishi: Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'waza Kamata kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Jopo hili lilinizawadia nakala ya kitabu cha Mwalimu Nyerere kilipotoka mwaka wa 2020:
View attachment 2973011
Naomba kujua comment ya Nyerere baada ya kusoma kitabu chako.
 
Peaky...
Huwa namuepuka sana Mwalimu naogopa asije akavunjiwa heshima yake na mie nikawa ndiyo sababu.

Mwalimu alisema nimeandika kweli.
Nipe ushahidi wa kimaandiko kuhusu hiyo comment yake.
  • Maana yangu ni kwamba kama alisema umendika kweli, hiyo pekee ingekupa nguvu zaidi ya kufanikisha lengo lako la kuandika hiyo historia.
  • Halafu usingekaa kimya, hiyo kauli yake ingekusukuma na kukupa nguvu ya kutaka historia ya kwanza ifutwe na kufundishwa hii yako, maana mmoja wa wahusika kathibitisha kuwa ya kwanza imedanganya.
  • Hao hanao ku-challenge mpaka leo kuhusu huo uongo, ungewashinda kirahisi sana kwa kuwaonyesha kauli ya Nyerere, ambayo lazima ingekuwa imeandikwa popote pale nje ya maneno yako.
Nyerere hakuwa na chuki dhidi ya uislamu bali baadhi ya watu ambao baadhi yao walikuwa ni waislamu. Sio UISLAMU wao uliofanya afarakane nao. Kama angekuwa na chuki na uislam, vipi kina Tumbo, C. K, KaselaBantu, J, Kambona, O walikuwa waislam?

Nakuhakikishia, uliwasikiliza hao unaowaita wazee wako baada ya kuwa wametofautiana na Nyerere. Hiyo tu inatosha kuonyesha sumu na chuki uliyolishwa na wewe ulipopata nafasi ya kuandika ukaamua ufanye revenge kwa kumchafua Nyerere. Ndio maana unajibu kinafiki hapo eti unaogopa kuandika utamvunjia heshima. Ni heshima gani uliyombakishia baada ya kuandika hicho kitabu chako ambayo leo unaogopa kumvunjia?

Kuhusu harakati za uhuru historia zimeanza mwaka 1884 baada ya mkutano wa Berlin. Historia ya uhuru haijaanza na kina Sykes wala na waislamu. Kabla ya Nyerere na Sykes kuzaliwa walikuwepo Watanganyika ambao waliukataa utawala wa kigeni katika jamii zao.
  • Kama akina Sykes walikuwa na fedha, wasomi nk. mbona hakuna hata mmoja wao alie enda UNO kudai uhuru wa Tanganyika badala yake akaenda Nyerere?
Nyerere aliweza kuaminika kwao haraka hivyo kwa sababu ya uwezo wake wa elimu na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kitu ambacho hao kina Sykes hawakuwa nacho.

Lastly, usipende sana kujibu hoja kwa kutaka watu wakasome kwanza mawazo yako kwenye kitabu cha Sykes. Hicho kitabu ndicho kinachohojiwa usahihi wake, kwa nini utake tena kikasomwe kama reference? Unapotaka kukitumia hicho kitabu kama proof kwa hoja zako, wakati hicho kitabu umekiandika wewe, ni sawa kusema "There are only two rules one, the boss is always right and two if the boss is wrong look rule one" .
 
Nipe ushahidi wa kimaandiko kuhusu hiyo comment yake.
  • Maana yangu ni kwamba kama alisema umendika kweli, hiyo pekee ingekupa nguvu zaidi ya kufanikisha lengo lako la kuandika hiyo historia.
  • Halafu usingekaa kimya, hiyo kauli yake ingekusukuma na kukupa nguvu ya kutaka historia ya kwanza ifutwe na kufundishwa hii yako, maana mmoja wa wahusika kathibitisha kuwa ya kwanza imedanganya.
  • Hao hanao ku-challenge mpaka leo kuhusu huo uongo, ungewashinda kirahisi sana kwa kuwaonyesha kauli ya Nyerere, ambayo lazima ingekuwa imeandikwa popote pale nje ya maneno yako.
Nyerere hakuwa na chuki dhidi ya uislamu bali baadhi ya watu ambao baadhi yao walikuwa ni waislamu. Sio UISLAMU wao uliofanya afarakane nao. Kama angekuwa na chuki na uislam, vipi kina Tumbo, C. K, KaselaBantu, J, Kambona, O walikuwa waislam?

Nakuhakikishia, uliwasikiliza hao unaowaita wazee wako baada ya kuwa wametofautiana na Nyerere. Hiyo tu inatosha kuonyesha sumu na chuki uliyolishwa na wewe ulipopata nafasi ya kuandika ukaamua ufanye revenge kwa kumchafua Nyerere. Ndio maana unajibu kinafiki hapo eti unaogopa kuandika utamvunjia heshima. Ni heshima gani uliyombakishia baada ya kuandika hicho kitabu chako ambayo leo unaogopa kumvunjia?

Kuhusu harakati za uhuru historia zimeanza mwaka 1884 baada ya mkutano wa Berlin. Historia ya uhuru haijaanza na kina Sykes wala na waislamu. Kabla ya Nyerere na Sykes kuzaliwa walikuwepo Watanganyika ambao waliukataa utawala wa kigeni katika jamii zao.
  • Kama akina Sykes walikuwa na fedha, wasomi nk. mbona hakuna hata mmoja wao alie enda UNO kudai uhuru wa Tanganyika badala yake akaenda Nyerere?
Nyerere aliweza kuaminika kwao haraka hivyo kwa sababu ya uwezo wake wa elimu na uwezo mkubwa wa kujenga hoja kitu ambacho hao kina Sykes hawakuwa nacho.

Lastly, usipende sana kujibu hoja kwa kutaka watu wakasome kwanza mawazo yako kwenye kitabu cha Sykes. Hicho kitabu ndicho kinachohojiwa usahihi wake, kwa nini utake tena kikasomwe kama reference? Unapotaka kukitumia hicho kitabu kama proof kwa hoja zako, wakati hicho kitabu umekiandika wewe, ni sawa kusema "There are only two rules one, the boss is always right and two if the boss is wrong look rule one" .
Peaky...
Umeandika maneno mengi lakini nitajaribu kukueleza niliyonayo kwa hayo uliyoeleza.

Mwalimu hakunyanyua kalamu kusema lolote kuhusu kitabu cha Abdul Sykes kwa hiyo hakuna ushahidi wa maandishi hata kama kweli alizungumza na Prof. Haroub Othman na mpashaji wangu mwengine ambae habari zake bado sijakupa.

Lakini elewa kuwa hayo hapo juu nikuelezayo yametokea kitabu kishachapwa.

Mimi sijataka historia ya zamani ifutwe.

Nataka iwepo sana kwani historia hiyo ndiyo inayisadikisha ukweli wa yaliyomo katika kitabu cha Abdul Sykes.

Unasema kuna wanao kipinga kitabu changu.

Kitabu kinapingwa na kitabu na kitabu hakiandikwi ila baada ya utafiti.

Hili halijafanyika.

Hata kitabu cha Mwalimu Nyerere kilichoandikwa na Prof. Shivji at al. hakijaweza kujibu kitabu changu wala kutumia nyaraka na picha adimu nilizowapa za Mwalimu wakati wa kudai uhuru.

Nimeeleza kwa kirefu kuhusu uhusiano wa Nyerere na Waislam baada ya uhuru.

Wako wanaisema hii ndiyo moyo wa kitabu.

Ningemdogosha Nyerere au kumvunjia heshima ningekiua kitabu changu na kisingefikia kuchapwa mara nne.

Nimemweleza Mwalimu kwa namna ambayo msomaji kila akisoma anajiuliza maswali na anajifunza yale ambayo hakupata kuyajua.

Hakuna mahali popote wazee wangu walipotofautiana na Nyerere si Abdul Sykes si Dossa Aziz wala si babu yangu Salum Abdallah.

Historia zao nimeziandika na zinafahamika.

Ni kweli baada ya Berlin Conference 1884 ndipo Wajerumani wakapigana na Abushiri bin Salim, Mtwa Abdallah Mkwawa, Hassan Omari Makunganya, Nduna Abdulrauf Songea Mbano Mangi Meli kwa kuwataja viongozi wachache.

Nashukuru umelileta hili la safari ya Nyerere UNO.

Uliwaka moto hapa JF kiasi cha miaka 10 iliyopita nilipoeleza kuwq hotuba ya Mwalimu Nyerere iliandikwa mwaka wa 1950 na TAA Political Subcommittee kutokana na mapendekezo ya katiba kwa Gavana Edward Francis Twining.

Na mtu aliyesaidia sana kuandika mapendekezo haya alikuwa Earle Seaton Mshauri wa TAA katika mambo ya Mandate Territory.

Seaton alimfahamisha Abdul Sykes zamani sana kuwa kama TAA inataka kupiga hatua ya maana ni lazima ianzishe mazungumzo na UNO si na Gavana.

Mipango hii ikaanza mara moja.

Hii ni historia ndefu siwezi kuieleza yote hapa ila nitakueleza kuwa mipango yote na mikakati ya Tanganyika kuzungumza UNO ilianza Nyerere hajawa kiongozi wa TAA pale New Street, Dar es Salaam.

Wala hakuna aliyemfikiria Nyerere katika mipango hii.

Lakini ni wazi kuwa atakaekwenda UNO atakuwa kiongozi wa TANU.

Uwezo wa Mwalimu Nyerere hakuna wa kuupinga lakini ni nani waliokuwa nyuma yake?

Bila kusoma kitabu cha Abdul Sykes utaijuaje historia ya Julius Nyerere?
 
Peaky...
Umeandika maneno mengi lakini nitajaribu kukueleza niliyonayo kwa hayo uliyoeleza.

Mwalimu hakunyanyua kalamu kusema lolote kuhusu kitabu cha Abdul Sykes kwa hiyo hakuna ushahidi wa maandishi hata kama kweli alizungumza na Prof. Haroub Othman na mpashaji wangu mwengine ambae habari zake bado sijakupa.

Lakini elewa kuwa hayo hapo juu nikuelezayo yametokea kitabu kishachapwa.

Mimi sijataka historia ya zamani ifutwe.

Nataka iwepo sana kwani historia hiyo ndiyo inayisadikisha ukweli wa yaliyomo katika kitabu cha Abdul Sykes.

Unasema kuna wanao kipinga kitabu changu.

Kitabu kinapingwa na kitabu na kitabu hakiandikwi ila baada ya utafiti.

Hili halijafanyika.

Hata kitabu cha Mwalimu Nyerere kilichoandikwa na Prof. Shivji at al. hakijaweza kujibu kitabu changu wala kutumia nyaraka na picha adimu nilizowapa za Mwalimu wakati wa kudai uhuru.

Nimeeleza kwa kirefu kuhusu uhusiano wa Nyerere na Waislam baada ya uhuru.

Wako wanaisema hii ndiyo moyo wa kitabu.

Ningemdogosha Nyerere au kumvunjia heshima ningekiua kitabu changu na kisingefikia kuchapwa mara nne.

Nimemweleza Mwalimu kwa namna ambayo msomaji kila akisoma anajiuliza maswali na anajifunza yale ambayo hakupata kuyajua.

Hakuna mahali popote wazee wangu walipotofautiana na Nyerere su Abdul Sykes si Dossa Aziz wala si babu yangu Salum Abdallah.

Historia zao nimeziandika na zinafahamika.

Ni kweli baada ya Berlin Conference 1884 ndipo Wajerumani wakapigana na Abushiri bin Salim, Mtwa Abdallah Mkwawa, Hassan Omari Makunganya, Nduna Abdulrauf Songea Mbano Mangi Meli kwa kuwataja viongozi wachache.

Nashukuru umelileta hili la safari ya Nyerere UNO.

Uliwaka moto hapa JF kiasi cha miaka 10 iliyopita nilipoeleza kuwq hotuba ya Mwalimu Nyerere iliandikwa mwaka wa 1950 na TAA Political Subcommittee kutokana na mapendekezo ya katiba kwa Gavana Edward Francis Twining.

Na mtu aliyesaidia sana kuandika mapendekezo haya alikuwa Earle Seaton Mshauri wa TAA katika mambo ya Mandate Territory.

Seaton alimfahamisha Abdul Sykes zamani sana kuwa kama TAA inataka kupiga hatua ya maana ni lazima ianzishe mazungumzo na UNO si na Gavana.

Mipango hii ikaanza mara moja.

Hii ni historia ndefu siwezi kuieleza yote hapa ila nitakueleza kuwa mipango yote na mikakati ya Tanganyika kuzungumza UNO ilianza Nyerere hajawa kiongozi wa TAA pale New Street, Dar es Salaam.

Wala hakuna aliyemfikiria Nyerere katika mipango hii.

Lakini ni wazi kuwa atakaekwenda UNO atakuwa kiongozi wa TANU.

Uwezo wa Mwalimu Nyerere hakuna wa kuupinga lakini ni nani waliokuwa nyuma yake?

Bila kusoma kitabu cha Abdul Sykes utaijuaje historia ya Julius Nyerere?
Hujajibu hoja na maswali yangu kwenye post iliyopita. Hapa umetoa maelezo tu bila majibu.

Naomba jibu kwa kila swali nililouliza.

Huoni umetunga tu kusema Nyerere alikisoma kitabu na kusema umeandika ukweli? Wewe uliambiwa tu, na huenda ulidanganywa au uliamua kutudanganya. Kama mwandishi unakosaje ushahidi ambao ungekupa nafasi kubwa ya kuthibitisha madai yako?
 
Hujajibu hoja na maswali yangu kwenye post iliyopita. Hapa umetoa maelezo tu bila majibu.

Naomba jibu kwa kila swali nililouliza.

Huoni umetunga tu kusema Nyerere alikisoma kitabu na kusema umeandika ukweli? Wewe uliambiwa tu, na huenda ulidanganywa au uliamua kutudanganya. Kama mwandishi unakosaje ushahidi ambao ungekupa nafasi kubwa ya kuthibitisha madai yako?
Peaky....
Ikiwa hayo si majibu basi tuchukulie kuwa ni bahati mbaya kwako.

Sikupata kujua kuwa kuna tofauti kati ya maelezo na majibu.

Sina majibu zaidi ya hayo.

Ikiwa unaona kuwa nimetunga uongo kwangu ni sawa.

Simlazimishi mtu kuamini niliyoandika katika kitabu cha Abdul Sykes.

Ana uhuru na haki ya kuamini historia iliyoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni.

Wala sikuandika historia ya uhuru wa Tanganyika ili nithibitishwe na yeyote yule.

Nani anaweza kuwa na uwezo wa kuthibitisha historia ya babu yangu Salum Abdallah?

Atathibitishaji ilhali yeye hamjui?

Nani wa kuthibitisha historia ya Iddi Faiz Mafungo?

Nani wa kuthibitisha historia ya Kiyate Mshume?

Nani wa kuthibitisha historia ya Ali Msham?

Lakini picha zao nimeziweka hapa wakiwa na Julius Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Na hata kama watazikataa picha hizi kwangu ni sawa.

Wengi wameniamini kuanzia wasomaji wa kawaida hadi walimu wa Vyuo Vikuu vinavyosomesha African History.

Kitabu cha Abdul Sykes leo ni rejea kuu katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Kitabu hiki ndicho kilichosababisha yeye na nduguye Ally Sykes kutunukiwa Medali ya Mwenge wa Uhuru kwa msaada wao kwa taifa hili.
 
Peaky....
Ikiwa hayo si majibu basi tuchukulie kuwa ni bahati mbaya kwako.

Sikupata kujua kuwa kuna tofauti kati ya maelezo na majibu.

Sina majibu zaidi ya hayo.

Ikiwa unaona kuwa nimetunga uongo kwangu ni sawa.

Simlazimishi mtu kuamini niliyoandika katika kitabu cha Abdul Sykes.

Ana uhuru na haki ya kuamini historia iliyoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni.

Wala sikuandika historia ya uhuru wa Tanganyika ili nithibitishwe na yeyote yule.

Nani anaweza kuwa na uwezo wa kuthibitisha historia ya babu yangu Salum Abdallah?

Atathibitishaji ilhali yeye hamjui?

Nani wa kuthibitisha historia ya Iddi Faiz Mafungo?

Nani wa kuthibitisha historia ya Kiyate Mshume?

Nani wa kuthibitisha historia ya Ali Msham?

Lakini picha zao nimeziweka hapa wakiwa na Julius Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Na hata kama watazikataa picha hizi kwangu ni sawa.

Wengi wameniamini kuanzia wasomaji wa kawaida hadi walimu wa Vyuo Vikuu vinavyosomesha African History.

Kitabu cha Abdul Sykes leo ni rejea kuu katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Kitabu hiki ndicho kilichosababisha yeye na nduguye Ally Sykes kutunukiwa Medali ya Mwenge wa Uhuru kwa msaada wao kwa taifa hili.
Hujui tofauti ya kujibu swali na kutoa maelezo?

Unasema hakuna mtu anaijua historia ya babu yako ika wewe tu.
Swali: naomba ujibu swali sio utoe maelezo out of context
-Huyo babu yako hakuwa na watu waliomfahamu na kushirikiana nae?
-Kama wapo iweje usemw wewe tu ndie unaijua historia yake?
-Nani anaweza kueleza ukweli ulivo kati ya mtu alieshuhudia na mtu alie simuliwa?
 
Hujui tofauti ya kujibu swali na kutoa maelezo?

Unasema hakuna mtu anaijua historia ya babu yako ika wewe tu.
Swali: naomba ujibu swali sio utoe maelezo out of context
-Huyo babu yako hakuwa na watu waliomfahamu na kushirikiana nae?
-Kama wapo iweje usemw wewe tu ndie unaijua historia yake?
-Nani anaweza kueleza ukweli ulivo kati ya mtu alieshuhudia na mtu alie simuliwa?
Peaky...
Hakika sijui ninapokujibu wewe utaona ni maelezo au vinginevyo.

Ila elewa kuwa maisha yangu ni haya kama unavyoyashuhidia hapa ya kusoma, kuandika na mijadala.

Na nimefanya mijadala mingi tena kiwango cha Vyuo Vikuu mijadala na wajuzi somo la historia.

Kote nilikopita sijakutana na watu ambao hawajaandika chochote katika hayo wanayojadili lakini wanadhani kuwa wao ni wajuzi.

Hili ndilo tatizo linalokutananalo kwako.

Salum Abdallah babu yangu kaongoza migomo mikubwa mitatu (General Strikes) Tanganyika: 1947, 1949 na 1960.

Ninaposomesha historia hii tena kwa mabingwa wa historia maswali yao huwa kutaka kumjua zaidi babu yangu.

Wananiuliza mgomo wa 1960 uliodumu siku 82 vipi wafanyakazi waliweza kujikimu kwa miezi mitatu hawapokei mshahara?

Wananiuliza imekuwaje katika historia ya uhuru wa Tanganyika historia ya Salum Abdallah haiko?

Wananiuliza kwa nini aliwekwa kizuizini baada ya uhuru nk. nk.

Siulizwi maswali ya kwa nini nasema hakuna ajuaye historia ya babu yangu?

Wewe ndugu yangu ulipata kusoma popote historia hii ninayoeleza hapa?

Haikuwako.

Lakini leo mimi nimepokea nishani tano kutokana na historia hii na ya mwisho nimeipokea mwezi uliopita.
 
Kote nilikopita sijakutana na watu ambao hawajaandika chochote katika hayo wanayojadili lakini wanadhani kuwa wao ni wajuzi.

Hili ndilo tatizo linalokutananalo kwako.
Very sad.
Despite not knowing me, you have already judged me for not writing anything. Arrogance is a problem for you. Not everyone enjoys being arrogant. Let's relax now since we've all been here for the past two days. Your time is appreciated.
 
Very sad.
Despite not knowing me, you have already judged me for not writing anything. Arrogance is a problem for you. Not everyone enjoys being arrogant. Let's relax now since we've all been here for the past two days. Your time is appreciated.
Peaky...
Mimi Mohamed Said Salum Abdallah.

English Language Cambridge Exams 1970 Merit Pass English Oral.

Wengi kama wewe wamejaribu kunijaribu kwa Kiingereza.

Nani mwenye tatizo la kibri na complex?

Kiweke hapa ulichoandika kama kweli umeandika.

I defy you.
 
KImsingi
Mohamed Said anapita kwenye njia ya ukweli na anao uthibitisho,
 
Peaky...
Mimi Mohamed Said Salum Abdallah.

English Language Cambridge Exams 1970 Merit Pass English Oral.

Wengi kama wewe wamejaribu kunijaribu kwa Kiingereza.

Nani mwenye tatizo la kibri na complex?

Kiweke hapa ulichoandika kama kweli umeandika.

I defy you.
Unazeeka vibaya. Punguza udini na chuki, maisha sio magumu hivyo.
 
Unazeeka vibaya. Punguza udini na chuki, maisha sio magumu hivyo.
Peaky....
Sidhani kama uzee wangu ni tatizo kwa jamii yangu.

Mwezi wa April nimenitunukiwa cheti "for intellectual excellence," kwa mchango wangu kwa jamii.

Suala la udini nimekujibu na nitaendelea kukujibu kuwa ningekuwa mdini nisingeshirikishwa katika miradi ya uandishi wa Dictionary of African Dictionary (DAB), historia ya Julius Nyerere na kitabu cha Abdul Sykes kisingeuzika kwa kiasi hiki kuwa kimechapwa mara nne na kinakwenda toleo la tano nk. nk.

Sina chuki na mtu yeyote na ushahidi ni huu kuwa vyombo vyote vikubwa vya habari vinanitambua: TBC, AZAM, ITV, BBC, VoA, DW, SABC, Sauti ya Iran.

Sijui hili la maisha magumu kwangu umelitoa wapi.
Angalia picha hizo hapo chini:

1714155166153.jpeg
Na Salim Himidi Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nchi za Nje Comoro
Hapa ni Paris 2011
1714155363530.jpeg

Columbia University, New York 2011
1714155760264.jpeg

VoA Washington DC 2011
1714155438893.jpeg

Makka 2014​
Peaky,
Unaona dalili za dhiki katika maisha yangu na kuzeeka kwa shida?
Ungependa nikuwekee picha zangu katika ujana wangu zikusaidie kunifahamu?
 
Peaky....
Sidhani kama uzee wangu ni tatizo kwa jamii yangu.

Mwezi wa April nimenitunukiwa cheti "for intellectual excellence," kwa mchango wangu kwa jamii.

Suala la udini nimekujibu na nitaendelea kukujibu kuwa ningekuwa mdini nisingeshirikishwa katika miradi ya uandishi wa Dictionary of African Dictionary (DAB), historia ya Julius Nyerere na kitabu cha Abdul Sykes kisingeuzika kwa kiasi hiki kuwa kimechapwa mara nne na kinakwenda toleo la tano nk. nk.

Sina chuki na mtu yeyote na ushahidi ni huu kuwa vyombo vyote vikubwa vya habari vinanitambua: TBC, AZAM, ITV, BBC, VoA, DW, SABC, Sauti ya Iran.

Sijui hili la maisha magumu kwangu umelitoa wapi.
Angalia picha hizo hapo chini:

View attachment 2974852 Na Salim Himidi Waziri Mstaafu wa Mambo ya Nchi za Nje Comoro
Hapa ni Paris 2011
View attachment 2974854
Columbia Unniversity, New York 2011
View attachment 2974866
VoA Washington DC 2011
View attachment 2974859
Makka 2014​
Peaky,
Unaona dalili za dhiki katika maisha yangu na kuzeeka kwa shida?
Ungependa nikuwekee picha zangu katika ujana wangu zikusaidie kunifahamu?
😀 Huo ni msemo tu, sikumaanisha una maisha magumu.
Nadhani nilikwambia nakufahamu toka ukiwa university of Wales. Nayafahamu maisha yako rafiki, huna maisha magumu. Ni vile tu nimeamua kuwa anonymous haja JF kwa hiyo siwezikuweka chochote kinachonihusu. Asante rafiki.

Je una mpango wa kuandika kitabu kingine? Kama ndio, kitahusu nini?
Nategemea kusoma mawazo yako mpya kwenye uandishi wa miaka hii. Au kama unacho kipya niambie nakipata wapi na kinaitwaje.
 
😀 Huo ni msemo tu, sikumaanisha una maisha magumu.
Nadhani nilikwambia nakufahamu toka ukiwa university of Wales. Nayafahamu maisha yako rafiki, huna maisha magumu. Ni vile tu nimeamua kuwa anonymous haja JF kwa hiyo siwezikuweka chochote kinachonihusu. Asante rafiki.

Je una mpango wa kuandika kitabu kingine? Kama ndio, kitahusu nini?
Nategemea kusoma mawazo yako mpya kwenye uandishi wa miaka hii. Au kama unacho kipya niambie nakipata wapi na kinaitwaje.
Peaky...
Kuna shinikizo kubwa kutoka kwa watu wengi ati niandike historia ya maisha yangu.

Hili haliniingii akilini kwa sababu siamini kama nina umuhimu huo wa watu kutaka kusoma maisha yangu.

Wao wanasema nimezunguka kwingi na nimefahamiana na watu wengi.

Hili kidogo linaniingia akilini lakini kama kuandika nitawaandika watu hawa.

Hata hivyo nina miswada kadhaa bado haijachapwa.

Kitabu changu cha mwisho ni "Sal Davis An Autobiography," kimechapwa na Amazon (2023).
 
MJADALA WA WACHANGIAJI M1 JF Jukwaa la Historia 2013

Yericko Nyerere (pichani) miaka 11 iliyopita alifungua uzi JF kwa nia ya kupinga historia ya uhuru wa Tanganyika kama nilivyoieleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

Huu ukawa mjadala mkali, mrefu uliokwenda kwa miezi sita mfululizo bila ya kusimama, uliopitiwa na wasomaji milioni moja.

Wasomaji waliosimama kama kundi moja wakimuunga mkono Yericko Nyerere walikataa kuwa Waislam na Uislam hauna cha kujivunia katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Hawa walikuwa wakali kwa lugha na wakati mwingine walitoa vitisho na matusi.

Wachangiaji wachache hawajai kiganjani waliniunga mkono wakishikilia kuwa nimeandika historia ya kweli ambayo imefuta historia iliyokuwa haina ithibati.

Mimi nilisimama kwenye ukweli kuwa historia niliyoandika ndiyo historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika na historia ya kweli ya Julius Kambarage Nyerere katika uhusiano wake na wenyeji wa Dar es Salaam.

Mjadala kama huu haujapata kutokea tena na umeweka rekodi ya pekee sasa muongo mmoja umefika.

Leo nimeshangaa kuona uzi huu umewekwa JF Jukwaa la Historia na mwanachama anaejiita "Ubongokid," akiomba mnakasha ule wa watu milioni moja ufanywe kitabu.

Bora Mzee wetu umerejea jukwaani!

Nilizimisi sana nyuzi zako.
 
Gold...
Mbona nalala hapa naamka hapa na kutwa nzima nashinda hapa?

Jana tu nimeweka video tano kuhusu historia ya TANU Southern Province.

Hujaziona?
Labda tulikuwa tukipishana mzee wangu, nilishachungulia humu mara kadhaa kuona kama kuna madini mapya uliyoyaweka ila sikubahatika kukutana nayo. Nilifikiri labda uko "busy" unaandika kitabu, n.k.

Ila shukran sana kufahamu kuwa bado unaendelea kuwekeza humu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo.

Nitazifuatilia. Kuna mapya najifunza kupitia mada zako.
 
Back
Top Bottom