Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

Mjane wa Dkt. Reginald Mengi (Jacqueline Ntuyabaliwe) apata ushindi rufaa ya mirathi

kama abdieli umo humu chukua hii;

Hivi huyo malaya alosababisha mama yenu aachike kwa mumewe na bado anataka kuwaporeni mali ambazo mama yenu na baba yenu alizichuma, kwanini mnaendelea kumuacha hai?

Hivi ninyi ni wachaga gani wa kupelekeshwa mbele ya mali na chasaka wa kike?

Huyo malaya wa kike muondosheni duniani, hana tofauti na wezi wanaopigwa risasi na kuchomwa moto. Hilo ni dangaji jizi hilo, fala sana hilo.
Unamuonea Jacq. Wakati anakutana na Mengi alikuwa ameshaachana na mke muda mrefu sana. Jacq hajasababisha hiyo ndoa kuvunjika
 
Wangeweza kukaa yaani Wachaga wote hawa hawana wazee jameni...kaeni yaishe kwa amani...
 
Jackline alichuma nini na Mengi?
Swali la kiboya Sana mali za mengi na mkewe wa kwanza walishagawana automatically mali za mengi mda ule akiwa na jackline hata wangekaa mwaka mmoja kikubwa watoto wamepata basi watoto wanastaili zile mali pia mke apewe kutunzia watoto make mkubwa hana chake

Punguza uchaga simamia ukweli ulipo unajua mzee kafanya mangapi akiwa na jack najua hujui hata mm sijui usilete mbwembwe🤣🤣
 
Chukulia kwa level ya familia tu!

Mfano mama yenu mzazi afariki halafu mali zote alizochuma na baba yenu mzazi iwe majumba na mabiashara mzee aamue kuzigawa kwa dogo dogo wake eti kisa tu anampaga K vizuri na amemzalia mdogo wenu 😂!

Hapo moto lazma uwake yani af ukiangalia huyo mama mdogo awe hana maelewano na nyie mazuri na kujifanya much know.
Mimi nimelishudia jambo kama hili tofauti ndogo tu, jamaa zangu Baba yao alikuwa Profesa Udsm, akafiwa na mke yani mama yao na washkaji.

Akakaa miaka akaoa dogodogo then maisha yakaendelea na akazaa naye, ikaja Professor akafariki lakini kwenye mirathi mama yao mdogo wamemfanyia fair play kapata mgao mzuri tu wa nyumba kadhaa na VX kaachiwa.

Hapa nilichojifunza mama mdogo aliishi na watoto wakubwa vizuri ndio maana mzee alipokufa wakamjari na wakampa mgao ambao hakuna manung'uniko yoyote mpaka kesho.

Sasa tofauti ya Jack yani anataka kuonesha yeye ndio Sterling wa picha la kivita winner takes all, kwamba utajiri wote wa Mengi aubebe yeye halafu watoto wakubwa wapewe bukubuku tu, yani kale kamalaya kalivyo na roho mbaya hadi cheni za dhahabu kanamindi kaandika arithishwe yeye.
 
Unamuonea Jacq. Wakati anakutana na Mengi alikuwa ameshaachana na mke muda mrefu sana. Jacq hajasababisha hiyo ndoa kuvunjika
Hawajui hao washamba wanapiga kelele mzee kamfuata jack mwenyewe alimuapproach huko dubai jack alikuwa na ishu zake za kibiashara kampotezea mda mzikia kamuachisha then atoke patupu watajua kama hawajui
 
Mimi nimelishudia jambo kama hili tofauti ndogo tu, jamaa zangu Baba yao alikuwa Profesa Udsm, akafiwa na mke yani mama yao na washkaji.

Akakaa miaka akaoa dogodogo then maisha yakaendelea na akazaa naye, ikaja Professor akafariki lakini kwenye mirathi mama yao mdogo wamemfanyia fair play kapata mgao mzuri tu wa nyumba kadhaa na VX kaachiwa.

Hapa nilichojifunza mama mdogo aliishi na watoto wakubwa vizuri ndio maana mzee alipokufa wakamjari na wakampa mgao ambao hakuna manung'uniko yoyote mpaka kesho.

Sasa tofauti ya Jack yani anataka kuonesha yeye ndio Sterling wa picha la kivita winner takes all, kwamba utajiri wote wa Mengi aubebe yeye halafu watoto wakubwa wapewe bukubuku tu, yani kale kamalaya kalivyo na roho mbaya hadi cheni za dhahabu kanamindi kaandika arithishwe yeye.
Hapo ndipo anapofeli huyo Malaya Jacky
 
Mimi nimelishudia jambo kama hili tofauti ndogo tu, jamaa zangu Baba yao alikuwa Profesa Udsm, akafiwa na mke yani mama yao na washkaji.

Akakaa miaka akaoa dogodogo then maisha yakaendelea na akazaa naye, ikaja Professor akafariki lakini kwenye mirathi mama yao mdogo wamemfanyia fair play kapata mgao mzuri tu wa nyumba kadhaa na VX kaachiwa.

Hapa nilichojifunza mama mdogo aliishi na watoto wakubwa vizuri ndio maana mzee alipokufa wakamjari na wakampa mgao ambao hakuna manung'uniko yoyote mpaka kesho.

Sasa tofauti ya Jack yani anataka kuonesha yeye ndio Sterling wa picha la kivita winner takes all, kwamba utajiri wote wa Mengi aubebe yeye halafu watoto wakubwa wapewe bukubuku tu, yani kale kamalaya kalivyo na roho mbaya hadi cheni za dhahabu kanamindi kaandika arithishwe yeye.
Sio jack ile ni defensive mechanism wachaga wabaguzi mno hawataki Mali iende upandewingine kingine jua hata huko uchagni jack anaona ushamba Mzee alikuwa na jumba ila hapendi kukaa huko Bata zake Dubai

Kifupi jack kaja kuchuma mali pale ndo mchezo ulipo Wala Hana time na huko moshi
 
Watoto wa baba yako inabidi waende mahakamani ili uwahudumie
 
Swali la kiboya Sana mali za mengi na mkewe wa kwanza walishagawana automatically mali za mengi mda ule akiwa na jackline hata wangekaa mwaka mmoja kikubwa watoto wamepata basi watoto wanastaili zile mali pia mke apewe kutunzia watoto make mkubwa hana chake

Punguza uchaga simamia ukweli ulipo unajua mzee kafanya mangapi akiwa na jack najua hujui hata mm sijui usilete mbwembwe🤣🤣
Mimi siyo mchaga, kwanza sijawahi kulewa mvinyo wa ukabila.

Hakuna mtu yeyote mwenye matatizo na watoto wadogo wa Mzee Mengi, bali tuna tatizo na huyo Kahaba ambaye wewe huoni tatizo lake.

Huyo Kahaba Mzee akiwa hai alishamfungulia biashara ya kwake binafsi ya furniture kutoka nje, anachokifanya sasa akipoteza hii kesi mahakamani anawaharibia future hata watoto wake mwenyewe.

Ukitaka kuujuwa vyema ushetani wa huyu Kahaba kwenye wosia aliyofoji hadi lile hekalu kule machame alikozikwa Mengi kaandika mrithi ni yeye, ni vitu haviingii akilini kabisa.
 
Mimi siyo mchaga, kwanza sijawahi kulewa mvinyo wa ukabila.

Hakuna mtu yeyote mwenye matatizo na watoto wadogo wa Mzee Mengi, bali tuna tatizo na huyo Kahaba ambaye wewe huoni tatizo lake.

Huyo Kahaba Mzee akiwa hai alishamfungulia biashara ya kwake binafsi ya furniture kutoka nje, anachokifanya sasa akipoteza hii kesi mahakamani anawaharibia future hata watoto wake mwenyewe.

Ukitaka kuujuwa vyema ushetani wa huyu Kahaba kwenye wosia aliyofoji hadi lile hekalu kule machame alikozikwa Mengi kaandika mrithi ni yeye, ni vitu haviingii akilini kabisa.
Mkuu huyo alikuwa na mission yake ngoja tuone ila sidhani kama alikuwa na upendo na mzee kwa wakati ule ila hapa nataka wauwane tu basi hamna namna jack na hao wachaga
 
Hawajui hao washamba wanapiga kelele mzee kamfuata jack mwenyewe alimuapproach huko dubai jack alikuwa na ishu zake za kibiashara kampotezea mda mzikia kamuachisha then atoke patupu watajua kama hawajui
Una sifa zote za kuwa mfuasi wa yule dada wa Instagram mtoto wa kufikia wa Dr Mwele.

Bila shaka umeshalipia ela ya kujiunga kwenye App yake, maana umecomment kishangingi mno.
 
Una sifa zote za kuwa mfuasi wa yule dada wa Instagram mtoto wa kufikia wa Dr Mwele.

Bila shaka umeshalipia ela ya kujiunga kwenye App yake, maana umecomment kishangingi mno.
Hata account huko Instagram Sina

Ukweli usemwe rudi kasome Sheria tafuta wapare wakusaidie KESI kama hyo maana wako smart kweny sheria
 
Wangeweza kukaa yaani Wachaga wote hawa hawana wazee jameni...kaeni yaishe kwa amani...
Bahati nzuri nawaelewa wachaga kiasi fulani, wachaga ni watu wa mila sana, ukisema waingilie hili lazima wachinje mbuzi wa mila mle nyama.

Sasa kwa ninavyoliona mimi hili na ninavyomjuwa huyo kahaba akila nyama mbuzi wa kimila apinduki anakufa.

Siyo kwamba nyama inawekwa sumu bali kuanzia kabla ya kifo mpaka mgogoro huu ile mbuzi ya kimila inakwenda kumtandika Jackline, usikubali kufanya mambo ya mila na wachaga ukijuwa hujasimama kwenye haki.
 
Wachaga wana tamaa ya mali sana
Hapo nani mwenye tamaa ya mali
1) Mwanamke ambae amekuja uzeeni mwa Mzee Mengi, ambae anataka Mali zote za marehemu apewe yeye peke yake na akamrubuni mzee asitoe hata senti moja kwa watoto wake wakubwa ambao alishiriki kutafuta nao hiyo mali..na ikatokea hao watoto wakaenda mahakamani kudai urithi wao, basi mahakama iwape sh elfu moja (buku) ya kitanzania.

2) Watoto wakubwa wa marehemu, ambao mama yao mzazi ndo alianza maisha na Mzee Mengi, wakashirikiana na baba yao kusimamia hizo mali wakiwa kama wakurugenzi watendaji wa makampuni hayo mpaka mali ikawa nyingi. He unaona hawa watoto hawastahili kupata hata mia kutoka kwenye mali ya baba yao? Utaonaje wana tamaa Wakati wanapambania mali waliyoshiriki kuichuma, ambayo na jasho la mama yao limo humo?
Think twice my friend...usiwe unakurupuka kujaji mambo ambayo hujui.
 
Back
Top Bottom