johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Hahahaaa....... Jasiri haachi asili bwashee!Umemkosea heshima huyo bwana kimwita Mjapan.
Siyo kila aloyebimba macho ni mjapani. Hiyo uloyekutana naye ni Mtanzania. Na huenda anatpkea Tandale. Ni wale wanaozaliwa kutoka kwa dada poa baada ya kukutana na wageni pale wawapo kwenye harakati zao.
Huwezi tenganisha kazi na siasa.Siasa inaanza kwanza,kwa kuwahidi utafanya then kazi inafanyika kutimiza ulichokihaidiInjinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Ukisifu kikombe kinakupita kushoto.Kosa la Manji upepo ulipobadilika angeanza kusifu na kuabudu kama Rostam yasingemkutaAnaongea kwa sababu hajanyang'anywa passport yake, na Fedha zake bank kuchukuliwa kwa nguvu!
Usitufanye mapoyoyo hayo Ni mawazo usijifiche kwenye mgongo wa mjapani. Jpm anaharibu nchi. Ajira hamna Ila Kuna midegeInjinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Ok.Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Pale zinatoka njia nane ya mwendokasi ikiwemo, za baiskeli na watembea kwa miguuOk.
Ebu tupe kidogo stori, ile barabara mi siielewe, naona mara zege mara mahandaki pale CoICT, ni barabara ya aina gani? Ya mwendokasi au?
Dah, safi sana. JPM mpaka kieleweke.Pale zinatoka njia nane ya mwendokasi ikiwemo, za baiskeli na watembea kwa miguu
Atakua mjapani wa burigi huyoInjinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Wale wavivu wa kufikiri watakwambia umesahau kuweka namba yako ya simu.Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Hakika mkuu!Wale wavivu wa kufikiri watakwambia umesahau kuweka namba yako ya simu.
JPM anaongea leo na anatenda leo leo. Yule mzee wakujimwambafy aliwaweka kiporo wapigaji, mpaka anaondoka ikulu hakuwagusa.
Pamoja na kuandika ukijiamini kuwa unaufahamu mkubwa,kinyume chake ni kuwa unaulewa mdogo Sana kwenye jambo uliloliadili hapa!inawezekana umesoma lakini labda una digrii za tabia za mijusi na vyura..au pengine una digrii za tabia za vyuma na kutu!Mjapani huyo Engineer asingekuwa sahihi zaidi.Siasa kweli ni porojo za kijinga zilizoingizwa kwa siri as a system of divide and rule.Nia ya system hii ni kuleta strife and sometimes even war when desired by the "World Establisment." Nia pia ni kututoa kwenye maswala ya msingi,and in this case I mean mainly development.Sisi kwa ujinga wetu tume-adopt the system as something real.Very stupid indeed.Ni wakati muafaka sasa wa kuachana na porojo za siasa na kurudi kwenye msingi,ambao ni kazi.Slogan ya "Hapa Kazi Tuu," wouldn't have been more appropriate.
Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Kwa kiswahili mkuu....... swali lingine!Mliongea kijapani au kwa kiswahili?
Hukumuuliza mjapani kuwa kwao hawfanyi siasa?, na kama kuna vyama vya upinzani.Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan.
Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema.
Mjapani ameniuliza kama hawa wanasiasa wa Chadema na CCM ni wafanyaji kazi kweli au wanaishi kwa kutumia mdomo ( kuongea) tu?.....nikamjibu wapo baadhi wana kazi zao hata Kiongozi mkuu wa upinzani ni mfanyabiashara mkubwa tu hapa nchini.
Mwisho mjapan ameniambia maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yataifanya Tanzania iwe ni nchi ya kupigia mfano, muungeni mkono.
Huyu mjapan tumekuta pale jirani na Maryland nikamdadisi mawili matatu kuhusu ujenzi unaoendelea wa barabara.
Maendeleo hayana vyama
Bwashee umeshapanic!Wewe na huyo mjapani wako wote vilaza
Nilimuuliza mkuu....... Akanijibu kuwa kwao wana mfumo wa vyama vingi vya siasa lakini ni vyama viwili tu ndio vyenye nguvu.Hukumuuliza mjapani kuwa kwao hawfanyi siasa?, na kama kuna vyama vya upinzani.
Kipi nilichoandika hapo ambacho sio sahihi,tell me.Usiishie kutukana tu,be objective.Kwa ujinga wenu mmelishwa matango mwitu halafu bila kujua mmeyakubali,poleni sana.Pamoja na kuandika ukijiamini kuwa unaufahamu mkubwa,kinyume chake ni kuwa unaulewa mdogo Sana kwenye jambo uliloliadili hapa!inawezekana umesoma lakini labda una digrii za tabia za mijusi na vyura..au pengine una digrii za tabia za vyuma na kutu!