No,soma tena lugha aliyotumia sio ya kistaarabu.And then nadhani yeye ndiye asiye na ufahamu wa mambo niliyoandika,kwa kuwa ni jambo lililowazi kwamba watu wengi hasa watanzania wanajua tu kiasi fulani mambo waliyosomea,na hata hapo elimu nyingi wameiacha vyuoni.Ukimtoa kidogo nje ya hapo ni sifuri, sababu kubwa ikiwa kwa kuwa Watanzania tulio wengi hatupendi kujisomea.Hii inatufanya tuwe mambumbumbu katika mambo mengi sana.Hivi nikikuambia simu inaweza kutumiwa kama bomu unaweza kuamini kweli wewe,au kama minara ya simu inaweza kuiteketeza Dar es Salaam yote kwa moto unaweza kuamini kweli wewe?Haya sasa mambo hayo.