Mje mnishauri kuhusu kuweka picha ya mpenzi wangu homescreen ya simu yangu

Mbona siioni mkuu!?
 
Hiyo pisi yako ni bikra kama sio nakushauri weka picha ya mama yako au baba yako huyo pisi atajioweka mwenyewe kwenye simu yake.
Vijana punguzeni ulofa.!!
Dah Haya Mkuuu, Kwa Kumuangalia Tu Sio Bikra Hata.
 
Kila la kheri, akikupa unaweka kiungo chake za uzazi kabisa kama home screen...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…