Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona siioni mkuu!?Wajuba Kuna Pisi Hua Naielewa Sana, Sasa Kuna Picha Nimepiga Nae Nimeweka Kwenye HomeScreen & LockScreen Ya Simu Yangu.
Kila Nikibonyeza Kutoa Lock Naona Tabasamu Lake na Lina Nipa Furaha Kila Mara, Nimtazamapo.
Swali: Je Wakuu Tunaweka Picha Ya HomeScreen Za Mademu tunao wapenda Kama Bado Hajakupa Mzigo (Tunda). ??
Pisi Ni Kali Hatari Mpka Naona Aibu, Mtu Akishika Simu Yangu anaona kama Naringishia...., Maana lazima Waulize hii Pisi Ya Wapi.
Embu Nishauri Nitoe Au Nikomae na Hisia Zangu. Nampenda huyu Binti.
Amna NomaAcha ufala mwingi kuna vitu vya kuomba ushauri ila sio huu upuuzi ulioandika
Poa PoaaWeka picha yake tuone kama anafaa
Asante Sana Kwa Kunitia Moyo.mkuu simu ni ya kwako .. fanya maamuzi yako...
Dah Haya Mkuuu, Kwa Kumuangalia Tu Sio Bikra Hata.Hiyo pisi yako ni bikra kama sio nakushauri weka picha ya mama yako au baba yako huyo pisi atajioweka mwenyewe kwenye simu yake.
Vijana punguzeni ulofa.!!
Nikijaribu Kufuta Kuna kakitu Moyoni Kanauma hiviiiUsiweke. Kwanza ifute kabisa.
Amna Mimi ni Mchaga OG, ila Kwenye Swala Mapenzi Nina Ushamba Flani Hivi Nikipenda.Naotea wewe ni Msukuma
Bishaaaa...
Pamoja Mzee BabaMkuu jitahidi uwe unapata kifungua kinywa kwa muda sahihi dogo
Asante Rafki yangu. 🥰🥰🥰🥰Point hapo ni kumiliki pisi kareeee!!!!
Hongera sana
Sawa Mkuu Ntajitahidi Kula Tunda Kimasihara,Pisi yenyewe mzigo haujala. Ni sawa tu kama umeweka picha ya Rihana.
Piga mzigo kwanza ndio uweke wallpaper .
🥰🥰🥰🥰🥰🥰Mkuu jitahidi uwe unapata kifungua kinywa kwa muda sahihi dogo