Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 3,338
- 6,327
Mkuu huu muongozo ni sahihi?😂🤔🤔Kila la kheri, akikupa unaweka kiungo chake za uzazi kabisa kama home screen...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu muongozo ni sahihi?😂🤔🤔Kila la kheri, akikupa unaweka kiungo chake za uzazi kabisa kama home screen...
Muongozo hauna mashaka kabaisa...Mkuu huu muongozo ni sahihi?😂🤔🤔
Akinipa Sitampakia Mkongo.Kila la kheri, akikupa unaweka kiungo chake za uzazi kabisa kama home screen...
Hapa Amenileta.Mkuu huu muongozo ni sahihi?😂🤔🤔
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pisi yenyewe mzigo haujala. Ni sawa tu kama umeweka picha ya Rihana.
Piga mzigo kwanza ndio uweke wallpaper .
Una miaka mingapi??Wajuba Kuna Pisi Hua Naielewa Sana, Sasa Kuna Picha Nimepiga Nae Nimeweka Kwenye HomeScreen & LockScreen Ya Simu Yangu.
Kila Nikibonyeza Kutoa Lock Naona Tabasamu Lake na Lina Nipa Furaha Kila Mara, Nimtazamapo.
Swali: Je Wakuu Tunaweka Picha Ya HomeScreen Za Mademu tunao wapenda Kama Bado Hajakupa Mzigo (Tunda). ??
Pisi Ni Kali Hatari Mpka Naona Aibu, Mtu Akishika Simu Yangu anaona kama Naringishia...., Maana lazima Waulize hii Pisi Ya Wapi.
Embu Nishauri Nitoe Au Nikomae na Hisia Zangu. Nampenda huyu Binti.
35
Ushauri Mzuri Sana Huu, LakiniKalipe mahari kwao umuoe, bila hivyo utabaki na picha kwenye lockscreen kila uki unlock simu unalia, ni ushauri tu mwanazengo.....
Chura ipo Ya Wastani, Kamodo Ivi Sio Mrefu Wala Mfupi Sana. Mtoto Swala 5.
Amna nilishapigwa Na Radi za Kutosha.Itakua bado haujawahi kupigwa na butwaa
InshAllahNi swala la muda tu.
Mkuu inaonekana kwa uandishi wako huo bado una mihemko ya balekhe!Wajuba Kuna Pisi Hua Naielewa Sana, Sasa Kuna Picha Nimepiga Nae Nimeweka Kwenye HomeScreen & LockScreen Ya Simu Yangu.
Kila Nikibonyeza Kutoa Lock Naona Tabasamu Lake na Lina Nipa Furaha Kila Mara, Nimtazamapo.
Swali: Je Wakuu Tunaweka Picha Ya HomeScreen Za Mademu tunao wapenda Kama Bado Hajakupa Mzigo (Tunda)...??
Hii Pisi naikubali muda Mrefu. Demu mwingine tuliachana 2018. Hii ndio nataka Nitulie Nayo Mpaka Mambo yatakapobadilka Tena. Mimi Sio Mtu Wa Mademu Hua Nina Chaguzi Zangu Ambazo Nilikosa Ni Bora Tu Nitulie Singo.
Pisi Ni Kali Hatari Mpka Naona Aibu, Mtu Akishika Simu Yangu anaona kama Naringishia...., Kumbe ndio Hali halisi, Maana lazima Waulize hii Pisi Ya Wapi.
Embu Nishauri Nitoe Au Nikomae na Hisia Zangu.
"Muda huamua ni nani unakutana naye katika maisha yako,
Moyo wako unaamua ni nani unataka katika maisha yako,
Tabia huamua nani abaki katika maisha yako."
Nampenda huyu Binti.
Nawasilisha
Huyu Binti Tayari Amekubali Tufunge Ndoa Ila Sina Mpunga Papatu Papatu. Amesema ananiskilizia. 🥱🥱🥱Mkuu inaonekana kwa uandishi wako huo bado una mihemko ya balekhe!
Ulishasikia wapi mwanamke mmoja akawa ni "mkali" machoni kwa kila mwanaume?
Kila mwanaume ana "mkali" wake machoni pake bhana.
Halafu haujafunguka sawasawa, huyo binti alishakukubalia kuwa wapenzi na mwishowe mje kufunga ndoa?
Tusianze kukomaza mafuvu kushauri mahusiano ya pen pals ama ya kuhusudu mapicha picha ya mapambio ya kuuzia magazeti ya udaku.
InshAllahUkikua utaacha
Wajuba Kuna Pisi Hua Naielewa Sana, Sasa Kuna Picha Nimepiga Nae Nimeweka Kwenye HomeScreen & LockScreen Ya Simu Yangu.
Kila Nikibonyeza Kutoa Lock Naona Tabasamu Lake na Lina Nipa Furaha Kila Mara, Nimtazamapo.
Swali: Je Wakuu Tunaweka Picha Ya HomeScreen Za Mademu tunao wapenda Kama Bado Hajakupa Mzigo (Tunda)...??
Hii Pisi naikubali muda Mrefu. Demu mwingine tuliachana 2018. Hii ndio nataka Nitulie Nayo Mpaka Mambo yatakapobadilka Tena. Mimi Sio Mtu Wa Mademu Hua Nina Chaguzi Zangu Ambazo Nilikosa Ni Bora Tu Nitulie Singo.
Pisi Ni Kali Hatari Mpka Naona Aibu, Mtu Akishika Simu Yangu anaona kama Naringishia...., Kumbe ndio Hali halisi, Maana lazima Waulize hii Pisi Ya Wapi.
Embu Nishauri Nitoe Au Nikomae na Hisia Zangu.
"Muda huamua ni nani unakutana naye katika maisha yako,
Moyo wako unaamua ni nani unataka katika maisha yako,
Tabia huamua nani abaki katika maisha yako."
Nampenda huyu Binti.
Nawasilisha
Acha uboya wewe, wanaume wanaojielewa huwa hawaweki hata siku moja picha za demu kwenye homescreen za simu zao wala profile pics za account zao kwenye social mediaWajuba Kuna Pisi Hua Naielewa Sana, Sasa Kuna Picha Nimepiga Nae Nimeweka Kwenye HomeScreen & LockScreen Ya Simu Yangu.
Kila Nikibonyeza Kutoa Lock Naona Tabasamu Lake na Lina Nipa Furaha Kila Mara, Nimtazamapo.
Swali: Je Wakuu Tunaweka Picha Ya HomeScreen Za Mademu tunao wapenda Kama Bado Hajakupa Mzigo (Tunda)...??
Hii Pisi naikubali muda Mrefu. Demu mwingine tuliachana 2018. Hii ndio nataka Nitulie Nayo Mpaka Mambo yatakapobadilka Tena. Mimi Sio Mtu Wa Mademu Hua Nina Chaguzi Zangu Ambazo Nikikosa Ni Bora Tu Nitulie Singo.
Pisi Ni Kali Hatari Mpka Naona Aibu, Mtu Akishika Simu Yangu anaona kama Naringishia...., Kumbe ndio Hali halisi, Maana lazima Waulize hii Pisi Ya Wapi.
Embu Nishauri Nitoe Au Nikomae na Hisia Zangu.
"Muda huamua ni nani unakutana naye katika maisha yako,
Moyo wako unaamua ni nani unataka katika maisha yako,
Tabia huamua nani abaki katika maisha yako."
Nampenda huyu Binti.
Nawasilisha
Poa Mkuu, ntalifakari maana nlikua nataka kumweka na WhatsApp DP.Acha uboya wewe, wanaume wanaojielewa huwa hawaweki hata siku moja picha za demu kwenye homescreen za simu zao wala profile pics za account zao kwenye social media