Mje mnishauri kuhusu kuweka picha ya mpenzi wangu homescreen ya simu yangu

Mje mnishauri kuhusu kuweka picha ya mpenzi wangu homescreen ya simu yangu

Nyie dunia ina mengi ... Ila honestly nikushauri tu.... Jihadhari mapenzi huisha .. Sasa utapo achwa ndo utaelewa...

Game ni over 5+ na huna kazi upo upo tu mwisho wako wakaribia...

Tumia mda huo mnaopendana vizur Kama kula kulaa mbususu vizur iyo mara 6 kwa siku. Ili Kiama chako kikifika huna cha kujutia.

Lastly ... Usipende wakati huna pesa ... Tamani tu inatosha[emoji817]
 
Nyie dunia ina mengi ... Ila honestly nikushauri tu.... Jihadhari mapenzi huisha .. Sasa utapo achwa ndo utaelewa...

Game ni over 5+ na huna kazi upo upo tu mwisho wako wakaribia...

Tumia mda huo mnaopendana vizur Kama kula kulaa mbususu vizur iyo mara 6 kwa siku. Ili Kiama chako kikifika huna cha kujutia.

Lastly ... Usipende wakati huna pesa ... Tamani tu inatosha[emoji817]
Sawa Mkuu Hii Mbususu naipangia Utaratibu niichakate Haswa.
 
Back
Top Bottom