Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Yaani kumuamini "dayamondi " inahitaji ujitoe akili....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kuwa meneja ndio kuwa na mpunga mkuu? Hujui huyo Sallam analipwa na Diamond Platnumz!Mtafanya shutingi sana kwenye majumba ya watu,BOSS wake tu SALAAM hana nyumba ndio kwanza ana mpango wa kujenga nyumba "MBWENI".
Mh Hiyo kubwa sana bana. .ka guest kalikua kadogoImefanana ba ile guest,enhe?!
Mkuu ile nyumba kanunua kabisa maana dalali aliandika house for sale 2 billionYule tena , anaanzaje kupitwa, Ila isije tu ikawa ya kupanga maana Yule kwa kupenda kiki
bilioni mbili diamond hanaMkuu ile nyumba kanunua kabisa maana dalali aliandika house for sale 2 billion
ndio si mama yake jamaniAhahahah nauliza mama final say atahami na huko[emoji23]
Hizo show anazopiga Unadhani anapataga Elfu 50 etii???[emoji16][emoji16][emoji16]Mondi Level zingne Aisee....bilioni mbili diamond hana
hata nyumba ya south africa mlisema kapanga mpaka mkataka atoe hatiNdiwoo sio yake kapanga. Kawajaza watu tu. Yale Yale ya Wema Sepetu na NYUMBA ya 400M. Diamond kapanga hiyo nyumba na ni mpya bado. Haina hata siku nyingi toka mwenye mjengo wake aizindue
Hongera kwa kumiliki gari, kama hujaoa nikupe dadayanguNishawahi kukuta tangazo la gari inauzwa, kuiangalia vizuri no/i gari yangu mwenyewe, na picha imepigwa nikiwa nimeipeleka car wash..(wabongo wanawajua wabongo)
Ni hivi..
Mmoja kapost anauza/kodisha, mwingine kapost "new home" sasa sijajua tatizo lipo wapi hapo!?
Asante mkuu,Hongera kwa kumiliki gari, kama hujaoa nikupe dadayangu