Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kupitia mgombea wa ubunge wa Vunjo Dkt. Charles Kimei aliahidi kuishawishi serikali iweze kuufanya mji mdogo wa Himo kuwa halmashauri ili kupanua mji huo unaokuwa kwa kasi na pia itafanya maendeleo kuja kwa haraka sana sababu baadhi ya huduma wananchi wanalazimika kwenda mpaka Moshi (manispaa).
Hayati Magufuli katika kampeni zake alipita eneo hilo na kuahidi kutekeleza wazo hilo kama wananchi watampa Kimei kura.
Nakumbushia tu mama Rais Samia anasema atafamya yale yale ya mtangulizi wake je ataupa hadhi mji huo?
Hayati Magufuli katika kampeni zake alipita eneo hilo na kuahidi kutekeleza wazo hilo kama wananchi watampa Kimei kura.
Nakumbushia tu mama Rais Samia anasema atafamya yale yale ya mtangulizi wake je ataupa hadhi mji huo?