Mji mdogo wa Himo usipopewa hadhi ya Halmashauri chini ya Rais Samia wananchi watamkumbuka sana Hayati Magufuli

Mji mdogo wa Himo usipopewa hadhi ya Halmashauri chini ya Rais Samia wananchi watamkumbuka sana Hayati Magufuli

Hii mbinu yako,
Beberu wanaita emotional blackmail, guilt tripping, manipulation e.t.c

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Moshi Manispaa, Moshi DC (vijijini), Hai, Siha, Rombo, Mwanga na Same. Kilimanjaro kuna wilaya 7. Moshi vijijini ni wilaya yenye majimbo ya uchaguzi ya Moshi Vijijini na Vunjo ilihali Moshi mjini ni jimbo linalojitegemea. Ofisi za wilaya ya Moshi vijijini zilikuwa KDC na sasa zimehamia ilipokuwa Shule ya Kolila. Ofizi za manispaa zipo jirani na jengo la KCC (Kilimanjaro Commercial Complex)
Na kama Moshi ingekuwa wilaya moja basi ingekuwa imeshakuwa jiji zamani kabla ya Tanga au Mbeya. Changamoto ya udogo wa eneo ndio imefanya isiwe jiji hadi sasa. Mazungumzo yanaendelea kati ya wilaya zote mbili ili sehemu ya Moshi DC ihamishiwe Manispaa. Na hata kuondoa ofisi KDC huenda ni sehemu ya mpango huo kwani eneo litamegwa hadi Kiborloni.
Naomba kujua mkuu wa wilaya ya Moshi vijijini? Hiyo sio wilaya ni halmashauri tu nenda kwenye documents za nida hamna wilaya ya Moshi vijijini ila ipo halmashauri pale KDC zilikuwa ofisi za halmashauri. Naomba jina la mkuu wa wilaya ya Moshi vijijini.
 
Naomba kujua mkuu wa wilaya ya Moshi vijijini? Hiyo sio wilaya ni halmashauri tu nenda kwenye documents za nida hamna wilaya ya Moshi vijijini ila ipo halmashauri pale KDC zilikuwa ofisi za halmashauri. Naomba jina la mkuu wa wilaya ya Moshi vijijini.
Ni kweli hamna Wilaya ya Moshi vijijini kwenye nyaraka rasmi. Inaitwa tu Halimashauri ya Wilaya ya Moshi na ingine inaitwa Halimashauri ya Manispaa ya Moshi. Kama sikosei mkuu wa Halimashauri ni Kipi Warioba na Mkuu wa Wilaya wa Manispaa ya Moshi ni Rajab Kundya.
 
Ni kweli hamna Wilaya ya Moshi vijijini kwenye nyaraka rasmi. Inaitwa tu Halimashauri ya Wilaya ya Moshi na ingine inaitwa Halimashauri ya Manispaa ya Moshi. Kama sikosei mkuu wa Halimashauri ni Kipi Warioba na Mkuu wa Wilaya wa Manispaa ya Moshi ni Rajab Kundya.
Kwa sasa huduma zinatolewa manispaa sasa hivi hakuna moshi vijijini tena. Ndio maana Kimei alitaka Himo iwe halmashauri ihudumie Vinjo marangu,Kahe na maeneo ya karibu kuliko kwenda Moshi MC ambako kutakuwa mbali
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kimei ana ushawishi gani, umewahi kusikia hoja yake yoyote bungeni?
 
Kwa sasa huduma zinatolewa manispaa sasa hivi hakuna moshi vijijini tena. Ndio maana Kimei alitaka Himo iwe halmashauri ihudumie Vinjo marangu,Kahe na maeneo ya karibu kuliko kwenda Moshi MC ambako kutakuwa mbali
Sawa
 
Kupitia mgombea wa ubunge wa Vunjo Dkt. Charles Kimei aliahidi kuishawishi serikali iweze kuufanya mji mdogo wa Himo kuwa halmashauri ili kupanua mji huo unaokuwa kwa kasi na pia itafanya maendeleo kuja kwa haraka sana sababu baadhi ya huduma wananchi wanalazimika kwenda mpaka Moshi (manispaa).

Hayati Magufuli katika kampeni zake alipita eneo hilo na kuahidi kutekeleza wazo hilo kama wananchi watampa Kimei kura.

Nakumbushia tu mama Rais Samia anasema atafamya yale yale ya mtangulizi wake je ataupa hadhi mji huo?
Unamaanisha makao makuu yahame kule Kolila?
 
Kimei ana ushawishi gani, umewahi kusikia hoja yake yoyote bungeni?

IMG_20210423_181436.jpg
 
Back
Top Bottom