Alafu watu wa aina ya huyo mtu utakuta ndio mdau namba moja huku anaonekana mkolomije sirini ni matatuaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee nimemuona huyo Rio yaan kama mamtoni vile daaah....full bata kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Choko mzuri yule halafu msafi kinoma!
Heeee[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]...wanahisi we ni member?Hafu wanakuja kunishambulia humu jukwaani eti nionekane mdau wa hyo kitu. Wakija pm wanajifanya kuongea hayo mambo. Unafiki ni janga wala
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia ndugu hata wadada wakazi ndo waharibu mno, kwa watoto jinsia zetu. Mie nalea kuishi na ndugu nawatimua wote marufuku mtoto kulala na strange people.
Huko boarding ni kufundisha watoto mie nimesoma boarding niliya shuhudia hayo sana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee nimemuona huyo Rio yaan kama mamtoni vile daaah....full bata kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikubwa upendo basi mtu akifanyia yake chumbani atajiju na kwa siri no problem at all.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hafu wanakuja kunishambulia humu jukwaani eti nionekane mdau wa hyo kitu. Wakija pm wanajifanya kuongea hayo mambo. Unafiki ni janga wala
Sent using Jamii Forums mobile app
Choko mzuri yule halafu msafi kinoma!
Hicho ki stylish kama kinaumwa vile daaah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa.Sio nia mbaya nimechoka na hyo tabia kuni attack nionekane mubaya kwanza Mimi sijawahi kemea mtu mzima kutoa.mtaro wake mie hujisemea nafsi yangu, mtu ka mzima ana Uhuru wa kufanya lolote huko chumbani Mimi hayanihusu.
So I wonder people kunishikia bango ka nimeua vile, wengine mumekuwa mahakimu wazuri as if jf nzima mie ndo ninaye comments nyuzi hzo, kumbuka reactions za jamii kuhusu ushoga, jamani msitake kuni label vibaya heshimuni maoni yangu sipendi watu kunifata fata popote.
Kwanza Uzi huu unanambia eti nimekuwa mpole kah umetumia kipimo gani, mana huu Uzi una comments kibao ukaona yangu tu. I personal hyo a.... Sex kwangu ni mwiko, hao wanaofanya wafanye kwa raha zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo tushazoeana kuanzia wanasiasa mpaka rai wake tupo kimaigizo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Love is a private thing, the world does not need to know every detail of it.
Mtu mzima akifanya yake kwa siri bila kuingilia uhuru wangu wala kushawishi wengine, kwangu tatizo nini kama sio unafiki na kujivika maisha yasiyonihusu?
Tatizo lipo kwa hawa malaika wadogo wanaofanyiwa ukatili, hapa napinga kwa nguvu zote , hawafanyi at their own consent.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kujiuliza yale mawe aliyonayo ni kww familia wwlimsapoti au juhudi zqke
Nahisi juhudi zake na nnya....ile biashara nasikia inalipa kwa sababu watu wakubwa wanapenda sana hiyo michezo na wanatoa kiktita kikubwa[emoji848]Najaribu kujiuliza yale mawe aliyonayo ni kww familia wwlimsapoti au juhudi zqke
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah nimemuona insta yuko njema asee....muda wote yuko mamtoni, bongo anakujaga kweli huyu?[emoji44][emoji44][emoji849]
Duh nomaNahisi juhudi zake na nnya....ile biashara nasikia inalipa kwa sababu watu wakubwa wanapenda sana hiyo michezo na wanatoa kiktita kikubwa[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]....eti mtoto wa mama!Stylish ndio kamwili chake hicho.
Rio anajua nini anafanya hata idadi ya haters hana sana ukilinganisha na hao wengine kina mtoto wa mama, kabali ya jiji, James delicious, aggrey, etc.
Sent using Jamii Forums mobile app