Yaaan hiyo clip inazungumza kila kitu....shikamoo warumi[emoji119][emoji119]Chezeya warumi , mdomo komaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787], mkiambiwaga next time Ndo muamini, haya Sasa mambo hadharani
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaaaaan...mi niliiona jana kwa carrymastory, huyo B full kujibebisha na hug la kufa mtuuu!Hvi lulu yuko wapi , mchaga asije kuvua Pete kwa hasira , watu mahaba mazito msibani[emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Maskini Liz [emoji22]Haya mshapata proof Sasa , sio mnasema mi nazusha wakati wenyewe hapo mmeona wanabembelezanq hadharani kwa raha zao, Na hata hawajali, b dodo sijui kampa nn Kaka wa watu halafu nasikia mmmg mdomo koma nisije rushiwa uchawi wa bluetooth mdomo ukapinda mie
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aiseee[emoji134][emoji134]Fuatilia vzur hii thread , then jumlisha Na picha ya Leo then utapata jibu , Hao ni wapenzi wa mda mrefu tu , bora hata wenyewe wamethibitisha... kukumbatiana gan huko , wanaume hawashikanag hvyo halafu anamlalia kabisa mwanaume mwenzie comfortable
B Dee haya mambo Ndo alikua anapenda kitambo tu , anataka na yeye ajulikane, kachoka kufichwa kama hamisa mobeto , lol
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyu B anamharibia mdada wa watu daaah!Ahahah hapo ndo ninapowapendea wambea wenzangu, mpo fastaaa
Mfiwa anapewa faraja kwa raha zake , kwani nani kanuna? Kwan Pete sh ngap? , watu wanalilia ndoa kumbe mwenzao mume wa mtu ( in mobetos voice ) ahaah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Km ile juzi na zile nywele zake dah.Huyu B anamharibia mdada wa watu daaah!
Ndo maana kistuli hana nuru kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm mgeni humu cjaelewa kitu, so plz nijuze na mm Mkuu...Warumi sichujag binamu, watakuja wote Ila hapa mwisho wa reliπ€£π€£π€£
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122]...leo tupe code nyingine basi!Makofi kwa warumi tafadhali
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yashushe asee!..nikupe Rolex!Mimi huwa sidanganyi binamu, Nina full data za mastaa, ni muda tu nakosa na wengine ni Ma best zangu , Ila Nina Ma breaking news ya kufa mtu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umeona eeeh?.. mi naiangalia mara tatu tatu daaaah!Na video yake mmeiona vzr yani B dozee anamtomasa tomasa majizuuu mgongoni laaanatulaaahh
Za buku mbili khaaa!
Ha ha ha ha ha ha![emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122]...leo tupe code nyingine basi!
Hivi dada wa I don't care na mnigeria wake vipi? Si kwa mbwembwe zile, nasikia jamaa ni mchele mchele ndo maana dyadya yakamshinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hlf kanaonekana kamefubaa sura na rangi.Za buku mbili khaaa!
Juzi msibani mikocheni, nilikaa nako pembeni ni hakana raha kabisa japo majizzuuu alikuwa anajitahidi kukachangamshaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kbs π π π[emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122]...leo tupe code nyingine basi!
Hivi dada wa I don't care na mnigeria wake vipi? Si kwa mbwembwe zile, nasikia jamaa ni mchele mchele ndo maana dyadya yakamshinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jembe yupi tena?Yule kashalalwa na domo zaman sana mpaka rommy kamla Ila sasa hiv sidhan kama wanaendelea tena, sasa hiv analalwa na jembe , hyu nae mastaa wote kalala nao, mpaka barnaba na sijui pesa hawampi maana Hana la maana mjini zaid ya kuuza mchele,
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaaan...namuonea huruma sana japo wananzengo wanadai ni karma kwa mke wake seki, koomba, na wajane wengine aliowaumiza!