Halafu ni wanapendana balaa[emoji134][emoji134]Nimetoka kuangalia video clip ya Water zo na B21... Kumbatio lile ni romantic sana.
Warumi mji wake huu sijui anajuaje au yupo kundini?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hilo kumbatio sio la kawaida aisee,halafu mchizi kajilaza kabisa kifuani kwa Boss mfupi
Warumi umetajwa INSTA kwa CARRYMASTORY.... uko juuu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji122][emoji122]Mimi huwa sidanganyi binamu, Nina full data za mastaa, ni muda tu nakosa na wengine ni Ma best zangu , Ila Nina Ma breaking news ya kufa mtu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nitumie PM Witty.... sijaiyonaYaaan hiyo clip inazungumza kila kitu....shikamoo warumi[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanafubaaje wakati kanamtumikia Mungu kila kukicha kanisani jamani
Kwhy unataka kusema ww hukumuona alivyo?Kanafubaaje wakati kanamtumikia Mungu kila kukicha kanisani jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan hiyo clip inazungumza kila kitu....shikamoo warumi[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122]...leo tupe code nyingine basi!
Hivi dada wa I don't care na mnigeria wake vipi? Si kwa mbwembwe zile, nasikia jamaa ni mchele mchele ndo maana dyadya yakamshinda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bobrisky halafu ana hela chafu yule transgender....watu walimwambia dada, wapopo sio watu!Yule alitembea hadi na msaidiz wa jide anaitwa Wancy , sasa hvi haziivi, Yule mnigeria ukimuangalia tu hamna kitu
Bobrisky kavunja ndoa ya bi dada , mji mzito huu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa
Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo kwenye mahusiano yasiyofaa na mtangazaji wa kiume wa radio nyingine , ambapo mtangazaji huyo pia anamiliki duka la nguo.
Juzi kati maeneo ya bahari beach usiku kuliibuka na timbwili zito kati ya wawili wao, ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi, Boss huyo anatarajia kuoa hivi karibuni, ambapo mtangazaji huyo anapinga vikali na hataki kusikia habar za ndoa Kwan anataka kuendelea ku enjoy penzi na pesa za kibosile huyo ambaye kimuonekano ni mfupi na mpole asiye na makuu.
Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.
Mtangazaji huyo wa kiume anasifika sana kwa kusafir nchi mbali mbali duniani kwa pesa za mpenzi wake huyo wa siri ambaye inasemekana wapo wote mwaka wa tatu na nusu sasa, mmh mji mzito huu
Ila malkia wa mashauzi sijui atakua anamjua mke mwenzie mmh , mambo mengi mda mchache, Ila ata akijua atafanyaje? Chezeya nguvu ya pesa weye
Sasa hivi ntakua nawaletea ubuyu hot kwa code tu 🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
We nawewe hata list ya konk konk konk master hauna?Ukiwa na list hiyo ya konk hizi code utazielewa mkuu japokuwa siyo Rahisi sana jaribu kufuatilia Comments za wachangiaji mbali mbali mkuu.Basi hata code ya B12 na Majizo hujaambulia chochote? Hiyo ya B12 na Majizo picha utazipata IG ya EFM uko au wadau wameweka hadi picha.Nimejaribu kukutafunia mwisho yakanikuta ya Kok.Yani Huu uzi, nilichoambualia ni Mr Ayyo tu basi, Alieleta Code nyambafu zake[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Bobrisky halafu ana hela chafu yule transgender....watu walimwambia dada, wapopo sio watu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia sio transgender yuko na makaghari yake ila ndio ivo unavyomuonaBobrisky halafu ana hela chafu yule transgender....watu walimwambia dada, wapopo sio watu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee[emoji134][emoji134]Nasikia sio transgender yuko na makaghari yake ila ndio ivo unavyomuona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha maninaaa jf,imenibidi nicoment tuEti wanazengo wana sema ananyanyua chuma kukaza kamswabanda. Ila yule mlegevu anaweza nyanyua chuma gani
Sent using Jamii Forums mobile app