Mji mzito huu

Mji mzito huu

Mimi huwa sidanganyi binamu, Nina full data za mastaa, ni muda tu nakosa na wengine ni Ma best zangu , Ila Nina Ma breaking news ya kufa mtu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Warumi umetajwa INSTA kwa CARRYMASTORY.... uko juuu[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na video yake mmeiona vzr yani B dozee anamtomasa tomasa majizuuu mgongoni laaanatulaaahh

Warumi nilisema Mimi , nikaonekana mbea na mchonganishi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji119][emoji119][emoji122][emoji122][emoji122]...leo tupe code nyingine basi!

Hivi dada wa I don't care na mnigeria wake vipi? Si kwa mbwembwe zile, nasikia jamaa ni mchele mchele ndo maana dyadya yakamshinda!

Sent using Jamii Forums mobile app

Yule alitembea hadi na msaidiz wa jide anaitwa Wancy , sasa hvi haziivi, Yule mnigeria ukimuangalia tu hamna kitu

Bobrisky kavunja ndoa ya bi dada , mji mzito huu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani Huu uzi, nilichoambualia ni Mr Ayyo tu basi, Alieleta Code nyambafu zake[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Yule alitembea hadi na msaidiz wa jide anaitwa Wancy , sasa hvi haziivi, Yule mnigeria ukimuangalia tu hamna kitu

Bobrisky kavunja ndoa ya bi dada , mji mzito huu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Bobrisky halafu ana hela chafu yule transgender....watu walimwambia dada, wapopo sio watu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanazengo ngoja na Mimi Leo ni jaribu kuwapa umbea wa code sijui ntaweza mbea Mimi🤣🤣 , haya twende Sasa


Yule boss mfupi mwenye kumiliki redio flani hivi inayokuja kwa kasi, inasemekana yupo kwenye mahusiano yasiyofaa na mtangazaji wa kiume wa radio nyingine , ambapo mtangazaji huyo pia anamiliki duka la nguo.

Juzi kati maeneo ya bahari beach usiku kuliibuka na timbwili zito kati ya wawili wao, ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi, Boss huyo anatarajia kuoa hivi karibuni, ambapo mtangazaji huyo anapinga vikali na hataki kusikia habar za ndoa Kwan anataka kuendelea ku enjoy penzi na pesa za kibosile huyo ambaye kimuonekano ni mfupi na mpole asiye na makuu.

Mashemeji fekero( mastaa Wa kubwa watatu wa kiume, mmoja msanii wa bongo fleva, Ana dread, mtangazaji wa radio , mwingine mwanasiasa) wa mahusiano hayo yasiyofaa walikua na shughuli nzito usiku huo kuwagombelezea wapenzi Hao , na kufanikisha kuwatuliza wawili Hao.


Mtangazaji huyo wa kiume anasifika sana kwa kusafir nchi mbali mbali duniani kwa pesa za mpenzi wake huyo wa siri ambaye inasemekana wapo wote mwaka wa tatu na nusu sasa, mmh mji mzito huu

Ila malkia wa mashauzi sijui atakua anamjua mke mwenzie mmh , mambo mengi mda mchache, Ila ata akijua atafanyaje? Chezeya nguvu ya pesa weye



Sasa hivi ntakua nawaletea ubuyu hot kwa code tu 🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yani Huu uzi, nilichoambualia ni Mr Ayyo tu basi, Alieleta Code nyambafu zake[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
We nawewe hata list ya konk konk konk master hauna?Ukiwa na list hiyo ya konk hizi code utazielewa mkuu japokuwa siyo Rahisi sana jaribu kufuatilia Comments za wachangiaji mbali mbali mkuu.Basi hata code ya B12 na Majizo hujaambulia chochote? Hiyo ya B12 na Majizo picha utazipata IG ya EFM uko au wadau wameweka hadi picha.Nimejaribu kukutafunia mwisho yakanikuta ya Kok.
 
Back
Top Bottom