Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

20250131_110352.jpg
20250131_110354.jpg
20250131_110356.jpg
20250131_110358.jpg



View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
 
Ni kweli mji wa Goma umepangwa vizuri japo ni mipangomiji ya zamani lakini huwezi kulinganisha na mingi ya miji yetu.
Upande wake wa Mashariki umeunganika na Gisenyi ambao japo umeunganika na Goma, naiona Gisenyi kuwa mji safi uliopangwa vizuri.

Tanzania Kama kawaida yetu tunajenga vijiji vikubwa tena duni na kuviita majiji.... Zero taaluma ya usanifu majenzi!. Labda Dodoma siku za usoni. 😢
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

Sisi tunakwama CCM.
 
Back
Top Bottom