blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Watutsi hao.. achana naoKwahiyo hapo ni pazuri kuliko kuliko mwanza na Arusha au mnashida gan nyie watanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watutsi hao.. achana naoKwahiyo hapo ni pazuri kuliko kuliko mwanza na Arusha au mnashida gan nyie watanzania?
Mbona hasira, kwani wewe ni Mhutu?Watutsi hao.. achana nao
Sera nzuri za CCMUnajua uchumi wao unatokana na nini???
Mbona miji yenye madini TZ iko hovyohovyo.Mji wa kitajiri huo una madini balaa.
Why Shinyanga ni duni wakati madini ya almasi yako miaka na miaka? Tukubali tunashida mahaliUnajua uchumi wao unatokana na nini???
Kwao mtu hujengi bila kibali halai, kwetu unajenga tu ili mradi utoe kitu kidogo.Kumbe pazuri hivyo.
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Hebu tuwekee Aerial view ya Shinyanga tulinganishe.Aerial view siku zote ni nzuri.
Mtu kapicha ka Moja basi anaConclude , kama ndio hivyo hata Buza Kuna sehemu ukipapiga picha watu wanaweza kujua ni Masaki...Kwahiyo hapo ni pazuri kuliko kuliko mwanza na Arusha au mnashida gan nyie watanzania?
Cha ajabu unakuta Kuna wazee wanajisifia kuwa wao walifanya mtihani migumu ya NECTA au utaisikia la saba ya kwao ni chuo kikuu ya Sasa Cha ajabu wamekalia ofisi na hakuna wanachofanyaNi kweli mji wa Goma umepangwa vizuri japo ni mipangomiji ya zamani lakini huwezi kulinganisha na mingi ya miji yetu.
Upande wake wa Mashariki umeunganika na Gisenyi ambao japo umeunganika na Goma, naiona Gisenyi kuwa mji safi uliopangwa vizuri.
Tanzania Kama kawaida yetu tunajenga vijiji vikubwa tena duni na kuviita majiji.... Zero taaluma ya usanifu majenzi!. Labda Dodoma siku za usoni. 😢
Mwanza pazuri kushinda gomaNi kweli mji wa Goma umepangwa vizuri japo ni mipangomiji ya zamani lakini huwezi kulinganisha na mingi ya miji yetu.
Upande wake wa Mashariki umeunganika na Gisenyi ambao japo umeunganika na Goma, naiona Gisenyi kuwa mji safi uliopangwa vizuri.
Tanzania Kama kawaida yetu tunajenga vijiji vikubwa tena duni na kuviita majiji.... Zero taaluma ya usanifu majenzi!. Labda Dodoma siku za usoni. 😢
I see, kuna haja ya kwenda huko kusaka maishaKuna Machimbo yanaitwa Virunga ndiyo yanakuza hiyo Goma hiyo ni paris ndani ya africa..
Kwao mtu hujengi bila kibali halai, kwetu unajenga tu ili mradi utoe kitu kidogo.
Tuwekee hapa picha za Mwanza au Arusha ambayo ni nzuri kuliko hizo za Goma tulinganishe
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Jaribu ufike Geita, mji halisi wa madini hapa Tanzania, kama iliyo Mwadui tangu zamani, Geita ni kijiji kikubwa cha ujamaa chenye utajiri na matajiri sampuli ya Msukuma. 😂Sisi miji yenye madini balaa iko duni.