Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nimefanya kazi Bulyankulu.KWettu ukienda kule bulyankhulu kule kahama ni pabayaaaa na kuna dhahabu..shida ni tamaa za watu wachache
Bongo bahati mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanya kazi Bulyankulu.KWettu ukienda kule bulyankhulu kule kahama ni pabayaaaa na kuna dhahabu..shida ni tamaa za watu wachache
Tuwekee hapa picha za Mwanza au Arusha ambayo ni nzuri kuliko hizo za Goma tulinganishe
Imekaa poa, unaweza share picha hapa?Jaribu ufike Geita, mji halisi wa madini hapa Tanzania, kama iliyo Mwadui tangu zamani, Geita ni kijiji kikubwa cha ujamaa chenye utajiri.
Kinshasa watabakia kukata mauno na uc hawaMji wa biashara ya madini huo,hapo sasa unavita vya mara kwa mara.M23 chini ya Paulo Kagame wakichukua Kivu yote likaundwa taifa la jamuhuri ya Kivu litakua bonge la jiji.
Huku fisiemu wanatupiga balaaMbona miji yenye madini TZ iko hovyohovyo.
Mwanza kuna uzuri gani? Au hio Arusha?:unaonrkana hujawahi toka nje ya hapo ulipoKwahiyo hapo ni pazuri kuliko kuliko mwanza na Arusha au mnashida gan nyie watanzania?
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Hili nalo neno.Yafaa likatazamwe.Kwa vita hizi zinazoendelea iko siku hii itafanywa kama Gaza city!
Yeah! Na sisi Wamasai huku ndanindani huku tuna Maboma.Wao wana Goma, sisi tuna Kigoma.
Kahama vumbi na uchafu ndio sifa yakeKWettu ukienda kule bulyankhulu kule kahama ni pabayaaaa na kuna dhahabu..shida ni tamaa za watu wachache
Daah! Kwahiyo ngoma droo?Wao wana Goma, sisi tuna Kigoma.
Imekaa poa, unaweza share picha hapa?![]()
Tumezidiwa, ujue Goma kubwa Kigoma kidogo 🤣🤣🤣Daah! Kwahiyo ngoma droo?