Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Huo mlima hapo background Nyiragongo ni active volcanic mountain wakati wowote unatema lava na mitetemeko hapo ni kila mara.
View attachment 3219822
Hii picha imechorwa kwa kutumia akili mnemba.
Haiwezekani picha mchana kweupe pasionekane binadamu, ndege, wala manyama yeyote kama mbwa wala paka.
Picha hiyo imechorwa kuonyesha kama plani ya mji unaotaka kujengwa kuonyesha uwe mji wenye ujenzi wa aina gani lakini msitudanganye eti hayo ni majengo ya mji halisi.
 
Hii picha imechorwa kwa kutumia akili mnemba.
Haiwezekani picha mchana kweupe pasionekane binadamu, ndege, wala manyama yeyote kama mbwa wala paka.
Picha hiyo imechorwa kuonyesha kama plani ya mji unaotaka kujengwa kuonyesha uwe mji wenye ujenzi wa aina gani lakini msitudanganye eti hayo ni majengo ya mji halisi.
Exactly YES. Haiwezekani mji ukawa so compact halafu hakuna muonekano wa uchakavu wa kitu chochote yan mji wote kila kitu ni kipya na ni kisafi hata rangi ya mapaa yote ni mapya. Hakuna muonekana wa barabara na kiumbe chochote hai - hata mbwa au ndege(Kunguru).
 
Ni kweli mji wa Goma umepangwa vizuri japo ni mipangomiji ya zamani lakini huwezi kulinganisha na mingi ya miji yetu.
Upande wake wa Mashariki umeunganika na Gisenyi ambao japo umeunganika na Goma, naiona Gisenyi kuwa mji safi uliopangwa vizuri.

Tanzania Kama kawaida yetu tunajenga vijiji vikubwa tena duni na kuviita majiji.... Zero taaluma ya usanifu majenzi!. Labda Dodoma siku za usoni. 😢
Sijawahi kuelewa kwa nini Tanzania huwa haiweki kipaumbele upangaji miji!
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

Ccm ni 💩💩💩💩💩
 
Chini ya vegetables 🥒 wakati wengine wanastaarabika na kuishi kistaarabu sisi huku tunarudi karne ya 16.

Vegetable wao mipango miji ni kama walishaachana nayo, miji ijijenge na kujipanga yenyewe.

Ni Tanzania tu ndio utakuta barabara zinafagiliwa kama uwanja, mitaro michafu, hakuna mipango miji.

Mfano, nenda Tabata yote kuanzia relini hadi kifuru sijui wapi hakuna open space, hakuna maeneo ya wazi ya umma wala hata maeneo ya watoto kucheza, hakuna. Maeneo yote, ubungo hadi Luguruni, Goba yote, kwa komba hadi Bunju, madale, Buguruni hadi pugu, Mbagala ndio usiseme.

Nenda Dodoma the same, Arusha, Mwanza, Mbeya na kila mahala. Shule za msingi wala sekondari hazina hata viwanja, sasa watoto watacheza wapi na wawe hodari kwenye michezo kama hata maeneo ya kuchezea hakuna halafu unategemea uwe na tibu ya taifa nzuri ya mpira, wachezaji wametoka wapi?

Vegetable ni laana kwenye hili taifa.
Alaumiwe Nyerere
 
Alaumiwe Nyerere
Mkuu Nyerere alistaafu miaka 41 iliyopita unataka umlaumu hadi kwenye ujenzi wa miji mipya kama Goba iliyoanza kujengwa miaka 8 iliyopita, Tegeta, Kimara mbezi, Tabata, Gongo la Mboto, Mbagala?

Kumbuka hata enzi za Nyerere CDA ya Dodoma ilisimamia mji vizuri.

Hapa Nyerere utamuonea bure.
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

Tanzania yetu, uswahili na ujuaji mwingi ila kazi hazitendeki.
Watawala na viongozi wetu Wana maneno tu hawana vitendo.
 
Congo, Nurindi ma South Africa ndio nchi zinazokadiriwa zikitulia zitakuwa chanzo cha Black civilization ila ndio hivyo wazungu washatuwahi na wakishirikiana na puppet wao kama kagame Tunub nk.
 
Mkuu Nyerere alistaafu miaka 41 iliyopita unataka umlaumu hadi kwenye ujenzi wa miji mipya kama Goba iliyoanza kujengwa miaka 8 iliyopita, Tegeta, Kimara mbezi, Tabata, Gongo la Mboto, Mbagala?

Kumbuka hata enzi za Nyerere CDA ya Dodoma ilisimamia mji vizuri.

Hapa Nyerere utamuonea bure.
Halafu Nyerere kwa sasa ana umri zaidi ya 26+ yrs tangu afariki 14/10/1999. Sio sahihi kushupalia mapungufu (kama yapo)yaliyofanyika enzi yake. Hayupo na hatoweza kutujibu kulialia kwetu. Je, Kwani mzee Kifimbo aliweka katazo la kufanya marekebisho au alizuia sisi kujipanga upya na kuanzisha yale tunayodhani na tutakayoweza kujivunia ni yetu? Tumwache marehemu apumzike kwa amani (RIP J.K. Nyerere) ss tukomae na hali yetu.
 
Watutsi na warundi wanahamia sana kigoma. Isije mbeleni wakaleta mambo ya kivu ya kutuua. Nasikia ni wakatili sana hao watu.
Sidhani itakuwa hivyo. Kwa hapa Tz watajifunza Tunu ya Umoja na Amani ndani ya nchi yetu. Ila Tahadhari nayo ni muhimu wasije wakajisahau na kuleta za kuleta.
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

🤣🤣🤣 ivi akili yako n nzma ivi hyo dar unahyo isema ukitowa pale posta mjini kat huko sjui bunju temeke n.k ukiwa na akili timamu sehem gani inaweza linganisha na hyo goma kwa hapo dar?
 
Back
Top Bottom