Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

Mzuri lkn umekosa aman most of the time.....
 
Mkuu Nyerere alistaafu miaka 41 iliyopita unataka umlaumu hadi kwenye ujenzi wa miji mipya kama Goba iliyoanza kujengwa miaka 8 iliyopita, Tegeta, Kimara mbezi, Tabata, Gongo la Mboto, Mbagala?

Kumbuka hata enzi za Nyerere CDA ya Dodoma ilisimamia mji vizuri.

Hapa Nyerere utamuonea bure.
Mkuu makosa ya Nyerere, Yan impact kubwa sana kwa nchi ya tz, kuunganisha kila kitu cha. Serikali na CCM, Yan usalama, maendeleo, biashara, elimu, afya,
Yan ilikuwa ili upaata passport lazima uwe na kadi ya chama,
Ili ununue gari, andika barua kwa mk wa mtaa,mk wa mtaa akikataa basi gari hupati, ss unakuwa na kiwanda cha kutengeneza tyres pale Arusha lakini kununa gari ni mtiti ss hicho kiwanda kitawauzia matairi waendesha mikokoteni, mpaka Leo wa tz hawana national IDs Wala vyeti vya kuzaliwa,

Mpaka Nyerere anaondoka madarakani stendi ya mabasi ya mikoani Bado ilikuwa pale mnazi 1, miaka yote hiyo ZaidI ya 20 alikuwa anaofanya nini pale ikulu?

Je nikuelize swali Nyerere alikuwa na vision ya TZ aijengayo itakuwaje ?,

Na ndio maana kila raisi anayekuja anakata tamaa kwa hali mbaya anayoikuta hapo serikalini, ana anaamua Bora liende TU 😂,

Wa tz wakiamka usingizini watakuja kuikimboa nchi Yao kwenye Sheria na mioundo ya uongozi wa kishezi iliyowekwa na Nyerere.

Je unajua Kwa nini Nyerere aliovyoondoka madarakani alikuwa kama mpizani wa serikali zilizo mfuata? , ni Kwa sababu hakuweka misingi imara ya kujitegemea kwa nguzo/ mihimuli za serikali Bunge,Mahakama na Serikali kuu , kwa miiaka ZaidI ya 20 aliokuwa madarakani?

Na yeye Nyerere alishawahi kusema kwa Sheria za TZ zilizopo mkipata kiongozi kichaa mtapata tabu sana , haikuopita hata miaka 30 tukampata jiwe, .
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19

Sio tuu mzuri Bali ni Mji wa pili Kwa Ukubwa DRC lakini pia una idadi kubwa ya watu kushinda Jiji lolote la Tanzania except Dar.

Huo Mji isingekuwa Vita ungekuwa kama Johannesburg maana imekaa kwenye Mali na Madini.

Goma City 👇👇
 
Kwahiyo hapo ni pazuri kuliko kuliko mwanza na Arusha au mnashida gan nyie watanzania?
Mwanza na Arusha hizo takataka zinaweza lingana na Goma? Mbona unazingua?

Ona video ya Goma hapa 👇 👇
 
Chini ya vegetables 🥒 wakati wengine wanastaarabika na kuishi kistaarabu sisi huku tunarudi karne ya 16.

Vegetable wao mipango miji ni kama walishaachana nayo, miji ijijenge na kujipanga yenyewe.

Ni Tanzania tu ndio utakuta barabara zinafagiliwa kama uwanja, mitaro michafu, hakuna mipango miji.

Mfano, nenda Tabata yote kuanzia relini hadi kifuru sijui wapi hakuna open space, hakuna maeneo ya wazi ya umma wala hata maeneo ya watoto kucheza, hakuna. Maeneo yote, ubungo hadi Luguruni, Goba yote, kwa komba hadi Bunju, madale, Buguruni hadi pugu, Mbagala ndio usiseme.

Nenda Dodoma the same, Arusha, Mwanza, Mbeya na kila mahala. Shule za msingi wala sekondari hazina hata viwanja, sasa watoto watacheza wapi na wawe hodari kwenye michezo kama hata maeneo ya kuchezea hakuna halafu unategemea uwe na tibu ya taifa nzuri ya mpira, wachezaji wametoka wapi?

Vegetable ni laana kwenye hili taifa.
Hapa Tanzania ni kama tuna laana sijui yule Mwalimu alifeli wapi.

Na mashaka inawezekana Nyerere alivyoshika Nchi alikuwa anafanya mambo Kwa kuripua tofauti na Wazungu so ikawa ndio mtindo rasmi wa Serikali.

Zinazoitwa shule sijui Hospital nk hapa Tanzania ni vituko vitupu,vijengo vya hovyo,hakuna land scarping Wala masterplan vinajwngwa uchovhoroni no Barabara nk.

Hakuna kiti chochote Cha maana tunajivunia kidogo Sgr.

Ni aibu kubwa kuiga ramani ya mkoloni na kujenga tena Dom,pale Magufuli City majengo ya Wizara ni kama mabwenk au residential apartments hazifanani na ofisi walau kule Hazina majengo ya taasisi yanavutia.
 
Muonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.

View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19



Kitu kinachowakwamisha Watanzania ni huu uvamizi uitwao Muungano. Hili ni chaka la wahuni wanaojitajirisha binafsi na kuliangamiza Taifa chini ya genge lao wanaloliita CCM
 
Kitu kinachowakwamisha Watanmzania ni huu uvamizi uitwao Muungano. Hili ni chaka la wahuni wanaojitajirisha binafsi na kuliangamiza Taifa chini ya genge lao wanaloliita CCM
Muungano ndio umekuondolea wewe akili? Wacha visingizio vya kipuuzi
 
Niliona stand ya Kahama ilivyo choka mbaya, nikaona aibu sana kuwa mbongo.
 
Back
Top Bottom