Mji wa Goma huko DRC ni Mzuri kuliko Majiji yote Tanzania ukiondoa Dar es Salaam. Tanzania tunakwama wapi?

Hizo picha za maji wa Goma ulizotuletea hapa zimetengenezwa kwa Msaada wa AI. Acha kudanganya watu kwa kutumia akili mnembo aka akili bandia.
 
Hujui kitu wewe.... Jaribu kufuatilia historia angalau kidogo kuhusu msitu wa congo ujue nani anafaidi na anafaidi nini na nini..... Hapo Bado madini.... TATIZO KUNA MAMBO HUJUI KWA HIYO TAFUTA KWANZA .....
Sawa ila kwani hayo mambo ukiyajua wewe peke yako yanakupa faida gani au ndio hii ya Kunambia mimi sijui kitu๐Ÿ˜€
Wewe shusha Nondo hapa tuone hivyo vitu Tz hatuna?
 
All presidents wanao ingia ikuru upeo wao wa macho na akili huishia dar pekee

Huwa hawafikilii kujenga mikoa.mingine

R.i.p jpm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ