Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Unaitwa chokokidari huko Singapore????Mimi nilikimbia nchi kitambo nipo singapore๐๐๐๐๐
Sawa ila kwani hayo mambo ukiyajua wewe peke yako yanakupa faida gani au ndio hii ya Kunambia mimi sijui kitu๐Hujui kitu wewe.... Jaribu kufuatilia historia angalau kidogo kuhusu msitu wa congo ujue nani anafaidi na anafaidi nini na nini..... Hapo Bado madini.... TATIZO KUNA MAMBO HUJUI KWA HIYO TAFUTA KWANZA .....
Eeeh kumbe wee msukumazKWettu ukienda kule bulyankhulu kule kahama ni pabayaaaa na kuna dhahabu..shida ni tamaa za watu wachache
Ndio maana hawajengi majengo marefu kwa ajili ya tetemeko?Huo mlima hapo background Nyiragongo ni active volcanic mountain wakati wowote unatema lava na mitetemeko hapo ni kila mara.
View attachment 3219822
Hahaha, kweli ile sio stendNiliona stand ya Kahama ilivyo choka mbaya, nikaona aibu sana kuwa mbongo.
All presidents wanao ingia ikuru upeo wao wa macho na akili huishia dar pekeeMuonekano wa jiji la Goma huko DRC ni wa kuvutia sana hauwezi linganisha na majiji tuliyonayo hapa Tanzania. Sisi Watanzania tunakwama wapi? Mbona miji yetu haivutii, michafu haina mpangilio...shida yetu ni nini?
Tukumbuke eneo ulipo mji wa Goma unakumbwa na vita mara kwa mara na Serikali ya DRC ni kama haina mamlaka huko.
View attachment 3219681View attachment 3219682View attachment 3219683View attachment 3219684
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1885233902480232544?t=eqlRBLcF4Sj7hEKw9qEiXA&s=19
Mm sio msukuma kaka.nimesema nchini kwetu yani nchi yetu...Eeeh kumbe wee msukumaz