Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

But Why!!???
Good question.

Ni wakubwa wa Dunia kukidhi mahitaji yao zaidi kuliko weye wenye mali, na wana kila kitu teknolojia, vifaa na ujuzi.

Sie waafrika bado hatujafikia huko na ujuzi pia ni mdogo sasa.

Mwisho ni vita yao wakubwa kila mmoja kuhodho rasilimali popote pae zilipo duniani ndo twasema Hegemony.

Wakubwa wa Dunia China, Marekani, Russia, India, Japan, France, UK, Canada, Australia, Germany na wengine.

Juzi kikao cha World Economic Forum imekaa kwa siku nne 20-24 january na ajenda zake kuu:

1. Changamoto za dunia.
2. Mtikisiko wa kijiografia wa kidunia
3. Ukuaji wa uchumi au growth
4. Kubadilisha nishati au matumizi ya nishati.

Dhima yake ni ushirikishwaji wa maarifa au Collaboration of intelligent Age.

Hayo ndo wakubwa wameishakaa wamepanga yafanyike kwa mwaka wa 2025.
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
You are trying to use stereotype to justify your KKK affiliation and sympathy.

Africans can rule themselves when given opportunity, Burkina Faso is example now as the country run by young African man.

I have recently been in Senegal they have electric trains and well managed bus transport systems which are the same as the European one and alike.

So, don't pity yourself while standing and looking at your broken mirror.
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Ina sikitisha sana hii vita ukiwa sikia wananchi wanavyo lia juu ya usalama wao, kwakweli vita hii yenye maslahi na wakubwa flani inawatesa sana watu wasio kuwa na hatia wala nguvu.
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Mungu saidia Congo
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Jeshi la Tanzania lipo huko tayari kuwalinda Raia na Mji wa Goma usianguke mikononi mwa hao vibaraka wa Wazungu.

Wananchi wa DRC Wana Imani na JWTZ 👇👇

View: https://youtu.be/Fs7jEBnCRJU?feature=shared
 
Matatizo ya DRC yanasababishwa na Rwanda kinachoshangaza Viongozi wa Afrika wapo kimya huku raia wakipata tabu kwa sababu ya mali zilizopo kwenye Nchi yao inasikitisha sana..
 
Tangu nijue DRC iko kimkakati na UN inaratibu. Sina cha kusema.
Poor Africa inaangamia kwa kukosa viongozi waadilifu. Shame on us
Ilitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.

Maana ameshawashika Hadi Mozambique Kwa Sasa.
 
Ilitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.

Maana ameshawashika Hadi Mozambique Kwa Sasa.
Afrika haijitambui even AU bajeti yake iko sponsored, they are toothless dogs.na watumishi wa wa white people
 
Wamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
We undhani hao viongozi waafrika,walafi wa madaraka na wafisadi walio kwenye payroll ya mabeberu watafanyeje.?
 
Congo ilikuwa chini ya himaya ya mfalme Leopold wa pili wa Ubelgiji, hivyo isingeachiwa tu kienyeji.
Kweli Congo imeshindikana kabisa kwa serikali yao kuondoa huo uasi?

Nafikiri tatizo la Congo ni serikali yao na wa Congo wenyewe.
 
Back
Top Bottom