blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Ahaaaa...😂😂✍️✍️✍️K va t nitaaachaje hicho ndio cha zuia mbu. Au mrushie shem wako simu yangu inazingua betri🏃♂️🏃♂️
Noted..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaa...😂😂✍️✍️✍️K va t nitaaachaje hicho ndio cha zuia mbu. Au mrushie shem wako simu yangu inazingua betri🏃♂️🏃♂️
Haya maqazo sasa yana mika 5 yana ring kwabgu. Sina uhakika na ngozi nyeusi. We were born for Sex"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Ngoja tuchape kwata za kuagana na kukaribisha ulinzi mpyaAhaaaa...😂😂✍️✍️✍️
Noted..
Good question.But Why!!???
You are trying to use stereotype to justify your KKK affiliation and sympathy."Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Ina sikitisha sana hii vita ukiwa sikia wananchi wanavyo lia juu ya usalama wao, kwakweli vita hii yenye maslahi na wakubwa flani inawatesa sana watu wasio kuwa na hatia wala nguvu.Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Mungu saidia CongoToka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Akili Gani hii?ila wabongo ni vituko sanaMungu saidia Congo
Yule muuwajiCongo ilikuwa chini ya himaya ya mfalme Leopold wa pili wa Ubelgiji, hivyo isingeachiwa tu kienyeji.
Jeshi la Tanzania lipo huko tayari kuwalinda Raia na Mji wa Goma usianguke mikononi mwa hao vibaraka wa Wazungu.Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Ilitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.Tangu nijue DRC iko kimkakati na UN inaratibu. Sina cha kusema.
Poor Africa inaangamia kwa kukosa viongozi waadilifu. Shame on us
Afrika haijitambui even AU bajeti yake iko sponsored, they are toothless dogs.na watumishi wa wa white peopleIlitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.
Maana ameshawashika Hadi Mozambique Kwa Sasa.
Hili Bara Letu Lina ujinga sanaAfrika haijitambui even AU bajeti yake iko sponsored, they are toothless dogs.na watumishi wa wa white people
100% sureHili Bara Letu Lina ujinga sana
We undhani hao viongozi waafrika,walafi wa madaraka na wafisadi walio kwenye payroll ya mabeberu watafanyeje.?Wamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
Jeshi la Tanzania lipo huko tayari kuwalinda Raia na Mji wa Goma usianguke mikononi mwa hao vibaraka wa Wazungu.
Wananchi wa DRC Wana Imani na JWTZ 👇👇
View: https://youtu.be/Fs7jEBnCRJU?feature=shared
Kweli Congo imeshindikana kabisa kwa serikali yao kuondoa huo uasi?Congo ilikuwa chini ya himaya ya mfalme Leopold wa pili wa Ubelgiji, hivyo isingeachiwa tu kienyeji.