imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Siku hizi hatuna viongozi wenye UWEZO wa kuamua migogoro.Africa my continent
Nyerere angeliwepo huu mgogoro ungeshaisha.
View: https://youtu.be/4rkrpFYBUEE?si=2JWVRPa-2XhbeKQU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi hatuna viongozi wenye UWEZO wa kuamua migogoro.Africa my continent
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Ukweli ni kwamba DRC inasumbuliwa na Wasiojulikana, M23 wanasingiziwa tu.Tena bora hata Israel.....DRC ni nchi moja ila ndani yake ina watu wenye misimamo tofauti na kuna maeneo watu tokea wazaliwe wanajua vikundi vya waasi ndo serikali yenyewe........DRC kwa mashariki ni kama hakuna serikali kabisa bali tu ni makundi yanaji organise yanatawala eneo fulani
Watu wanarahisisha,bila DRC kusaidiwa na mataifa mengine ya Africa yenye Uzalendo itasambaratika Kila Jimbo liwe kivyake.Tena bora hata Israel.....DRC ni nchi moja ila ndani yake ina watu wenye misimamo tofauti na kuna maeneo watu tokea wazaliwe wanajua vikundi vya waasi ndo serikali yenyewe........DRC kwa mashariki ni kama hakuna serikali kabisa bali tu ni makundi yanaji organise yanatawala eneo fulani
Yaani DRC inahitaji Msaada wa Nchi za Kizalendo.Huko kwenye jeshi la FARDC kuna mapandikizi ya M23 kama yote.kila kinachopangwa FARDC kinafika M23 kama kilivyo.hivyo hakuna chochote cha siri ndani ya jeshi ambacho m23 hawakijui.
Unahisi matatizo ya waafrika wanajiletea wenyewe sindio mkuu? Inaonekana hata Patrice Lumumba humjui"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Yaani DRC inahitaji Msaada wa Nchi za Kizalendo
DRC kuna mambo inabidi wayabadili kutokea ndani ,wasipobadilika hata wakisaidiwa vipi mambo yatarudi vilevile....Watu wanarahisisha,bila DRC kusaidiwa na mataifa mengine ya Africa yenye Uzalendo itasambaratika Kila Jimbo liwe kivyake.
Ndio Maana Huwa nasema hata Sgr yetu Haina maana yeyote kama tunakopanga ifike hakuna amani
Hata Tized in Maslahi huku na tukijitowa yule Nyoka wa Nile atatumeza wacha tuanze kutafuta KICHWAJW hapo kama mgeni mualikwa tu hana nguvu kiasi hiko shida ni serikali ya DRC yenyewe kujielewa ....maana anataka kucheza kete za kusaidiwa na nchi jirani huku pia anataka kuendelea na matajiri wake wa ufaransa na ubelgiji.......kule kuna conflict of interest kikubwa jamaa wakishtuka bora wajitoe tu maana kushinda kule ni ngumu
Na waasi wengi waliopo kwenye jeshi la DRC ni wale wanaotaka kuwafuta banyamulenge na jamii nyingine zenye asili ya kitutsi,,,kwahio na wao lazima Rwanda aingilie kati na hata Uganda ana mkono wake pale sema main ni Rwanda,,,kikubwa labda makundi yote yangekubaliwa kuingia jeshini na kwenye serikaliKwa hali ilivyo sasa ni kama haiwezekani tena.Labda Mungu mwenyewe aingilie kati.mpaka rasilimali zote zitakapoisha congo ndiyo itatulia. iko hiv,jesh la congo linaongozwa na waasi bila watu kujua.kuna watu walishaingizwa jeshini na wako kwenye nafasi za juu kabisa kwa maslahi ya mataifa mengine
Haha Tz kuna kitu.....part ipo na Rwanda na part ipo na Drc......kuna mambo mengi.....wacha tuishie hapoHata Tized in Maslahi huku na tukijitowa yule Nyoka wa Nile atatumeza wacha tuanze kutafuta KICHWA
Wanapitia ule Mlango kuna wakati nahisi tupo open kwa maadui zetu haswa huko JIKONIYaani DRC inahitaji Msaada wa Nchi za Kizalendo.
Hata hapa Tanzania tabia ya kuingiza ingiza watu jeshini na usalama kinyemela Kuna siku itakuja kutu cost.
Mara 100 💯 watu wa mipakani wasiwe kwenye vyombo nyeti
Ndio maana tunasema isaidiwe Kwa kuvunja Jeshi na Idada za usalama Ili Nchi zingine za Kizalendo ndio zishike hatuma Ili recruitment ianze upya na waasi wasakwe waporwe silaha kokote waliko.Kwa hali ilivyo sasa ni kama haiwezekani tena.Labda Mungu mwenyewe aingilie kati.mpaka rasilimali zote zitakapoisha congo ndiyo itatulia. iko hiv,jesh la congo linaongozwa na waasi bila watu kujua.kuna watu walishaingizwa jeshini na wako kwenye nafasi za juu kabisa kwa maslahi ya mataifa mengine
Hahaha haya Mkuu hapa Lubumbashi enzi ya Boing 737 Serengeti na Kilimanjaro zinapishanà angani kama daradara...Haha Tz kuna kitu.....part ipo na Rwanda na part ipo na Drc......kuna mambo mengi.....wacha tuishie hapo
Wanarudije labda? Hapa ni uwanja wa aibu na kejeri kwa sasa mkuu. Ulisikia waliokataa kupigana Burundi kilichowakuta? haya,imagine misifa inayomwagiwa JWTZ, na watu hao hawajiwezi mbele ya M23,na ikitokea wataonekana wasaliti. Haya yote ni makosa ya viongozi wanaotanguliza matumbo yao na familia zao.Sasa vijana wetu wachache wa jwtz ambao wapo hapo goma tunawasaidiaje jamani hatutaki watoto yatima kwa sababu za vita ya congo..
Wangerudi tu jamani.
Hapo sasa nchi za kizalendo ni zipi? Maana kwa sasa ukimuweka Tanzania na Uganda😀😀☻☻, Burundi ndo hivyo......Afrika kusini sijajua kama ana uzoefu sana na yale maeneo,,,,,,,,,,,Ndio maana tunasema isaidiwe Kwa kuvunja Jeshi na Idada za usalama Ili Nchi zingine za Kizalendo ndio zishike hatuma Ili recruitment ianze upya na waasi wasakwe waporwe silaha kokote waliko.
Kuna sababu kwanini ule muungano wa majeshi ya nje na serikali kwa sasa haufui dafu kwa M23...........kuna kamanda wa Kenya alikuaga kwenye hivyo vikosi vya UN alitokaga nduki kabisa kurudi Nairobi 🤣🤣jamaa walimtishia tu, pale mziki wake ni mkubwa na kuna wachezaji wengi na wakubwaHahaha haya Mkuu hapa Lubumbashi enzi ya Boing 737 Serengeti na Kilimanjaro zinapishanà angani kama daradara...
inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na
TanzaniaHapo sasa nchi za kizalendo ni zipi? Maana kwa sasa ukimuweka Tanzania na Uganda😀😀☻☻, Burundi ndo hivyo......Afrika kusini sijajua kama ana uzoefu sana na yale maeneo,,,,,,,,,,,