ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hiyo Kivu itakuwa Nchi sio mda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unasaidiaje kunavunjaje jenshi la nchi nyingine.Maana hili ni jambo la ndani la nchi.Taratibu za kimataifa haziko hivyo.kinachoweza fanyika ni kuweka vikwazo tuu kwa nchi. sababu mfumo wote uko corrupted na unanufaika na hali inavyoendelea.Jeshi lingekuwa safi ndiyo lingetumika kupindua serikali.lakini kwa DR Congo inaonekana serikali na jeshi vyote ni corupted.Ndio maana tunasema isaidiwe Kwa kuvunja Jeshi na Idada za usalama Ili Nchi zingine za Kizalendo ndio zishike hatuma Ili recruitment ianze upya na waasi wasakwe waporwe silaha kokote waliko.
Kikubwa hapo ni intelligence hata ulete jeshi la vipi.....na kwa upepo ulivyo kwa sasa M23 anaonekana yupo vizuri sana kwenye intelligence kuliko vikosi anavyopigana navyo,, sasa jiulize anapata wapi huo uwezo wakati ni kikundi tu cha waasi ila anawapiga gap hadi majeshi ya serikali za nchi zinazosaidia hapoTanzania
Burundi
Burkifaso
South Africa
Namibia
Zimbabwe
Algeria
Guinea
Ethiopia
Wao kama DRC ndio wakubali kuanza upya kama hawataki basi wajue Nchi itaanza kugawanyika Moja baada ya nyingine.Sasa unasaidiaje kunavunjaje jenshi la nchi nyingine.Maana hili ni jambo la ndani la nchi.Taratibu za kimataifa haziko hivyo.kinachoweza fanyika ni kuweka vikwazo tuu kwa nchi. sababu mfumo wote uko corrupted na unanufaika na hali inavyoendelea.Jeshi lingekuwa safi ndiyo lingetumika kupindua serikali.lakini kwa DR Congo inaonekana serikali na jeshi vyote ni corupted.
Ndiyo maana ukichagua raisi wa hovyo akafanikiwa kuunda jeshi la hovyo basi nchi itapambana na hali yake.Labda wananchi waamue kuingia barabarani
Upo Drc? Au unasimuliwa kuhusu Drc? Unataka useme majeshi ya FARDC yana nidhamu sana sio? Upo Congo kweli wewe? Kuna mengi hujayajua nakuuliza kitu kimoja tu unijibu directly ..,Polisee huyo siyo Mjeda .....ila kesho mutu asianze kulia lia hakuna kusimamisha Mapigano ni mwendo wa BM na mvua ya MASASE
Kwaa Taarifa yako hao Nyamurenge wameanza kula kifinyo na lile daraja limesha vunjwa mwingine mkubwa wao yupo hapa LEBA anajifunguwa MasaseUpo Drc? Au unasimuliwa kuhusu Drc? Unataka useme majeshi ya FDLC yana nidhamu sana sio? Upo Congo kweli wewe? Kuna mengi hujayajua nakuuliza kitu kimoja tu unijibu directly ..,
WAKATI ZILE BM ZINAUNGURUMA KWA WAASI ILIKUAJE WAKAACHA KUPIGA TENA? Ukishapata majibu ya hapo tu tulia kula samaki zako subiri urudi baa za Kawe wakukome na subaru yako mpya
Kwani Why!??Na DRC nyuma yao wapo wafaransa na wabeligiji shida inakuja hapo.....kila mtu ana watu wake nyuma yake
kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Alitoa wito kwa M23 kusitisha mara moja mashambulizi yake, kujiondoa katika maeneo yote yanayokaliwa, na kutii makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotiwa saini Julai 31, 2024."Kukamatwa kwa Sake kunaongeza tishio kwa Goma na kuongeza hatari ya kuongezeka kwa eneo," Guterres alisema katika taarifa siku ya Alhamisi.
Tatizo lako u mgeni wa hayo mambo unaongea kishabiki nimekuuliza mwanzo walipigwa BM ikawaje ikasitishwa ?Kwaa Taarifa yako hao Nyamurenge wameanza kula kifinyo na lile daraja limesha vunjwa mwingine mkubwa wao yupo hapa LEBA anajifunguwa Masase
MadiniKwani Why!??
Yani hiyo Kongo ndo What!?
Guys mi nataka jua ..
Meja jenerali huyo inasemekana amepoteza maisha kutokana na majeraha vitani
View: https://m.youtube.com/watch?v=hAb9ctrgVdc
Meja jenerali huyo inasemekana amepoteza maisha kutokana na majeraha vitani
View: https://m.youtube.com/watch?v=hAb9ctrgVdc
Unawaitaje pandikizi wakati ni wazawa?Huko kwenye jeshi la FARDC kuna mapandikizi ya M23 kama yote.kila kinachopangwa FARDC kinafika M23 kama kilivyo.hivyo hakuna chochote cha siri ndani ya jeshi ambacho m23 hawakijui.
Hapo kikubwa ni ma Godfather wa eneo hilo wana influence kiasi gani.......kwa kule unaweza ukawa rais ila kuna upande ma godfather ndo wananguvu juu ya wanachi kuliko wewe rais.......jamaa watakuchezea hadi ikulu maana wanakua na watu wao kwenye kila idara ndani ya nchi....na ogopa sana kwenye jeshi yakiingia makundi ambayo yanakua loyal kwa mkubwa wao fulani tu hata kama sio rais wa hio nchi.........serikali ya DRC ina nguvu pande za Kinshasa tu ila wakija mashariki lazima kuna namna wakubaliane na wababe wa eneo hilo ndo unakuta kuna vikundi vya waasi vimeingizwa jeshini, shida sasa hivyo vikundi vya waasi kuna kipindi vinakua na watu waliowahi kua M23 maana wengi wa wapiganaji ni watu wa maeneo hayohayo inategemea sasa hilo eneo kalichukua mbabe gani,,,sasa serikali ukija kuchukua kikundi fulani kiingie jeshini basi jua hadi watu wa lile kundi hasimu utawaingiza jeshini.....ndo kinachoendelea hukoHuko kwenye jeshi la FARDC kuna mapandikizi ya M23 kama yote.kila kinachopangwa FARDC kinafika M23 kama kilivyo.hivyo hakuna chochote cha siri ndani ya jeshi ambacho m23 hawakijui.
Huku ndo nimekulia labda Kisangani Kaskazini Magharibi kwenye Misitu minene naweza poteaTatizo lako u mgeni wa hayo mambo unaongea kishabiki nimekuuliza mwanzo walipigwa BM ikawaje ikasitishwa ?
Namfahamu kiasi huyu mzee alikua mtu wa tungi hivi,
Apumzike kwa amani
Sawa kesho saa sita mchana ntakucheki hapaHuku ndo nimekulia labda Kisangani Kaskazini Magharibi kwenye Misitu minene naweza potea
Tatizo ni asili ya Roho mbaya iweje ukaribishwe uwanze kutowa AMRI ...kama wewe ni Mzoefu wa hayo Mambo ulishafika Mwese na Ikola Mpanda....kama umefika tupe kidogo uzoefu
Habari ya BM muda huu ndo ZINASOSELA mpaka kesho saa sita mchana MAJIBU utayapata HAPA HAPA
Sawa MkuuSawa kesho saa sita mchana ntakucheki hapa
Hebu niambie kwa sasa aliyeanza kuwasogeza hawa waasi ni nani hapo maana wameanza retreat nimeokota tu baadhi ya pichaSawa Mkuu