Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

Ilitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.

Maana ameshawashika Hadi Mozambique Kwa Sasa.
Na hiyo ndo projection kwa sasa naona hapa Goma hizi operation UN wapo kimaslahi sio kulinda raia ....kipigo watakacho pata waasi HAKITAKUWA NA UKOMO
 
Congon Ina watu 180m inashindwaje na rwanda wapuuzii
Alokwambia vita ni idadi ya watu ni nani mkuu! Achana na vita,kama unajua mme anafukuzwa kwake na nyumba kajenga yeye, hujiulizi kwenye siasa, jeshi na diplomasia kuna nini?
 
Wamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
Sio kweli hakuna Amerika iliyo na Kagame na historia ya M23 tunaifahamu vizuri sana toka ilivyo anzishwa na Kagame.

Tatizo la waafrika siku zote ni kutafuta visingizio kwa madhaifu yao ambayo ndio chanzo cha wao kuwa kichekesho cha dunia na siku Afrika watakapogundua kwamba chanzo cha matatizo yao ni wao wenyewe hawatabaki tena hapa walipo.
 
Sio kweli hakuna Amerika iliyo na Kagame na historia ya M23 tunaifahamu vizuri sana toka ilivyo anzishwa na Kagame.

Tatizo la waafrika siku zote ni kutafuta visingizio kwa madhaifu yao ambayo ndio chanzo cha wao kuwa kichekesho cha dunia na siku Afrika watakapogundua kwamba chanzo cha matatizo yao ni wao wenyewe hawatabaki tena hapa walipo.
Sina shida ya kufuatiliA mafail...

Ila... Hiyo Rwanda inafadhiliwa na US.
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Awamu hii wamedhamiria.

Hivi Machi 23,2009 Laurent Kabila alikubalina nini na Hawa Waasi wa Kutokea Rwanda?
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Sasa vijana wetu wachache wa jwtz ambao wapo hapo goma tunawasaidiaje jamani hatutaki watoto yatima kwa sababu za vita ya congo..
Wangerudi tu jamani.
 
Yah hapa Kumekucha JW imesha kita .....kwanzia kesho majibu
Hamna kitu JW mtafanya ni kucheza sindimba tu kupotezeana muda.
Popote ambapo jeshi la kigeni hutoa msaada inabidi jeshi la wenyeji liwe na nia na moyo wa kupambana. Hao FARDC ni viazi watupu, sasa JW mtapigana mkiwa na nani?

Kwa wanajeshi wachache wa JW hamna kitu watafanya huku FARDC wanajeshi wake wanakimbia mapigano, kupora mali na kubaka wanawake. Hiyo Congo ni uvivu wake tu, kwamba inashindwa raise vikosi vya wanajeshi hata 20,000 kuanzisha operation ya kutokomeza M23?
 
Wako 80 mln.Iran na Waarabu wote wananyanyaswaje na Israeli ambao ni wachache?
Tena bora hata Israel.....DRC ni nchi moja ila ndani yake ina watu wenye misimamo tofauti na kuna maeneo watu tokea wazaliwe wanajua vikundi vya waasi ndo serikali yenyewe........DRC kwa mashariki ni kama hakuna serikali kabisa bali tu ni makundi yanaji organise yanatawala eneo fulani
 
Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.

Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.

Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.

Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.

Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.

Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.

View attachment 3213045View attachment 3213046
Dark continent
 
Yah hapa Kumekucha JW imesha kita .....kwanzia kesho majibu
JW hapo kama mgeni mualikwa tu hana nguvu kiasi hiko shida ni serikali ya DRC yenyewe kujielewa ....maana anataka kucheza kete za kusaidiwa na nchi jirani huku pia anataka kuendelea na matajiri wake wa ufaransa na ubelgiji.......kule kuna conflict of interest kikubwa jamaa wakishtuka bora wajitoe tu maana kushinda kule ni ngumu
 
Back
Top Bottom