nyoka in
JF-Expert Member
- Aug 27, 2024
- 518
- 318
PumbavuAkili Gani hii?ila wabongo ni vituko sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuAkili Gani hii?ila wabongo ni vituko sana
Jeshi la Tanzania lipo huko tayari kuwalinda Raia na Mji wa Goma usianguke mikononi mwa hao vibaraka wa Wazungu.
Wananchi wa DRC Wana Imani na JWTZ 👇👇
View: https://youtu.be/Fs7jEBnCRJU?feature=shared
Na hiyo ndo projection kwa sasa naona hapa Goma hizi operation UN wapo kimaslahi sio kulinda raia ....kipigo watakacho pata waasi HAKITAKUWA NA UKOMOIlitakiwa kufukuza majeshi ya UN yote harafu AU ndio walete Jeshi kuwaska hao vibaraka kina M23 na pia ufanyike Mpango kumuondoa madarakani Kagame hata Kwa kumuua.
Maana ameshawashika Hadi Mozambique Kwa Sasa.
Nafikiri wewe sio wa kwanza kuwa humo., majibu unaweza kuyapata weweYah hapa Kumekucha JW imesha kita .....kwanzia kesho majibu
Polisee huyo siyo Mjeda .....ila kesho mutu asianze kulia lia hakuna kusimamisha Mapigano ni mwendo wa BM na mvua ya MASASE
Alokwambia vita ni idadi ya watu ni nani mkuu! Achana na vita,kama unajua mme anafukuzwa kwake na nyumba kajenga yeye, hujiulizi kwenye siasa, jeshi na diplomasia kuna nini?Congon Ina watu 180m inashindwaje na rwanda wapuuzii
Sio kweli hakuna Amerika iliyo na Kagame na historia ya M23 tunaifahamu vizuri sana toka ilivyo anzishwa na Kagame.Wamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
Sina shida ya kufuatiliA mafail...Sio kweli hakuna Amerika iliyo na Kagame na historia ya M23 tunaifahamu vizuri sana toka ilivyo anzishwa na Kagame.
Tatizo la waafrika siku zote ni kutafuta visingizio kwa madhaifu yao ambayo ndio chanzo cha wao kuwa kichekesho cha dunia na siku Afrika watakapogundua kwamba chanzo cha matatizo yao ni wao wenyewe hawatabaki tena hapa walipo.
Awamu hii wamedhamiria.Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Kuliko kuishi DRC Bora raia wahamie na kuomba ukimbizi japo sio jambo zuri maana huwi huru ila unakuwa salama.Nawahurumia sana hao watu wa Drc
Sasa vijana wetu wachache wa jwtz ambao wapo hapo goma tunawasaidiaje jamani hatutaki watoto yatima kwa sababu za vita ya congo..Toka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
Na DRC nyuma yao wapo wafaransa na wabeligiji shida inakuja hapo.....kila mtu ana watu wake nyuma yakeWamarekani ni Wapumbavu sana...
America wako na Kagame..
Wao ndo wanawawezesha hao M23..
Ni ujinga viongozi Wa Africa kukubali huu uhayawani...
Wako 80 mln.Iran na Waarabu wote wananyanyaswaje na Israeli ambao ni wachache?Congon Ina watu 180m inashindwaje na rwanda wapuuzii
Hamna kitu JW mtafanya ni kucheza sindimba tu kupotezeana muda.Yah hapa Kumekucha JW imesha kita .....kwanzia kesho majibu
Tena bora hata Israel.....DRC ni nchi moja ila ndani yake ina watu wenye misimamo tofauti na kuna maeneo watu tokea wazaliwe wanajua vikundi vya waasi ndo serikali yenyewe........DRC kwa mashariki ni kama hakuna serikali kabisa bali tu ni makundi yanaji organise yanatawala eneo fulaniWako 80 mln.Iran na Waarabu wote wananyanyaswaje na Israeli ambao ni wachache?
Dark continentToka jana tarehe 23 Januari 2025, mida ya saa mbili usiku, mji wa Goma uligubikwa na giza.
Ni baada ya taarifa za kifo cha aliekuwa mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini Mejor General Chirimwami. Leo subuhi, maji,umeme na huduma za mitandao havikupatikana kabisa,jambo lililozua hofu kwa wakazi wa mji huo.
Wengi wenye uwezo, kwa kuhofia kuporwa mali zao na jeshi la FARDC na wazalendo, wamepanda ndege na kuelekea mikoa mingine ikiwemo Kinshasa. Uongozi wa serikali umewataka wananchi kuwa watulivu na kuliamini na kuliunga mkono jeshi lao, ila wanaonekana kukosa imani, baada ya kukosa huduma hizo za msingi.
Pamoja na hali hiyo, inasemekana pia eneo la tambalale lililopo umbali wa km 20 kutoka mji wa Goma, tayari lipo mikononi mwa M23,maana kwa sasa wanapigana kutoka pande tofauti tofauti(kwa makundi),na inaonekana FARDC hawajui waanzie wapi.
Kwa wanaojaribu kudadavua mambo, wanahisi lengo la M23 ni kuifunga mipaka ya DRC na Rwanda, jambo litakalosababisha waliozingilwa wasiweze kutoka. Na hali ikiwa hivi kweli, kuna dalili sa majeshi ya Tanzania,Malawi na South Africa kudhalilika,maana kwa hali iliyopo, M23 bado imaendelea kuwaomba wakae mbali na jeshi lipigane lenyewe, vinginevyo na wao watashughulikiwa.
Ikumbukwe, kwa kuzingilwa kwa mji huo, sababu ni kwamba jeshi hilo lisiweze kupata msaada wa kijeshi kutoka nje. Na baada ya kuona hali si shwali, FARDC iliamua kusafirisha badhi ya siraha zake kupitia njia ya maji kuelekea Bukavu. Picha, ni hali ya Goma kwa sasa.
View attachment 3213045View attachment 3213046
JW hapo kama mgeni mualikwa tu hana nguvu kiasi hiko shida ni serikali ya DRC yenyewe kujielewa ....maana anataka kucheza kete za kusaidiwa na nchi jirani huku pia anataka kuendelea na matajiri wake wa ufaransa na ubelgiji.......kule kuna conflict of interest kikubwa jamaa wakishtuka bora wajitoe tu maana kushinda kule ni ngumuYah hapa Kumekucha JW imesha kita .....kwanzia kesho majibu