Mjue 'Banana Spider' ambaye akikuuma unasimamisha kwa muda wa zaidi ya saa

Mjue 'Banana Spider' ambaye akikuuma unasimamisha kwa muda wa zaidi ya saa

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Ni maajabu ya buibui huyu anayefahamika kama Brazilian Wandering Spider au Banana Spider ambaye ana sumu kali inayosababisha maumivu makali, ikiwemo kichwa kuuma nk ameonekana kuwa neema kwa wanaume wenye matatizo ya dhakari kusimama.

Mwanaume akiumwa na buibui huyo huweza kusimamisha uume kwa muda wa Zaidi ya saa kutokana na namna sumu yake inavyosambaa mwilini. Wanasayansi wamethibitisha kwamba sumu ya buibui huyo inafanya kazi sawa na Viagra.

Banana Spider wanapatikana kwa wingi huko Brazil, Uruguay, Paraguay na Argentina.

1653981579822.jpeg
 
Balance diet na mazoezi

Hela na akili

Hapa mawazo kwanza unakuwa hauna afu akili imetulia mkuu achana na wadudu kula vizuri kuwa na hela na fanya mazoezi

Angalizo usishindane na kitu kinachotanuka
Mapenzi ni ufundi sio in and out

Nazungumzia masaji,french kiss, utani kidogo( mahaba fulani hivi) afu muweke ile staili akili na moyo unapenda then relax.
 
Anaweza kuuma watu wangapi kwa siku?

Seems inaweza kuwa biashara nzuri hii😊
 
Huyu kwenye milima ya Usambara yuko sisi humtumia kwenye fungate( honeymoon), ila ni baadhi ya maeneo tunayoyajua sisi.
 
Jamaa bwege sana ww hapo vijana wa dar wapo porini wanamtafuta huyo mdudu.
 
Mwanaume akiumwa na buibui huyo huweza kusimamisha uume kwa muda wa Zaidi ya saa kutokana na namna sumu yake inavyosambaa mwilini. Wanasayansi wamethibitisha kwamba sumu ya buibui huyo inafanya kazi sawa na Viagra.
Duh!...
 
Back
Top Bottom