Mjue Benson Kigaila - kijana mtiifu wa Mbowe

Mjue Benson Kigaila - kijana mtiifu wa Mbowe

Watu wanao muunga mkono Lissu kwa move yake hi ya sasa hivi is either wakapimwe akili or wana pretend. Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema, amekua mwana sheria mkuu wa chama for years, Lissu ni mwana sheria mbobevu hapa Tanzania, hivi unaweza kuituhumu taasisi unayoifanyia kazi public? Ethics za kiongozi hapo zikoje? Mnamkumbuka the former katibu mkuu wa ccm bwana Horace Kolimba? Alitamka jambo kuhusu chama chake akiwa kaachana na uongozi, alikufa.
Mnamkumbuka Augostine Lyatonga Mrema? Alikua waziri, akatamka maneno fulani bungeni, aliyekua waziri mkuu wa wakati huo alimfukuza pale pale na kumvua nyadhifa zake zote, Mrema alirudi Moshi, Chadema walitupa ndoano kwake, hawakufanikiwa, akahamia NCCR Mageuzi, kilicho fuata ni historia. Wote hao walicho kisema kilikua ni kweli, tena kwa 💯 but walifukuzwa, huwezi kutuhumu taasisi unayo iongoza public halafu uungwe mkono. Nilikua shabiki mkubwa wa Lissu, kwa matamshi yale, nimemdharau mno. Ni mtu ambaye kafanya jambo la kukosea maadili ya kiuongozi; ni wapuuzi pekee yao wanaweza kumpa KURA kwa uchaguzi wao. Mbowe anaendelea kuonekana kama mtu mwenye busara na hekima sana.
Mimi sio mwana Chadema though kuna wana siasa ninao wakubali sana, CCM wapo, upinzani as well, Lissu nimemtoa kwenye list yangu

..Mbona Mwalimu Nyerere alisema Ccm kuna rushwa na hakuna aliyemfukuza uanachama?

..suala la Augustino Mrema ni tofauti na kilichotokea kati ya Lissu na Chadema.

..Baraza la Mawaziri walikaa kikao wakakubaliana kuwa na msimamo mmoja Bungeni.

..Walipofika ktk kikao Mrema akawageuka wenzake, kitu ambacho moja kwa moja kinakutemesha nafasi yako ya Uwaziri.
 
Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.
"Ukomo wa uongozi" ni kwenye tumbo lake tu basi!

Nitashangaa kama hajawahi kutembelewa na Bw. Abdul huyu.
 
..Mbona Mwalimu Nyerere alisema Ccm kuna rushwa na hakuna aliyemfukuza uanachama?

..suala la Augustino Mrema ni tofauti na kilichotokea kati ya Lissu na Chadema.

..Baraza la Mawaziri walikaa kikao wakakubaliana kuwa na msimamo mmoja Bungeni.

..Walipofika ktk kikao Mrema akawageuka wenzake, kitu ambacho moja kwa moja kinakutemesha nafasi yako ya Uwaziri.
Nitumie hiyo nukuu ya mwl akisema "ccm kuna nuka rushwa"
Ninacho kumbuka, mwl alisema, "uchaguzi wa mwaka hu utakua na rushwa" na pia alikua akiituhumu serikali kwa rushwa na kutoa solutions plus historia ya enzi zake as well. Yeye hakua kiongozi wa serikali, hilo lina ubaya gani? Huwezi kua timamu kichwani ukatuhumu taasisi ambayo wewe mwenyewe ni kiongozi kaka, hilo nalo hadi tuanze kubishana? Bado siamini kama Lissu anafanya hivo akiwa hajui anacho kifanya, anayo agenda, tuendelee tu kusubiri, muda ni mwalimu mzuri
 
Nitumie hiyo nukuu ya mwl akisema "ccm kuna nuka rushwa"
Ninacho kumbuka, mwl alisema, "uchaguzi wa mwaka hu utakua na rushwa" na pia alikua akiituhumu serikali kwa rushwa na kutoa solutions plus historia ya enzi zake as well. Yeye hakua kiongozi wa serikali, hilo lina ubaya gani? Huwezi kua timamu kichwani ukatuhumu taasisi ambayo wewe mwenyewe ni kiongozi kaka, hilo nalo hadi tuanze kubishana? Bado siamini kama Lissu anafanya hivo akiwa hajui anacho kifanya, anayo agenda, tuendelee tu kusubiri, muda ni mwalimu mzuri

..Mwalimu Nyerere aliandika mpaka kijitabu chenye title " tujisahihishe " maana yake alikuwa anasema Ccm na serikali wamekosea.

..Kukubali kwamba ktk Taasisi kuna makosa ni uuungwana, na hatua nzuri ya kuelekea kujirekebisha.
 
View attachment 3178920

Anaitwa Benson Kigaila.
Cheo chake Naibu Katibu Mkuu Bara - CHADEMA.

Hajawai kuchaguliwa wala kupigiwa kura ila ameongoza miaka mingi CHADEMA.

Mke wake yupo bungeni ni mmoja wa wale COVID-19.

Ameshasema yeye sio muumini wa ukomo wa uongozi ikiwezekana hata Rais wa nchi asiwekewe ukomo wa uongozi kama ilivyo ndani ya chama chake CHADEMA.

Amekuwa akilalamikiwa kwenye chaguzi nyingi anazotumwa kusimamia uwa anafanya kazi chafu za mwenyekiti.

Ni mtu wa kuchunga kuelekea uchaguzi wa Chadema mwezi January. Timu Lissu macho yenu yawe kwa huyu mwamba siku ya uchaguzi maana ana historia ya kupindua meza dakika za jioni kama Kibu au Mudathir.
Atakuwa anashikishwa ukuta na Mbowe huyu, si bure.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Aiseeeeeee! hawa jamaa. 20yrs ya utawala. Na bado wanataka kuendelea. Wake zao ubunge viti maalumu bila ukomo. Jamani!


..hao ni cha mtoto.

..Ccm ndio wamezidisha.

..mtoto wa Mama Samia ni mbunge.

..mkwe wa Mama Samia ni Waziri, tena anayesimamia uchaguzi.

..mwanae Mstaafu Kikwete ni Naibu Waziri.

...mke wa mstaafu Kikwete ni mbunge.

..familia ya Mzee Mwinyi ndio usiseme. Kuna Raisi wa Zanzibar, na wabunge wasiopungua watatu.
 
..hao ni cha mtoto.

..Ccm ndio wamezidisha.

..mtoto wa Mama Samia ni mbunge.

..mkwe wa Mama Samia ni Waziri, tena anayesimamia uchaguzi.

..mwanae Mstaafu Kikwete ni Naibu Waziri.

...mke wa mstaafu Kikwete ni mbunge.

..familia ya Mzee Mwinyi ndio usiseme. Kuna Raisi wa Zanzibar, na wabunge wasiopungua watatu.
Duuuuuuhh!
 
Watu wanao muunga mkono Lissu kwa move yake hi ya sasa hivi is either wakapimwe akili or wana pretend. Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema, amekua mwana sheria mkuu wa chama for years, Lissu ni mwana sheria mbobevu hapa Tanzania, hivi unaweza kuituhumu taasisi unayoifanyia kazi public? Ethics za kiongozi hapo zikoje? Mnamkumbuka the former katibu mkuu wa ccm bwana Horace Kolimba? Alitamka jambo kuhusu chama chake akiwa kaachana na uongozi, alikufa.
Mnamkumbuka Augostine Lyatonga Mrema? Alikua waziri, akatamka maneno fulani bungeni, aliyekua waziri mkuu wa wakati huo alimfukuza pale pale na kumvua nyadhifa zake zote, Mrema alirudi Moshi, Chadema walitupa ndoano kwake, hawakufanikiwa, akahamia NCCR Mageuzi, kilicho fuata ni historia. Wote hao walicho kisema kilikua ni kweli, tena kwa 💯 but walifukuzwa, huwezi kutuhumu taasisi unayo iongoza public halafu uungwe mkono. Nilikua shabiki mkubwa wa Lissu, kwa matamshi yale, nimemdharau mno. Ni mtu ambaye kafanya jambo la kukosea maadili ya kiuongozi; ni wapuuzi pekee yao wanaweza kumpa KURA kwa uchaguzi wao. Mbowe anaendelea kuonekana kama mtu mwenye busara na hekima sana.
Mimi sio mwana Chadema though kuna wana siasa ninao wakubali sana, CCM wapo, upinzani as well, Lissu nimemtoa kwenye list yangu
So?
 
..hao ni cha mtoto.

..Ccm ndio wamezidisha.

..mtoto wa Mama Samia ni mbunge.

..mkwe wa Mama Samia ni Waziri, tena anayesimamia uchaguzi.

..mwanae Mstaafu Kikwete ni Naibu Waziri.

...mke wa mstaafu Kikwete ni mbunge.

..familia ya Mzee Mwinyi ndio usiseme. Kuna Raisi wa Zanzibar, na wabunge wasiopungua watatu.
Bado Mbunge wa Arumeru Mashariki na Wakwe zake wabunge wawili..mmoja Bunge la Muungano, mwingine la Africa Mashariki
 
Nilimsikiliza kwenye medani za siasa star tv itoshe kusema huyu jamaa ni MWEUPE PEE kichwani
 
..Boni Yai aliwahi kumpiga kabari Meya wa Ccm mpaka akajinyea ndio akamuachia!!🤣

..hatari sana yule sijui timu Lissu watakabiliana naye vipi.
Hiyo niliisikiaga,meya alijichafua,aisee bonge anaonekana ana kabali kali sana.
No wonder amewahi kua bodyguard.
 

Attachments

  • 20241212_173431.jpg
    20241212_173431.jpg
    55.7 KB · Views: 3
Jilaumuni kuzaliwa kwenye familia zisizo na koneksheni 😁😁😁

..Ccm ni genge la kugawana vyeo, na kutumbua rasilimali za nchi.

..Raisi / Mwenyekiti wa Ccm ana maelfu ya nafasi anazoteua watu mbalimbali.

..Mazingira hayo ndio yanawalazimisha wamfanye Mwenyekiti wa Ccm kuwa " mungu mtu " anayelindwa kwa gharama ya damu ya wanaharakati na wapinzani.
 
Back
Top Bottom