Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa

Hao unakuta CD4 zao kabla maambukizi zilikuwa vizuri sana na katika hiyo miaka kumi zinapungua taratibu, wengine wanakuwa na bahati tu lakini wengine wanapata magonjwa nyemelezi kama TB na pneumonia ambavyo vinapelekea kubainika HIV
unajua najiuliza hadi mtu afariki na cd4 pungufu ni uzembe sana . maana najiuliza kijana kama huyu alipata lini ngoma ? hadi cd4 zikapungua hivo maana ana katoto ka miaka kama mitatu hivi sidhani kama kana ngoma ina maana atakuwa alipata miaka kama miwili hivi ndo afe jamani?
 
Inawezekana ikawa kabla ya hapo na alikuwa kwenye ARV'S na undetectable status hivyo mama na mtoto walipona.
 
Bado inaendelea sema anaibolesha zaidi .mkuu
Wema hawa dumu mkuu....vijana tuna potea list ina ongezeka ya vijana marehemu kanumba,ngwair,sharo na wengine...!!!!!!!! Mishuma yao imezima nyota zilikua zina waka na skiliza e fm nw nyimbo za huzun sana sipati picha kipind cha ubaoni kikianza maana ndo team yake mpoki,kapanga,doki na dj speer wata nywea sana sana utendaj wa kaz utakua wa chini sana waki miss moment kua nae jirani haswa segment funga mkanda,ushaur wa bure na kubwa kubwa za leo

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…