Mjue Bikira wa Kisukuma, kijana mhangaikaji mjini hapa



Madam Sky,
ARVs 'zinaua' HIV waliopo kwenye blood stream ?!!
Yaani arv 'ZINAUA' HIV?

-Kaveli-
 
Usiogope hata Mimi ni doctor...ni pm nikupe formula ya kuua hivi virusi [emoji4]

Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from my ZTE Kis3 max using JamiiForums mobile app
 
Tulibishana sana hapa kuhusu hizi research za deception, ARV's ukizitumia kufuatana na maagizo unafikia undectable status hapo unakuwa huna wadudu kwenye mzunguko wa damu na CD4 wanaongezeka.
ni watu au ni cell?
 
Huyu kijana form six mpaka chuo alikuwa ameokoka, ameimba sana gospel vyuoni especial makongamano maarufu ya from hero to zero 2008's
 
Mtupe na taratibu za mazishi jamani.tunaweza tukahudhuria.
 
Mkuu aya mambo bora kuwa makini tu usije ukakanyaga waya maana acha kabisa. Mi mwenyewe kumeza dawa tu za kawaida naogopa hiyo adhabu za kila siku sidhani kama ntaiweza kwa kweli. May Jah forbid it.
Acha ngono kabisa
 
Kama ndo hivyo huyu kiumbe atakua kaacha kilio kikubwa huku duniani. Kuna binti alikua anaishi nae kinyumba namfahamu ila walikuja kuachana. Sijui kama kasalimika binti wa watu [emoji31][emoji30]
Wabongo kwa figisu figisu tumeshindikana, kisa katangulia basi ndo story zake zinaanza kutiririka za uongo na kweli
 



wewe na uoga wako tu mkuu
 
poleni sana

Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…