Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

ha ha ha chid benz alikuwa na mlinzi.. haha huyo mlinzi akashindwa kulinda na ngada?
Na Hao ndio waliomtia chaka Chid Beenz.

Zile kesi nyingi za kupiga watu na wasanii wengine zilikuwa zinafanywa na yule mlinzi na mshkaji wake wa kuitwa Modi Bize ila lawama zote akawa anabeba Chid kuwalinda wanae.
 

Acha dharau za kitoto grow up. Wewew wazazi wako wako wamesoma mpaka wapi?
 
Hii ndio inaitwa mis use of resources ...limwili lote hilo c angeenda shambani kulima ekari sita mpaka kumi....atengeneze fedha zitakazo mfanya kuwa huru ...mwili jumba akili ...pilitoni
 
Hapana nchiyetu haitambui hicho, kuna sheria za ulinzi binafsi nahio inaruhusu uwe kama kampuni kwamfano KKsecurity nk, nchi zawenzetu sheria inaruusu namlizi anasajiliwa. Mfano marekani kuna jeshi binafsi lisilo laserkali , nakunawakati serekali inakodi ata askari inalipa,
 
Mwambie


Chezea neurosurgeon wewe
 
Mwenye picha ya huyo Arafati Ngumijiwe tunaiomba tafadhal
 
Hahahaaa mkuu una wivu bora nikwambie ukweli tu
 
Wanajua hao blogger na mwarabu ni watu wa karibu kwa muda mreeefu saana....

Eti komando wa iran... ndo nin sasa...
Bongo kwa kupaishana msaala saaana.

Ngoja siku abananishwe kwenye bawaba... blogger utueleze.

Training iyo... afu uwe mfungua mlango... aaah aaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…