mkuu, nasema mbele za mungu, ninayo black belt. na sidhani kwamba nimevunja nidhamu hapa. tangu nianze haya mavitu sijawahi kupigana na raia yeyote yule na sitegemei kupigana kwasababu huwa nahisi nitawaumiza tu. zaidi ya kucheza kumite kwenye ulingo, sijawahi piga mtu na sitegemei kupiga mtu.