Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

mkuu, nasema mbele za mungu, ninayo black belt. na sidhani kwamba nimevunja nidhamu hapa. tangu nianze haya mavitu sijawahi kupigana na raia yeyote yule na sitegemei kupigana kwasababu huwa nahisi nitawaumiza tu. zaidi ya kucheza kumite kwenye ulingo, sijawahi piga mtu na sitegemei kupiga mtu.
KAMA umecheza karate na ujawai kupigana,basi wewe Ni mchovu kabisa,, mkuu mimi nimecheza karate aswa,, na ngumi za kitaa nishapiga na nishapigwa pia,, halafu ngumi za ugomvi tofauti na ngumi za kwenye steji au dojo pia,, ngumi za ugomvi we unakaa mkao wa ngumi,, muhuni anakuvaa kabla hujakaa sawa,,,
 
livingstone-mkoi-12-jpg.250760

Hiyo miguu.....
Jamaa anaoneka ni mzito sana ,,
 
mweupe sana na hana lolote kuna bodigad wa dully alipewa promo humu baadae akaja gundulia analiwa kiboga eti walimuita ngumi jiwe huku anapumuliwa tz kwa mizaha[/QUO
 
Back
Top Bottom