Mjue Bodigadi wa Diamond, kumbe ni 'Komandoo Kipensi'

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh!!!
 
mweupe sana na hana lolote kuna bodigad wa dully alipewa promo humu baadae akaja gundulia analiwa kiboga eti walimuita ngumi jiwe huku anapumuliwa tz kwa mizaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ohoooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
 
Hahahaaa ndo zao hizo!!
mweupe sana na hana lolote kuna bodigad wa dully alipewa promo humu baadae akaja gundulia analiwa kiboga eti walimuita ngumi jiwe huku anapumuliwa tz kwa mizaha
 
Nashangaa............sie tuna gymnasium yetu ndani ya nyumba yy Bado anatumia magunia!!!!! Wamaume kweli wanajulikana wakati wa shughuli yenyewe Sio kujushaua Kumbe huna lolote!
 
Hivi kumbe chidi benz nae alishawahi kuwaga na Mlinzi
Yeah jamaa mmoja hivi alikuwa anaitwa Makene Ana mwili mkubwa.

Itazame video ya Hao ile Mwasiti f.t Chid Beenz..sasa yule jamaa anaempokonya Camera yule Paparazzi ndio alikuwa mlinzi wa Rashidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…