Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
- Thread starter
-
- #61
Weka ambayo ipo sahihi mkuuHii history ina walakini mkubwa sana, history ya Dr Lamwai umekosea sana
kuna mawakili kama Lamwai, watu walikuwa wakisikia tarehe atakayokuwepo mahakamani, wanaenda tu kumwangalia kujifunza hata anavyoargue tu, wanafunzi na mawakili wachanga tulikuwa tunaenda kujifunza anavyopangilia hoja na kupangua mashambulizi. alikuwa shule kabisa enzi zake, though alipokuja kuzeeka na mambo mengi ya sheria yakabadilika hakuwa na uwezo wa kujisomea mambo mapya vijana damu mbichi ambao ni digitali wakawa wanampiga sana za uso, yeye anakuja na mauzoefu na misimamo yake ile ya zamani,kijana anamsubiria tu amalize afu anaongea kidogo tu kwa misimamo ya sasa. hapo ndio tulikuwa tunamchakaza.Na Lakha naye alikuwa wakili mzuri sana Pascal Mayalla ashaandika humu JF habari yake
Exactly Kila kitu kinaenda na wakati....kuna mawakili kama Lamwai, watu walikuwa wakisikia tarehe atakayokuwepo mahakamani, wanaenda tu kumwangalia kujifunza hata anavyoargue tu, wanafunzi na mawakili wachanga tulikuwa tunaenda kujifunza anavyopangilia hoja na kupangua mashambulizi. alikuwa shule kabisa enzi zake, though alipokuja kuzeeka na mambo mengi ya sheria yakabadilika hakuwa na uwezo wa kujisomea mambo mapya vijana damu mbichi ambao ni digitali wakawa wanampiga sana za uso, yeye anakuja na mauzoefu na misimamo yake ile ya zamani,kijana anamsubiria tu amalize afu anaongea kidogo tu kwa misimamo ya sasa. hapo ndio tulikuwa tunamchakaza.
sheria ni dynamic alafu ukiwa mwanasheria wewe ni mwanafunzi, utasoma maisha yako yote. kuna misimamo ya sheria inabadilika kila kukicha, zamani walikuwa wanasoma hardcopy, digitali ikaja na electronic, sheria na kesi law tunapat aelectronic, tukasumbua sana wazee wasiopenda computer na wengi wakaamua kustaafu au kukimbilia kwenye vyuo kufundisha.
Kasome tena historia ya Kabourou, alifukuzwa shule kwa kudaiwa kumtoboa macho ( picha) Nyerere siyo kuchana kadi.Dr Walid Aman Walid Kabourow ana record yake
1) Katibu Mkuu wa Chadema
2) Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
3) Mbunge wa kwanza wa Jimbo wa Chadema
4) Mbunge wa Kwanza wa kutokea Upinzani baada ya kufanyika uchaguzi mdogo 1994
5) Kijana aliefungwa na kufukuzwa shule kwa kuchana kadi ya TANU na ya Baba wa Taifa, wa pili akiwa Hayati Mchungaji Christopher Mtikila
6) Kiongozi wa Kitaifa wa kwanza kutoka Chadema kuunga mkono juhudi
Daah huyu mbona historia yake inatishaKasome tena historia ya Kabourou, alifukuzwa shule kwa kudaiwa kumtoboa macho ( picha) Nyerere siyo kuchana kadi.
Kuhusu Janabi? Ngoja tunyamaze. Alitumia taalam yakeUkiona msomi yeyote yeyote kaingia kwenye siasa, elewa kuwa huyo kasoma lakini hajaelimika.
Msomi kuingia kwenye siass iwe kwenye miaka yake ya kustaafu, ndipo kweli bado ana nia ya kuitumikia jamii.
Tazama kina Dr. Janabi, na fursa zote walizonazo na usomi wao lakini wamekataa kabisa kuingia kwenye siasa, Janabi alikataa mpaka uwaziri, anasema anataka kuitendea haki elimu yake. Hao ndiyo wasomi walioelimika.
Hao wote ni watu wa system, hawakuwepo upinzani kwa kuipinga serikali, walikuwepo kwa maslahi ya nchi.Huku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga
winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou
nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi
1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini
next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu
Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee
Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa
kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Heka heka za Dr Masumboko Lamwai ndio lilizalisha neno maarufu la Kihiyo kwny kesi ya Ubunge Jimbo la Temeke akimtetea Tambwe hiza
woooote hawa Wamerejea kwa Mola wao wakiwa wamesharudi CCM
ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.Hao wote ni watu wa system, hawakuwepo upinzani kwa kuipinga serikali, walikuwepo kwa maslahi ya nchi.
Alijisahau kama alivyojisahau Mrema.ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.
kama hauelewi sana, mtikila ndio alikuwa system na alikuwa anapokea na mpunga kabisa. malima pia alikuwa system aliyetaka kupindua meza na udini ulimponza akakosa vyote.Alijisahau kama alivyojisahau Mrema.
Wote system hao.
Wapinzani wa kweli walikuwa Mtikila na Malima.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.kama hauelewi sana, mtikila ndio alikuwa system na alikuwa anapokea na mpunga kabisa. malima pia alikuwa system aliyetaka kupindua meza na udini ulimponza akakosa vyote.
ajuza sometimes unanifurahishaga sana hadi natamani tukutane tunywe soda pamoja. unakuwaga kama umejitoa ufahamu.Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Ana ndugu zake waliishi Arusha tangu miaka hiyo....warombo wa mwanzo mwanzo kuishi Arusha..Kina Tajiri Julius Lamai, Advert wa CRDB, Edward na wenginehivi alikuwa na watoto twenty ngapi? pesa na umaarufu ni shetani wa kwanza wa wanawake hakika.
Mabere Marando yuko wapi?Huku Dr Masumbuko Lamwai, Kule Joseph Selasini, pemben Mabere Marando katikati Lyatonga
winga akiwa Dr Walid Aman Walid Kabourou
nyuma yupo Dr Mihogo, bila ya kumsahau Prof nguli wa Uchumi
1995 ilikuwa ngumu sana kumwambia hata msomi kuwa hawa wote walikuwa 'watoto wa Baba mmoja ' ila baadae sana hatukutumia nguvu sana watu kuamini
next 20 years kuna Makamanda watu watakuwa hawataki hata kuwasikia japo sasa hivi huwaambi kitu
Kikosi cha Wabunge walioingia kwa tiketi ya vyama vingine ilikuwa hatare sana aisee
Igizo lilikuwa kama Hollywood hadi kina Prof Simon Mbilinyi wakang'oka mapema sana kwa ma kashfa kashfa
kuna Mwana Mama aliitwa Fatma Maghimbi ndio aligoma kuapishwa ilipofika zamu yake akiwa ndio Kiongozi wa kwanza wa Kambi ya Upinzani Bungeni
Heka heka za Dr Masumboko Lamwai ndio lilizalisha neno maarufu la Kihiyo kwny kesi ya Ubunge Jimbo la Temeke akimtetea Tambwe hiza
woooote hawa Wamerejea kwa Mola wao wakiwa wamesharudi CCM
"ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice"ajuza una uwongo mwingi sana. lamwai kwahiyo alikuwa system hadi akafilisiwa na kunyang'anywa leseni ya kupractice kama fatuma karume vile? ulikuja kumwona wakati wa ustaafu wake namna alivyokuwa amechoka pale chuo kikuu cha tumaini? kama alikuwa kweney system kwanini walimfilisi.
Hakika ila ilikuwa kivumbi haikuwa rahis kumjua Nani atashinda kwa kipindi kile?Richard Hiza Tambwe alipohamia ccm akawa kitengo cha propaganda baada ya kugaragazwa na Khadija Kusaga wa ccm yeye akigombea kwa tiketi ya cuf jimbo la temeke lilokuwa lina amshaamsha nyingi za upinzani wa cuf
Baada ya kuvagaa chama cha wala mbususu akili yote ikatoweka kwa mujibu wa FaizaFoxyAna ndugu zake waliishi Arusha tangu miaka hiyo....warombo wa mwanzo mwanzo kuishi Arusha..Kina Tajiri Julius Lamai, Advert wa CRDB, Edward na wengine
Masumbuko alikuwa na uwezo mkubwa kiakili kipindi cha Mrema akiwa anawika miaka ya 90