Mjue Judith Mhina, mwanamama aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani kabla hajazuiwa na Hayati Magufuli

Mjue Judith Mhina, mwanamama aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani kabla hajazuiwa na Hayati Magufuli

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
1678622443073.png


Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.

Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road.

Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
 
Huyo mama mpango wake ulikuwa mzuri ila chawa wake walimuharibia kwa kuweka mbele maslahi yao na kukawa na changamoto ya uchelewaji wa mpango mzima kiasi cha kuanza kuonekana tapeli ndipo Serikali ilipoingilia kati lakini nina imani malengo bado anayo na wakati wowote zoezi litaendelea.
 
JPM kashaenda zake, je mpango wake umeishia wapi?

Hili ndio swali la msingi, kimsimgi sera za nchi katika halmashauri za majiji zibadilike, miji ijengwe kisasa na Serikali au watu wenye uwezo, ili kuipa hadhi miji yetu, sasa eti inashangaza Buguruni, Vingunguti nayo ni sehemu ya jiji huu ni upuuzi mtupu sehemu za hovyo, majengo yamechoka, kuchafu kunanuka umasikini yaani inasikitisha sana, hao wakazi wa hapo walipaswa waondolewe wakaishi huko Kisarawe, jiji lijengwe kisasa.
 
View attachment 2547499

Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.


Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Read.

Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Watu waongo Sana, unafikiria angeweza kumlipa bakhresa kwenye uwekezaji wake na wengineo watoke?
 
Mbona keshaanza kuinunua tena, bora wampe tu aviondoe vile vijumba vichafu vinachafua Mji.
Buguruni imekita mizizi ya ushirikina pale ni dampo thus haina maendeleo.
Buguruni, magomeni, manzese, kiwalani,kigogo, vingunguti haya maeneo inatakiwa wauziwe watu wajenge vitega uchumi, Ili kubadili sura ya mji. Hayo maeno katikati ya mji yanatia aibu, ukiwa juu ya ndege ndo utajionea
 
Back
Top Bottom