Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
aongee na mama tu naamini wataelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhina wengi ni Wasambaa. Ukiona Mzigua anajiita Mhina, basi ujue amechapia.Mhina ni majina ya Wazigua wa Tanga
Mhina wengi ni Wasambaa. Ukiona Mzigua anajiita Mhina, basi ujue amechapia.
Nia yake ilikuwa kununu nyumba sio viwandaWatu waongo Sana, unafikiria angeweza kumlipa bakhresa kwenye uwekezaji wake na wengineo watoke?
Naunga mkonyo hoja yako....Tandale na Manzese ni moyo.wa jiji its york of city aje mtu awanunue wote yajengwe majengo hasa sio vituo vya mafuta.Hawa ndio watu tunao wahitaji,masikini wanaharibu miji yetu,dsm ilitakiwa ijengwe majengo mazuri ya kisasa apartments za magorofa kisha watu waje wapange,sio kuruhusu ujenzi holela.
Wanaropoka tu sababu wanajua hawezi jitetea uwanja wao na mimba zao za chuki za Mwendazake zilizogoma kupevuka, kila saa midomo imejaa mate.JPM kashaenda zake, je mpango wake umeishia wapi?
OyeahNa mumewe alifariki kwa kuugua muda mfupi
View attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Read.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Bora Yule Baba Alivyokataa
Unajua Kuwatoa Watu Mjini Siyo Vema Kabisa
Mhina Aende Zamahelo Dodoma Mapori Ya Miiba Tele Ataka Awatie Jambajamba Walio Mjini
Kuna zengwe lilifanyikaKwa nini alizuiwa na Magufuli?
Na ilikuwa wazo + mipango mizuri kweliAlishawalipa watu wengi ilikuwa suala la muda tu
Kukaa mjini bila hela nyumba mbovu kuna faida gani! Bora mtu achukue pesa akapasue pori huko uswekeni.
Mhina? Ni majina ya Kitanga haya ya huko UsambaaniView attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Read.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Na chalks daily 🤣🤣🤣🤣🤣🙌Hela mama🤣🤣🤣
Sasa sie vumbi letu, jua letu na kila kitu ngozi itang'aa wapi!!!
yeye alikuwa mtu wa kati,wenyewe walikuwa wakorea,magu alisema waje wenyewe wafuate taratibu,sio wanapitia kwa mgongo wa mzawa.Watu waongo Sana, unafikiria angeweza kumlipa bakhresa kwenye uwekezaji wake na wengineo watoke?