Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Na stress za kutosha🤣🤣Na chalks daily 🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Ngozi haing'ai hata unywe maji tanki zima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na stress za kutosha🤣🤣Na chalks daily 🤣🤣🤣🤣🤣🙌
😳Kumbe! Ngoja niache tu kunywa maji🙄Na stress za kutosha🤣🤣
Ngozi haing'ai hata unywe maji tanki zima.
Bora uyanywe tu, usafishe hata figo🤣🤣🤣😳Kumbe! Ngoja niache tu kunywa maji🙄
🤣🤣🤣🤣Kwa kweli....maana Nina stress za pesa hapa balaaBora uyanywe tu, usafishe hata figo🤣🤣🤣
Kiasili mwanamke ana mng'ao wa ngozi iwe jua mvua na vumbi! ridhika tu.Hela mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa sie vumbi letu, jua letu na kila kitu ngozi itang'aa wapi!!!
Mormons ni Kanisa la Ki-freemason embu soma habari zake hapa Mormonism and Freemasonry - WikipediaNenda kanisani utampata kirahisi. Anasali kanisa la Mormons Morocco Kinondoni.
Niridhike na shida zangu sio?Kiasili mwanamke ana mng'ao wa ngozi iwe jua mvua na vumbi! ridhika tu.
Mumewe alikuwq mtu wa Tanga, lakini huyu ni mtu wa MaraMhina? Ni majina ya Kitanga haya ya huko Usambaani
Radio mbao yeye ni kivuli tu nyingi ni kodi zetu toka kwa wapigaji aliodili nao Magu akiwemo Dalali wa meno ya tembo kada muenezi.
Vijumba vingi dar vinatia huruma sijuwi waliachiwa na babu zao bati zimeoza hovyo yani hata huko mnakoita mkoani ukiwa na nyumba kama mazosemea hapa unachekwa.Hawa ndio watu tunao wahitaji,masikini wanaharibu miji yetu,dsm ilitakiwa ijengwe majengo mazuri ya kisasa apartments za magorofa kisha watu waje wapange,sio kuruhusu ujenzi holela.
Waswahili mkishindwa jambo kwahiyo kanisa lilojaa maskini ndio wanaamini Mungu wa kweli?Mormons ni Kanisa la Ki-freemason embu soma habari zake hapa Mormonism and Freemasonry - Wikipedia
Kama una chumba kimoja kibovu na choo cha pipa au matairi unataka ulipwe shilingi ngapi?PESA sh ngapi ndugu si ndio hawa wanatoa Hela ya goli moja la yanga
Huyo ni mshika mkoba tu,kodi zetu hizoNikajiuliza alikuwa mfanyabiashara gani mkubwa tz huyu?bahresa at al washindwe kuwatoa maskin vingunguti na buguruni aje kufanikiwa huyu wa kuja kwa pesa za mirathi?😅ikiona nyani mjini ujue kaletwa huyo
Unazo namba zake?View attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Read.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.
Yeye alitaka kuanzia ukivuka reli kama unatokea Nyerere road hadi barabara ya kutoka shell kuelekea Vingunguti na upande ule hakuna kiwanda chochote zaidi ya makazi ya watu na biashara za chini na za kati yakiwemo mabaa na magesti house.Watu waongo Sana, unafikiria angeweza kumlipa bakhresa kwenye uwekezaji wake na wengineo watoke?
Ukiona kanisa linakuwa la watu wa cadre fulani e. g. maskini tupu au matajiri tupu, wafanyabiashara watupu nk ogopa kanisa hilo.Waswahili mkishindwa jambo kwahiyo kanisa lilojaa maskini ndio wanaamini Mungu wa kweli?
#YNWA