Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Pia kule Temeke kuna maeneo alitaka kununua hivyo ili ajenge bandari kavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara yake kuu ni hiyo ya Bandari maana kampuni yake inaitwa Ports Management MastersPia kule Temeke kuna maeneo alitaka kununua hivyo ili ajenge bandari kavu
Hii kweli ?Hekla za kimagumashi, watoto wote mataahira, mume kafa kifo tata
[emoji1787][emoji1][emoji1787]Acha matusiKama una chumba kimoja kibovu na choo cha pipa au matairi unataka ulipwe shilingi ngapi?
Nashinda kwenye boti navua samaki, mzee mwenzangu hapo ngozi naipatia wapi,ndio nakuwa na GOZI badala ya ngozi 🤣Hela mama🤣🤣🤣
Sasa sie vumbi letu, jua letu na kila kitu ngozi itang'aa wapi!!!
Tutafute hela baba, tuje tulie kivulini nasie ngozi zing'ae🤣🤣🤣Nashinda kwenye boti navua samaki, mzee mwenzangu hapo ngozi naipatia wapi,ndio nakuwa na GOZI badala ya ngozi 🤣
Kabisa mzee mwenzanguTutafute hela baba, tuje tulie kivulini nasie ngozi zing'ae🤣🤣🤣
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu mikono yao inashika pesa. Na kuna watu mikono yao inaishia kushika ugoro.
Tanzania hii kuna mormons wewe ? Au umejichanganya na autosuggestion feature ya kwenye keypad yako ya simu unachagua Mormons badala ya Moravians ?Nenda kanisani utampata kirahisi. Anasali kanisa la Mormons Morocco Kinondoni.
Kwenye ibada zao ni marufuku kama sio muumini kuingia ,wala kushoot video au picha , waumini wake wanafundishwa kutofuata mambo ya dunia hii mfano matumizi ya mobile phones ,nk , kutooa au kuolewa na watu wasio waumini wa Mormons sect , kuishi katika vijiji vya ujamaa wa kimormon , nk wanawake na wanaume ni kuvaa sare ,kuna sare za kuvaa wanapoingia kwenye hizo ibada zao za kikanisa na sare za kuvaa wanapokuwa nyumbani , hawa jamaa wana mambo yao mengi kuna documentary niliwahi icheki noma sana☠️☠️☠️
hao jamaa wanavinasaba sawa na wajenzi huru
Tanzania hii kuna mormons wewe ? Au umejichanganya na autosuggestion feature ya kwenye keypad yako ya simu unachagua Mormons badala ya Moravians ?
Mormons ni fundamental Christians pale Marekani ambao mfumo wao wa kuabudu ,mafundisho na kimaisha wako tofauti sana na madhehebu mengi ,wana mambo yao mengi ya ajabu to say the least Ila sijawahi kulisikia hili dhehebu Africa hii
Basi hawa mormons wa kitanzania ni wa mwendo kasi , Mormons mafundisho yao yanawadictate kukaa kwenye vijiji vya kijamaa au mitaa ambayo ni wao pekee bila kuchanganyika na nonbelievers au watu wasio wa dhehebu lao.Ipo mkuu tena vijana wake wako wengi mtaani wanaeneza habari za kanisa hilo wengi ni wazungu na mataifa mengine ya kiafrica wanavaa mashirt meupe na suruali nyeusi wapo Morroco
Nataka niwajue nje ndani aiseeBasi hawa mormons wa kitanzania ni wa mwendo kasi , Mormons mafundisho yao yanawadictate kukaa kwenye vijiji vya kijamaa au mitaa ambayo ni wao pekee bila kuchanganyika na nonbelievers au watu wasio wa dhehebu lao.
Puritanical way of christianity ndio hao
Duh ! So Maza naye ni mtu wa kazi chafu au sio ?Hekla za kimagumashi, watoto wote mataahira, mume kafa kifo tata
Sasa mbona hujamwelezea?, tunataka tumjue, yeye ni nani, katokea wapi, kasoma wapi na hizo pesa katoa wapi nk nk!View attachment 2547499
Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki.
Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road.
Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili aongeze eneo la bandari kavu yake. Tayari alikuwa ameshawalipa watu wengi tu, ndipo Magufuli akasimamisha zoezi hilo.