reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Ndo PMM kifupi?sawaaBiashara yake kuu ni hiyo ya Bandari maana kampuni yake inaitwa Ports Management Masters
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo PMM kifupi?sawaaBiashara yake kuu ni hiyo ya Bandari maana kampuni yake inaitwa Ports Management Masters
Utatolewa kafara hakuna cha bure hapa duniani
Hilo kanisa lilifanya waziri mkuu mstaafu wa japani apigwe shaba na gobole, mchana wa jus kaliBasi hawa mormons wa kitanzania ni wa mwendo kasi , Mormons mafundisho yao yanawadictate kukaa kwenye vijiji vya kijamaa au mitaa ambayo ni wao pekee bila kuchanganyika na nonbelievers au watu wasio wa dhehebu lao.
Puritanical way of christianity ndio hao
Mitt romney ni moja ya watu mashuhuri walio kwenye hili dhehebuKwenye ibada zao ni marufuku kama sio muumini kuingia ,wala kushoot video au picha , waumini wake wanafundishwa kutofuata mambo ya dunia hii mfano matumizi ya mobile phones ,nk , kutooa au kuolewa na watu wasio waumini wa Mormons sect , kuishi katika vijiji vya ujamaa wa kimormon , nk wanawake na wanaume ni kuvaa sare ,kuna sare za kuvaa wanapoingia kwenye hizo ibada zao za kikanisa na sare za kuvaa wanapokuwa nyumbani , hawa jamaa wana mambo yao mengi kuna documentary niliwahi icheki noma sana
Kwahiyo tuseme Mungu ni wawatu masikini?Ukiona kanisa linakuwa la watu wa cadre fulani e. g. maskini tupu au matajiri tupu, wafanyabiashara watupu nk ogopa kanisa hilo.
Kumbe na mambo yakukazana yapo ee!!!Aliwahi kuwa Boss wangu huyu harafu ana Moyo mzuri na WA huruma maana Kuna Jamaa yake aliyemuweka kama Mkurugenzi hapo anaemkaza Alitaka kunifanyia mtima nyongo,nikampigia mama akanielewa akanipa changu nikasepa.
Dar nikama kijiji kilicho changamkaUkiwa juu ya ndege ukiangalia chini , kwa kweli panatia aibu sana ,
Mji upo kama zizi la mbuzi no planningUkiwa juu ya ndege ukiangalia chini , kwa kweli panatia aibu sana
Hao wako wengi na wana hela zaidi ya hao wanaotangazwa. Wana matrilioni ya pesa lakini hawajitangazi. Wanagopa kifo tu na si zaidi ya hapo. Wao wanasema kama kifo kingekuwa kinapewa rushwa kisiwapate wangefanya hivyo haraka sana.Kwenye hayo mambo ya majengo na ardhi kuna utakatishaji pesa wa kufuru. Kwenye awamu ya nne kulikuwa na kashfa nyingi. Mtu anayeweza kununua Buguruni na Vingunguti yote huku hajawahi kujulikana na hata 10% ya watanzania kwa biashara anazofanya inabidi kutafakari mno. Kuna mtu mmoja alishawahi sema tajiri namba moja hapa TZ wala sio Mo au Bakresa... kuna miamba haijulikani.
Bongo noma sana.. majitu yana hela kama mvua.Hao wako wengi na wana hela zaidi ya hao wanaotangazwa. Wana matrilioni ya pesa lakini hawajitangazi. Wanagopa kifo tu na si zaidi ya hapo. Wao wanasema kama kifo kingekuwa kinapewa rushwa kisiwapate wangefanya hivyo haraka sana.
ukiangalia ata kampuni ya PMM si ya kitoto PMM Estates (2001) LTD na hii ya zamani nadhani MCJURO INVESTMENT (UK) LIMITED maza mjanja siku nyingi tu. wacha wengine wampake mavi lakini mpaka UK kaendesha kampuni ujue.Bongo noma sana.. majitu yana hela kama mvua.
Ndio morroco wapo,kwa ndani pale pametulia kuna uwanja wa basketball hivi nadhani mule.Ipo mkuu tena vijana wake wako wengi mtaani wanaeneza habari za kanisa hilo wengi ni wazungu na mataifa mengine ya kiafrica wanavaa mashirt meupe na suruali nyeusi wapo Morroco
Vuta nikuvute Fm AcademiaUsitamani mali ya jirani yako, wala mke wake, wala panda wake, wala chochote alichonacho jirani yako
So long as ni binadamu hayakwepeki labda angekuwa mgonjwa..Kumbe na mambo yakukazana yapo ee!!!
NdioNdo PMM kifupi?sawaa
Unajua thamani ya ardhi ya Dar?Kama una chumba kimoja kibovu na choo cha pipa au matairi unataka ulipwe shilingi ngapi?