Kama kweli mgombea mwenza ni darasa la saba, basi chadema hawako serious. Yaani hata "NJUKA" hajafika na anataka awe makamu wa rais wa nchi yangu? Mungu epushia mbali pepo hizi. Ashindwe na anyong'onyee kama mchuzi wa bamia changa!!
Sio kweli,
Una lingine lolote toka huko ufisadiville?