Hili nalo ni somo jengine.Mkuu Ungeandika wajue wamiliki wa wasafi na sio mmiliki, Tambua kampuni kisheria na wamiliki ni vitu viwili tofauti, hapo kusaga anaingiaje?, Pili hoja yako ya umiliki wa asilimia haina mashiko wala uhusiano na kusaga. Tambua hata jeff bezos ni mmiliki na muanzilishi wa amazon na anamiliki 10% ya amazon.
AmenYaan watu wanapanic hovyo hovyo kisa tu Mond kutokuwa mmiliki wa hiyo wasafi aisee Mbona kawaida tu asante mtoa mada kwa kutujuzaa mana hata me nlkuwa najua ya Mond.
WCB fans.Huu uzi mpaka sasa hauna hata likes, watu hawajapenda.
DUH!!Punguza hasira..
Ingia google download CORPORATE GOVERNANCE BOOKS vitakusaidia uelewa.
#YNWA
Tuletee na financial analyst ya kampuni yako na wewe tuioneAm a FINANCIAL ANALYST sina wivu.
#YNWA
Unajua maana ya MAJORITY SHAREHOLDER?Wasafi inawamiliki 3 sijui kwanini kamtaja 1
I know all usijali.duuh halafu hii ni I'd ya Kwanzaa niliyokutana nayo miaka 5 iliyopita nilipojiunga
Twende kwenye Mada watu wanapanick sababu huu uzi kauleta kishabiki Sana
Sasa kusaga anahusika vipi hadi amtaje si aseme juhyna tu Kama inavyoonekana
Chengine anafurahi mond kutokuwa na share holder kubwa .ila hajui Kama wamiliki ni watatu hajui Kama shareholders zinaweza kununuliwa, zinaweza ongezeka, zinawezapungua
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Refer to your answerIrrevant answers contrally to my question
Kufikiria ni bure huwezi lazimisha raia wafikirie utakavyo.Darasa zuri,lakini ungetoa somokama lilivyo bila kuhusisha wasafi tv .. ungeeleweka vizuri zaidi kwasababu tungeelekeza fikra namna shereholder % inavyokuwa na nguvu kwenye kampuni.
Kumuhusisha diamond imefanya somo lako lionekane kama unafiki ,lengo likiwa kutuonyesha diamond sio mmiliki wa wasafi,na sio kuelimisha hayo mambo ya shere.
Ndio maana baadhi wamechangia kwa povu.
Upo sahihi kwa asilimia 💯Darasa zuri,lakini ungetoa somokama lilivyo bila kuhusisha wasafi tv .. ungeeleweka vizuri zaidi kwasababu tungeelekeza fikra namna shereholder % inavyokuwa na nguvu kwenye kampuni.
Kumuhusisha diamond imefanya somo lako lionekane kama unafiki ,lengo likiwa kutuonyesha diamond sio mmiliki wa wasafi,na sio kuelimisha hayo mambo ya shere.
Ndio maana baadhi wamechangia kwa povu.
Facts muruwa kabisa.Vijana wa kileo tunapenda sanaa ushabiki bila facts.
Ila hili la nani ana miliki WASAFI TV TCRA walishalitolea ufafanuzi zamaniii (tokea 2018)
Ukifupi mmiliki wa WASAFI TV ni Kusaga..!!
Kwanini nasema hivyo?
Hebu tuingie darasani...
Ukisoma Corporate Governance vizuri inakufundisha kwamba "The majority shareholder is the owner of the company"
Hili ndilo lililoifanya Simba SC. Kumnyima 50% of the shares MO na kumpa 49.
Kwasababu siku zotee anaemiliki 50% na zaidi ndio mmiliki mkubwa na mwenye sauti (high voting power).
WASAFI TV share holders...
Who is majority shareholder?
1. Zaghalulu Ajmy (Mke wa Kusaga) = 53%
2. Nasibu Abdul Juma (Diamond) = 45%
3. Ali Khatib Dai = 2%
Then the majority share holder is 1 = mke wa kusaga = Kusaga.
Juhayna na mumewe Joseph Kusaga
Yeye ndiye mmiliki wa Prime Times Promotion na yeye ndie muandaaji wa Tamasha la fiesta.
Kwahiyo kulihamishia WASAFI TV hakuna shida.
Mahindi ya heri
Shamba la heri
Mbuzi wa heri
YOTE HERI.
Nimemaliza.
#YNWA
Umeyumba mkuu..punguza " much know".Kufikiria ni bure huwezi lazimisha raia wafikirie utakavyo.
#YNWA
Mwasisi wa media ni DiamondDuuuh wengi tulikuwa hatujui hili...
So nani mwasisi mkuu wa hyo media?
Biblia inwataja kama mwili mmoja.Mke wa Kusaga ≠ Kusaga
Mke wa Kusaga ≠ Kusaga
Am sorry madam kama nimekukwaza.Tuletee na financial analyst ya kampuni yako na wewe tuione
ohooooooooo,naona umepanic mama kusaga kwa mond kukuzwa kuwa ni mmiliki kumbe ni WEYEERefer to your answer
"Siteseki na chochotee"
Nimejaribu kuleta corporate governance education.
Kama ni shabiki wa WCB na nimekukwaza.
Am sorry madam..
on
#YNWA
Majority share holder has a major voting right and holds most of the facts.Duuuh wengi tulikuwa hatujui hili...
So nani mwasisi mkuu wa hyo media?