Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,931
Kachemka vipi kumualika,wewe umewahi kualikwa kwnye event yeyote hata na bamboile kampeni ya tokomeza bashite jokate kamchemka kumualike huyoo zero brain bashite.
Sent using Brain
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachemka vipi kumualika,wewe umewahi kualikwa kwnye event yeyote hata na bamboile kampeni ya tokomeza bashite jokate kamchemka kumualike huyoo zero brain bashite.
Kachemka vipi kumualika,wewe umewahi kualikwa kwnye event yeyote hata na bambo
Sent using Brain
Kwasababu kwenye Mqmbo ya msingi mmetufunga midomo!!Mambo ya kijinga ndiyo tunayo yapo kipaumbele sijui kwanini Watanzania tunazidi kuwa wapumbafu
Ana vichwa viwili?Uyo Pierre ni mtu wa ajabu
DAAAAH PIERRE KAMA VILE KANUNUA JF LEO. KILA KONA YY TU. KWELI JAMAA ANA NYOTA YA UMAARUFU AISEEPeter Mollel maarufu kama pierre gumbo au liquid alishawai kusema yeye sio mlevi ni mnywaji na huwa ana biashara zake anazifanya na jioni huwa anaenda kunywa pombe.
Kwenye clip zinazosambaa sijawai kuona akifanya mambo ya ajabu wanayofanya walevi kama kutukana ama kuleta vurugu au kugombana na mtu
Baada ya kupata umaarufu clip video zinazomuonesha akinywa pombe zimekuwa hazipo na huwa anahojiwa au akifanya matangazo yake bila kunywa pombe
Kutoka kwenye video za kunywa pombe mpaka kwenye video za matangazo interview na media kubwa kukutana na watu maarufu ni hatua kubwa
Siamini mkuu. Ni kweli pierre alikuwepo hapo???Kamsema alf yupo hphp iv ni ubinadamu kwl inamaana Pierre jn ameenda kusemwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Peter Mollel maarufu kama pierre gumbo au liquid alishawai kusema yeye sio mlevi ni mnywaji na huwa ana biashara zake anazifanya na jioni huwa anaenda kunywa pombe.
Kwenye clip zinazosambaa sijawai kuona akifanya mambo ya ajabu wanayofanya walevi kama kutukana ama kuleta vurugu au kugombana na mtu
Baada ya kupata umaarufu clip video zinazomuonesha akinywa pombe zimekuwa hazipo na huwa anahojiwa au akifanya matangazo yake bila kunywa pombe
Kutoka kwenye video za kunywa pombe mpaka kwenye video za matangazo interview na media kubwa kukutana na watu maarufu ni hatua kubwa
Ha ha haaaaMakonda kachemka.angetaka Pierre asemwe vibaya na wanachadema angemwalika amsifie hapo zingeanzishwa nyuzi nyingi sana za kumponda. But yeye alichoharibu ni kumponda zitaanzishwa nyuzi nyingi za kumpamba.
mama ako baada ya kukuzaa wakati anamaliza uzazi nilikuepo kwenye tukio au nayoo sio event?
Mkutano wa kutaka kuweka mikakati ya kuwaua wachawi unaanzaje kuwaalika wachawi??Kachemka vipi kumualika,wewe umewahi kualikwa kwnye event yeyote hata na bambo
Sent using Brain
Kasema hayo lini mkuu. Mbona cjawah sikia akitukana mtu yyt kwenye media. Yy huwa ni mtu wa kusifia tuPiere baada ya kulewa umaarufu, akihojiwa na mwandishi wa habari alimwita "taka taka" "we ni taka taka tu".
Leo waandishi wa habari wanapewa nasaha kuachana na Pierre ambaye RC amemtambua kama "mtu wa hovyo hovyo". Karma is Bitch
Japo watanzania bado wako upande wa Pierre, na hii ni bahati isiyo ya kawaida...kumfurahisha mtanzania!....Pierre achukue hii kama alert juu ya namna gani anapaswa kua na adabu na ukarimu pasi na kujikweza kisa tu ni maarufu na anapata deals...watanzania ni species za ajabu sana..watamshusha na kumpuuza hatoamini.