Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Makonda kachemka.angetaka Pierre asemwe vibaya na wanachadema angemwalika amsifie hapo zingeanzishwa nyuzi nyingi sana za kumponda. But yeye alichoharibu ni kumponda zitaanzishwa nyuzi nyingi za kumpamba.
 
Mbona kuna thread ya walevi kabisa humu na sijui imefika page ya ngapi
Nafikiri na huyu yumo kwenye thread

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Peter Mollel maarufu kama pierre gumbo au liquid alishawai kusema yeye sio mlevi ni mnywaji na huwa ana biashara zake anazifanya na jioni huwa anaenda kunywa pombe.

Kwenye clip zinazosambaa sijawai kuona akifanya mambo ya ajabu wanayofanya walevi kama kutukana ama kuleta vurugu au kugombana na mtu

Baada ya kupata umaarufu clip video zinazomuonesha akinywa pombe zimekuwa hazipo na huwa anahojiwa au akifanya matangazo yake bila kunywa pombe

Kutoka kwenye video za kunywa pombe mpaka kwenye video za matangazo interview na media kubwa kukutana na watu maarufu ni hatua kubwa
DAAAAH PIERRE KAMA VILE KANUNUA JF LEO. KILA KONA YY TU. KWELI JAMAA ANA NYOTA YA UMAARUFU AISEE
 
Peter Mollel maarufu kama pierre gumbo au liquid alishawai kusema yeye sio mlevi ni mnywaji na huwa ana biashara zake anazifanya na jioni huwa anaenda kunywa pombe.

Kwenye clip zinazosambaa sijawai kuona akifanya mambo ya ajabu wanayofanya walevi kama kutukana ama kuleta vurugu au kugombana na mtu

Baada ya kupata umaarufu clip video zinazomuonesha akinywa pombe zimekuwa hazipo na huwa anahojiwa au akifanya matangazo yake bila kunywa pombe

Kutoka kwenye video za kunywa pombe mpaka kwenye video za matangazo interview na media kubwa kukutana na watu maarufu ni hatua kubwa

Piere baada ya kulewa umaarufu, akihojiwa na mwandishi wa habari alimwita "taka taka" "we ni taka taka tu".
Leo waandishi wa habari wanapewa nasaha kuachana na Pierre ambaye RC amemtambua kama "mtu wa hovyo hovyo". Karma is Bitch
Japo watanzania bado wako upande wa Pierre, na hii ni bahati isiyo ya kawaida...kumfurahisha mtanzania!....Pierre achukue hii kama alert juu ya namna gani anapaswa kua na adabu na ukarimu pasi na kujikweza kisa tu ni maarufu na anapata deals...watanzania ni species za ajabu sana..watamshusha na kumpuuza hatoamini.
 
Piere baada ya kulewa umaarufu, akihojiwa na mwandishi wa habari alimwita "taka taka" "we ni taka taka tu".
Leo waandishi wa habari wanapewa nasaha kuachana na Pierre ambaye RC amemtambua kama "mtu wa hovyo hovyo". Karma is Bitch
Japo watanzania bado wako upande wa Pierre, na hii ni bahati isiyo ya kawaida...kumfurahisha mtanzania!....Pierre achukue hii kama alert juu ya namna gani anapaswa kua na adabu na ukarimu pasi na kujikweza kisa tu ni maarufu na anapata deals...watanzania ni species za ajabu sana..watamshusha na kumpuuza hatoamini.
Kasema hayo lini mkuu. Mbona cjawah sikia akitukana mtu yyt kwenye media. Yy huwa ni mtu wa kusifia tu
 
Back
Top Bottom