Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
- Thread starter
-
- #41
Huyu simfahamu ila kuna mtu kamuulizia tena humuAhsante Papaa...!
Hata mimi pia nilijaribu kumzungumzia mtu mmoja maarufu sana na muhimu sana kwa JB mwansiasa anaitwa Adam Bombole...!!
Kama una information zake pia tuongezee kutujuzaa....
Kweli kabisa ila cha kusikitisha ndoa ile ilikufa alafu bwana harusi akaandika kitabu cha kutoa siri za baba mkwe wakeWalikula bata mpaka kuku anaona wivu. Dada yao aliolewa gauni la harusi lilinunuliwa kwa $30,000 miaka hiyo
Aliahidiwa dongevnono na watu wa Western world akauza utu wa father in lawKweli kabisa ila cha kusikitisha ndoa ile ilikufa alafu bwana harusi akaandika kitabu cha kutoa siri za baba mkwe wake
Bwana harusi anaitwa pierre jansen
Jamaa alifanya ujinga sanaAliahidiwa dongs nono na watu wa Western world akauza utu wa father in law
Mobutu alikuwa akitaka kitu haulizi bei yeye anasema tu leteni..Jamaa alifanya ujinga sana
Na alikua anapewa sana pesa na mobutu
Na alikua na roho nzuriMobutu alikuwa akitaka kitu haulizi bei yeye anasema tu leteni..
[emoji106]Nimemsikia sana ila simfahamu
Wale jamaa wanajuana na watu wengi mno mfano fally hua anataja mpaka watu wa abidjan
Ila ninayemjua ni andre kimbuta ambaye ni gavana wa jiji la kinshasa
Huyo sijamsikiaKuna huyu anatajwa sana na Fally Ipupa Tabou Fatou ndie nani wadau.
Mkuu ya kweli hayo ? Mbona hujamdai mke wake mpaka sasa yupoKongolu alikufa na deni langu kubwa, nilimuuzia dhahabu zaidi ya milion mia nane, mpaka sasa kama sio vita nilikuwa niwe kama Mengi ahaaaa
Naomba tujulishe kina Erick Kenzo na Patrick Bologna walikuwa kina nani na uhusiano wao na JB Mpiana ulikuwaje..Huyu simfahamu ila kuna mtu kamuulizia tena humu
Ngoja nicheki uzi wako nimfahamu
Safi sana nashukuru kukuona kuna siku moja umenifurahisha sana humu, Enzi zile za vita ya Majimaji.Nipo mkuu...
Hao siwajui ,mkuu ngoja tusubiri member anaeweza kuwafahamuNaomba tujulishe kina Erick Kenzo na Patrick Bologna walikuwa kina nani na uhusiano wao na JB Mpiana ulikuwaje..
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Safi sana nashukuru kukuona kuna siku moja umenifurahisha sana humu, Enzi zile za vita ya Majimaji.
Nitaomba tena ijirudie uongoze mapigano.[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mkuu ulitunukiwa ?? Mbona mnaongelea kumisiana mara kufurahishanaNitaomba tena ijirudie uongoze mapigano.
Pana wimbo inaitwa Recto verso kaimbwa Adam bombole hata katika OMBA pana sehemu anaimba "soki nazalaki lokola Adam bombole soki nazalaki lokola Andrew kimbuta soki nazalaki president patchel nde natongelayo chateau na ville monaco.kifupi anasema angekuwa na pesa kama watu hao basi angemjengea jumba katika jiji la monaco.Na huyu Adam Bombole,Jb anapenda sana kumtaja
Acha kabisa mkuu huyo mtoto sio wa Mchezo, ana kila sifa ya kuwa humu.Mkuu ulitunukiwa ?? Mbona mnaongelea kumisiana mara kufurahishana