Mjue Saddam Hussein wa Zaire

Dah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaa
 
Nilichojifunza hapa ni kuwa kuna binaadamu hata kama wanaishi maisha mafupi sana lkn yanakuwa yametawaliwa na amani sana!
 
Dah!!!!! Muziki upo wapi siku hizi,nasikia kelele tu,sielewi lugha yao ila napenda muziki mzuri wa hawa jamaa
Fanya hivi nenda Google kwa mfano wimbo OMBA jb mpiana lyrics waweza kupata ya kingereza ukaburudika fanya hivyo ila sio nyimbo zote zipo penye utaratibu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…