Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli are everywhere, hata pale Magogoni yapo yamejazana yanaponda kodi za maskini, mama yao anawaambia stupid tu.Ndio huyu tapeli mwenyewe yupo LinkedIn kumbe kuna matapeli huko LinkedIn ?
Wapo huko ndio wamejazana sasa dili likitua tu macho kwenye hela,Matapeli are everywhere, hata pale Magogoni yapo yamejazana yanaponda kodi za maskini, mama yao anawaambia stupid tu.
Huyu Acha atapeliwe tu maana ni sadaka za waumini hizo Hana uchungu nazoMpaka Mchungaji wa KKKT alipewa cheo baada ya kutoa milioni 200!
Huyu Mkulungwa katisha!
Nasikia kuna wasomi pia wametapeliwa, ili janga kama lile la ushoga mkuu.Lakini watanzania tuna shida huwa hatuelewi hadi tutapeliwe....kila siku watu wanalizwa lakini hatukommi
Kampa umeneja sabb anajua j2 akiipigia upatu kanisan lazm j3 aje na vichwa vya kutosha 😀Mpaka Mchungaji wa KKKT alipewa cheo baada ya kutoa milioni 200!
Huyu Mkulungwa katisha!
Famchezo niniWapo huko ndio wamejazana sasa dili likitua tu macho kwenye hela,
bavicha haina watu wapumbavu na matapel kama mlivyo huko ccm ndio maana hata kura huwa mnapora kama huyo mpumbavu mwenzenu aliyerithi tabia zenu hadi halmashauri kwa sasa ni hoi kwa tabia hiz hiz mlizozoea za wizi na ujambaziKa barvicha haka nakajua sana
USSR