Ticktock dork
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 466
- 308
Aliyekudanganya kuwa Wasabato (cult) ni Wakristo ni nani. ???
The Four cult religion on Earth..
Seventh Day Adventist
Mormon
Jehova Witness
Christian scientologist...........Kama ulikuwa hujui
Unajua maana ya ubunifu...??Duh! Elimu inahitajika, kwehiyo wamebuni ili iweje?
Nani alikuwa Responsible na ukusanyaji huo..? Mwaka gani biblia ilimalizika kukusanywa..
Halafu huhanijubu swali....Ni Canon gani ya Biblia Yesu alutumia kipindi hicho....Maana umesema Yesu alisoma biblia...
Hata kama nisingejua ningegoogle! Nijibu swali langu walibuni ili iweje?Unajua maana ya ubunifu...??
Yohana hakupewa kitabu bali ni mafunuo aliyopewa juu ya siri za Mungu..Umekisoma kwenye biblia kwanza au unabisha tu? Kama una biblia Soma uone utangulizi wake!
Biblia kitabu cha Wakatoliki kipo ku-suit mafundisho ya Kanisa....Hata kama nisingejua ningegoogle! Nijibu swali langu walibuni ili iweje?
Hayo sio ya kuyajidili maana kitabu chenyew kinajieleza vizur!Yohana hakupewa kitabu bali ni mafunuo aliyopewa juu ya siri za Mungu..
Basi torati siyo biblia... Hicho ni kitabu..torati
Biblia kitabu cha Wakatoliki kipo ku-suit mafundisho ya Kanisa....
Mkuu kuwa serious kidogo Tz kuwa jangwa wao wanahusika kivip hapo? Kwani sio sisi watz wenyewe tunaokata miti kwa ajili ya mkaa na kuni? Sasa mvua itapatikanaje ilihali misitu tunavyeka? Jiografia ya form one inatosha kabisa kujua "rain formation"......mkuu hapo kwenye jangwa elaborate plzzzzzz!!
Mkristo ni nani?
Good! Kwa hiyo catholic mafundisho yake ni ya kubuni?
Ina maana kama ni ya kubuni ina maana uongo mwing?
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....Sasa ili kupigilia msumari wa mwisho kwenye mafunuo hayo ikahitajika biblia ku-suit..Good! Kwa hiyo catholic mafundisho yake ni ya kubuni?
Ina maana kama ni ya kubuni ina maana uongo mwing?
Mambo haya ya ku-google ndo mnafikia hatua ya kutuleteea takataka huku JF..Hata kama nisingejua ningegoogle! Nijibu swali langu walibuni ili iweje?
Kwanza unakubaliana na ukweli mchungu kuwa Biblia ni kitabu cha Wakatoliki..??
Mafundisho siyo ya kubuni ni mafunuo ya Roho Mtakatifu....
Yes! Ndio maana nikakuambia huu ni ukweli mchungu...Sasa kuanzia leo jua ukweli huu..Ukwel kwako kwangu ni Myth mpya!
Nijibu je Catholics ni waongo? maana kubuni ni kufanya kitu ambacho hakikuwepo, lakini biblia inatuelezea vitu vilivyokuwa?
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....Mm baada ya kufuatilia mafundsho ya sda ilibid nirud nyuma kujua walitokea wapi hawa watu. Kiukweli nilicheka sana. Nkajua ndo maana wengi ni waongo wamerithi hii dhambibya uongo kutoka kwa waasisi wao pia wameendeleza ujinga wao wa kupingana na Biblia kwa kutabiri mwisho wa dunia na bado wameendelea kujkta katka kutoa nabii za uongo uongo Tu.
Ila kizur kilichopo sda ni kuimba
Yes! Ndio maana nikakuambia huu ni ukweli mchungu...Sasa kuanzia leo jua ukweli huu..
Mkuu Historia ya SDA church inasikitisha sana...Hawa watu waludanganywa kipindi cha Kina William Miller, Joseph Bates' Hiram Edson na huyu mama aliyesemekana ana maradhi ya kichaa Ellen G White....
Ticktock dork