Naren
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 692
- 428
Sijui yupo wapi labda kakaa kama observant.ha ha...
kama ndo hivyo basi huyo mungu hana chake..!!
kama roma ndo wanafanya hayo yote basi hata biblia nazani ni mpango wao,ila sasa wanataka kututoa stage fulani kwenda stage nyengine.
Vipi sasa kwa mungu anaehubiriwa kila siku na hili analifumbia macho..?
Ama anapenda kuona matukio haya wakati anauwezo wa kusaidia..?