Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Mjue the world president under freemasonry and illuminati to supress the third eye of human being

Porojo tu!!! Yani watu wanaishi kwa imaginations mpaka Uruma!!!
 
Mkuu kuwa serious kidogo Tz kuwa jangwa wao wanahusika kivip hapo? Kwani sio sisi watz wenyewe tunaokata miti kwa ajili ya mkaa na kuni? Sasa mvua itapatikanaje ilihali misitu tunavyeka? Jiografia ya form one inatosha kabisa kujua "rain formation"......mkuu hapo kwenye jangwa elaborate plzzzzzz!!

Jamaa wanaoparate mambo yao kwa siri mnoo kiasi kwamba mpaka mje mfahamu tayari mlishaathirika wengi. "SECRET SOCIETY" Si jamii ya kawaida kama mtu anavyodhani.... na si kama siri ya wewe na rafiki yako mnaweza kuagana kuingia pasi na mtu yeyote kuijua.... ni zaidi ya jamii ya siri. We elewa hivyo.
 
Mhe. Benki sio jina bali ni Vigezo ie. financial muscles, otherwise hata village community banks (VICOBA:- navyo vingehusika) Mi nadhani mwandishi alikusudia kusema AAA rated Banks (Multinational Banks) ambazo almost bank zote duniani zina corresponding account zao huko (for world wide fund transfers etc) so indirectly "wanacontrol Mabenk yote"
well said mkuu, mwandishi alikua too general
 
ni ujinga mzito mno akili za kuambiwa changanya na zako mkuu ila umenichangamsha sana
 
Hakuna lolote kama walishindwa kufanya dunia iwe under one gvt miaka ya 1700-1900 kipondi ambacho utandawazi haupo ,watu ni wachache,watu ni wajinga wataweza sasa hv kwenye kizazi hiki.
Watu siku hizi ndo wamekua wajinga saana kwa sababu ya ugumu wa maisha
Anaweza fanya lolote ilimradi apate pesa ww. Miaka hiyo bado Watu walikua wanajielewi
 
Hizo stori za aina hiyo ukiingia google utazikuta nyingi sana. Ukweli kidogo chumvi nyingii.

Wewe unaamini benki zote Duniani zipo chini ya ya Jesuit? Unaamini hizo Freemason na Jesuit wana nguvu hizo za "Kimungu" mnazowapa?

Mnachosahau ni kuwa Wenzetu wamejenga Taasisi zao kama Jesuit kwa mamia ya miaka, kwa akili na bidii sana, ninyi mkiziona leo mnafikiri ni muujiza wa shetani.

Kwa mfano Catholic imepitia vipindi vingi vigumu kama kumeguka wengine na kuanzisha Ulutheri na Uanglikana. Kama Jesuit wangekuwa na uwezo wa Kimungu mnaowapa pengine wangezuia hilo lisitokee.

Kwa Waafrika jambo lolote likifanyika kwa umahiri na akili nyingi lazima tuwe mashaka (ugunduzi wa kisayansi, mafanikio a makampuni makubwa, mafanikio, ya Mtu mmoja mmoja nk) , tutaita uchawi ingawa siku hizi tunaita freemason nk
Shetani akiona Watu kama wewe anafurahi kwelikweli kwa sababu anatimiza azma yake kiulainii
 
Msabato bana mlitabiri mwisho wa dunia kama mnaujua kumbe nyie ndio tawi la freemasons
Acheni wivu na waroma wenyewe wapo kimya nyie mnaangaikaa
Aliyekwambie mtoa mada ni msabato ni nani? Na ni lini wasabato walitabiri mwisho wa dunia? Uongo unakupa ushindi wa siku moja tu!
 
Shetani akiona Watu kama wewe anafurahi kwelikweli kwa sababu anatimiza azma yake kiulainii
Safi sana mkuu..yan watu wawaelewi kinachoendelea juu ya mafanikio hayo makubwa ya taasis hizo kama JESUIT ...ukitaka kuelewa juu ya hayo mambo jaribu kuanzisha taasisi kubwa bila kutumia nguvu yao uone kama utafika mbalibau laaa....
 
Kanisa katoliki liliwafanyia nini kama uamini your free sio kulichafua. Kila kitu kina siri zake hata ulokole,ulutheri,uanglican,uislam una siri nyingi. Amin ukiaminicho mtoa mada na wanaomsupport.
 
N.W.O
1. NEW WORLD ORDER IN EDUCATION CONTROL
~Unaelezea au unasababisha watu wachache wasome na wengi wafeli au wasisome kabisa.

2. NEW WORLD ORDER POPULATION CONTROL.
~Ni mfumo wa kudhibiti ongezeko la watu duniani. Inatokea chanjo ya kupunguza watu japo sio chanjo zote ni mbaya bali zingine za lazima kwa ajili ya magonjwa. Dunia ina watu takribani bilioni 6.7.
~Mpango wa Freemason umepitisha ndoa za jinsia moja ili uzao usiwepo au usiongezeke.
~Pia utoaji mimba na madawa ya kudhibiti uzazi vimepewa kipaumbele.
~Vijana wadogo wakike kwa wakiume kuoa au kuolewa na watu waliowazidi umri mkubwa kitu ambacho kitu ambacho kijana mdogo hawezi kuzaa na bibi au babu kizee.
~Freemason wametengeneza mwanamke/mwanaume midoli kwa kukidhi haja ya tendo la ndoa.

3. NEW WORLD ORDER LABOUR CONTROL.
~Wachache wapate kazivna kuwatawala wengi wasio na kazi au ajira. Roboti ya kwanza kutengenezwa ilitengenezwa kwenye mikakati ya Freeason...

4. NEW WORLD ORDER HEALTH CONTROL.
~Freemason wametoa chanjo za lazima ambazo mpango wake ni kuzorotesha afya za watu duniani.
~Wameweka madawa ndani ya vyakula vya makopo...
~Vipodozi vingi vina kemikali hatarishi kwa ajili ya maisha ya binadamu...

5. NEW WORLD ORDER FORGOTTEN CONTROL.
~Hii inahusika na nguvu ya kiroho usahaulike au usahauliwe na usisikike kabisa.

6. NEW WORLD ORDER FAITH CONTROL.
~Nguvu itawalayo ya kusababisha imani moja. Ina husika na kupambana na imani mbalimbali ili kuziratibu iwe imani moja. Mfumo mmoja wa pesa kama EURO.

7. NEW WORLD ORDER FARMING CONTROL.
~Mkakati au mfumo wa ajabu ambao unafanya kazi nyuma ya mbegu na dawa ambazo huoteshwa na baadae husababisha ardhi kufa ambayo haitatoa mazao nyakati zijazo.

8. NEW WORLD ORDER GREAT ARMY CONTROL OF LOCUST.
~Hii ni jamii ya watu ambao wanafanyakazi kama jeshi lakini ni nzige wanaokula mali asili ya Taifa. Mfano Dowans,Richmond,n.k
*Mambo mengine kayesema vyema mleta mada mi nawasilisha niyajuayo!
 
Illuminate are secret society, but the good thing is that Satan or Devil is not in the secret society. Satan is openly operating so everyone has the right to know which is of God (Jehova/Yahweh) or not. I plead to every great thinker to read the bible for it is full of knowledge and understanding. From the bible one will get to know demonic plans. For example;
1. The bible wants marital relations be of man and woman, the devil wants man to man
2. The bible wants marital sex to use male and female sex organs, the devil would entice people to use use anus instead
3. The bible want families to reproduce ans subdue the earth, Satan wants abortion, family planning, etc
4. The bible wants every mankind to follow Jesus, the devil wants mankind to be comfortable with their man made religions
Generally, every of God, Satan puts it a reverse. Currently even the the bible King James version, is re written as queen James.
 
N.W.O
1. NEW WORLD ORDER IN EDUCATION CONTROL
~Unaelezea au unasababisha watu wachache wasome na wengi wafeli au wasisome kabisa.

2. NEW WORLD ORDER POPULATION CONTROL.
~Ni mfumo wa kudhibiti ongezeko la watu duniani. Inatokea chanjo ya kupunguza watu japo sio chanjo zote ni mbaya bali zingine za lazima kwa ajili ya magonjwa. Dunia ina watu takribani bilioni 6.7.
~Mpango wa Freemason umepitisha ndoa za jinsia moja ili uzao usiwepo au usiongezeke.
~Pia utoaji mimba na madawa ya kudhibiti uzazi vimepewa kipaumbele.
~Vijana wadogo wakike kwa wakiume kuoa au kuolewa na watu waliowazidi umri mkubwa kitu ambacho kitu ambacho kijana mdogo hawezi kuzaa na bibi au babu kizee.
~Freemason wametengeneza mwanamke/mwanaume midoli kwa kukidhi haja ya tendo la ndoa.

3. NEW WORLD ORDER LABOUR CONTROL.
~Wachache wapate kazivna kuwatawala wengi wasio na kazi au ajira. Roboti ya kwanza kutengenezwa ilitengenezwa kwenye mikakati ya Freeason...

4. NEW WORLD ORDER HEALTH CONTROL.
~Freemason wametoa chanjo za lazima ambazo mpango wake ni kuzorotesha afya za watu duniani.
~Wameweka madawa ndani ya vyakula vya makopo...
~Vipodozi vingi vina kemikali hatarishi kwa ajili ya maisha ya binadamu...

5. NEW WORLD ORDER FORGOTTEN CONTROL.
~Hii inahusika na nguvu ya kiroho usahaulike au usahauliwe na usisikike kabisa.

6. NEW WORLD ORDER FAITH CONTROL.
~Nguvu itawalayo ya kusababisha imani moja. Ina husika na kupambana na imani mbalimbali ili kuziratibu iwe imani moja. Mfumo mmoja wa pesa kama EURO.

7. NEW WORLD ORDER FARMING CONTROL.
~Mkakati au mfumo wa ajabu ambao unafanya kazi nyuma ya mbegu na dawa ambazo huoteshwa na baadae husababisha ardhi kufa ambayo haitatoa mazao nyakati zijazo.

8. NEW WORLD ORDER GREAT ARMY CONTROL OF LOCUST.
~Hii ni jamii ya watu ambao wanafanyakazi kama jeshi lakini ni nzige wanaokula mali asili ya Taifa. Mfano Dowans,Richmond,n.k
*Mambo mengine kayesema vyema mleta mada mi nawasilisha niyajuayo!
Safi sana mkuu watakaosikia na wasikie
Ila mkuu hapo kwenye mbegu ni mkakati mmoja mkali na mbaya sana. Na ndio utaua Watu wengi sana baadae kwa ajili ya njaa na idadi itapungua mara dufu
 
Safi sana mkuu watakaosikia na wasikie
Ila mkuu hapo kwenye mbegu ni mkakati mmoja mkali na mbaya sana. Na ndio utaua Watu wengi sana baadae kwa ajili ya njaa na idadi itapungua mara dufu
Hii hata Bongo imeingia!!! Kuna mahindi ukinunua mbegu dukani ukapanda then yale utakayovuna ukija kutumia kama mbegu hayaoti!!!
 
Safi sana mkuu watakaosikia na wasikie
Ila mkuu hapo kwenye mbegu ni mkakati mmoja mkali na mbaya sana. Na ndio utaua Watu wengi sana baadae kwa ajili ya njaa na idadi itapungua mara dufu
Watu wengi .?? Na wewe upo miongoni watakao kufa..??
 
Back
Top Bottom